I can agree with you.
I havent been so deep into TAOISM, lakn firsst time i knew about it n kwenye kitabu fulani kinachohusu mambo ya kudinyana a.k.a kungonoka.
In this book walikua wanaelezea taoist methodologies on how to have multiple orgasms bila ku ejaculate n.k. ni mambo kibao.
But waliongelea this "energy" and how to channel it in the human body kwa ajili ya kupata faida lukuki.
Good thing ni kwamba it really works, but it takes time and a lot of practice.
Taoist monks walikua na vast information on different matters and one thing i love about it n kwamba hakuna kitu chochote kinachofanania na ushirikina.
I think as human beings, tuna a very great potential but we know so little about ourselves (though kienyeji tunahisi tunajua), but ukiweza kuingia deep and unlock the secrets of the human body and mind you might be amazed at how great we are.
Wengi hatuongezi maarifa kwa kusoma vitu tofaut so we kinda live in the matrix of existence but we dont really exist.
In JF kuna watu wengi ambao wanaenda deep to gather knowledge abt different matterS, e.g
Kiranga , lakini ukiangalia wengi hua wanapinga without justification maana wengi hawana knowledge.
Kongole kwako
kali linux on this. I remember uzi wako about psychedellic mushrooms, that was dope too.
Tuzidi kujifunza.