Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Umeisifia taosim lakin ubunifu bado unatoka western countries kwanin wasiitumie mpaka wana-copy technology kutoka western
For the record, sijasifia taoism.

Ubunifu na Taoism havina uhusiano wa moja kwa moja.
 
Huyo alibahatika kutabiri na sio uchawi.
Sayansi ya uchawi ufanya KAZI kama ilivyo mfumo wa umeme lazima pawe na chanzo kupitia mawimbi nguvu ya uchawi inasafiri thus unaweza mloga mtu aliye marekani na akadhurika kupitia manuizi.
Unajuaje huu uchawi na huu si uchawi ila ni kitu sijakijua vizuri tu?

Hujajibu swali hili.
 
Moja ya funzo kuu la Taoism ni kukubaliana na nature na sio kuipinga.

Wewe tu hapo tyr umeshafanya kosa kutaka kukabiliana na radi ambayo ni natural disaster
Nakwambia hivi [emoji116]

Anaye control hii dunia ni Binadamu hakuna nguvu yeyote ile inayo mwendesha binadamu kufanya mambo.

Binadamu ni kiumbe complex sana hata anaweza kwenda kinyume na Nature.

Ni swala la muda tu kwa kasi ya ukuaji wa sayansi na teknolojia binadamu ata control kila kitu.

Hata kifo kitadhibitiwa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Nakwambia hivi [emoji116]

Anaye control hii dunia ni Binadamu hakuna nguvu yeyote ile inayo mwendesha binadamu kufanya mambo.

Binadamu ni kiumbe complex sana hata anaweza kwenda kinyume na Nature.

Ni swala la muda tu kwa kasi ya ukuaji wa sayansi na teknolojia binadamu ata control kila kitu.

Hata kifo kitadhibitiwa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Yale yale.

Hadithi za shaaban robert.

"KUSADIKIKA"
 
Ndo maana kama umesoma uzi wangu nimetoa mfano unaoendana na hiki kitu.

Taoism inadeal na the way of life, kama mm najua hiki kikifanyika result yake ni hii na hii, basi nikaona mtu anafanya na nikatabiri atafikwa na hili au hiki kitatokea, wasiojua hayo wataniona mtabiri, kumbe nimewekeza kujifunza. Na ndo maana nikasema Taoism sio uchawi, sababu inakupa siri ya namna ulimwengu ulivyo na namna ya kwenda nao.

Hata mambo kama Chi deviation na channeling, ni mambo ambayo kwa zamani yalionekana kama uchawi, lakini biology ya leo inaweza kuyaelezea.
Basi hayo ni mambo ya kuangalia pattern na ku deduce kuwa pattern hii inaleta matokeo haya, kama yule rafiki yangu alivyoweza kujua gari litakata kona kwenda upande gani kwa kuangalia indicator ya upande gani imewashwa.

Hakuna uchawi hapo.
 
Unaishia kukariri kilicho andikwa kwamba huwezi kwenda kinyume na hiyo Taoism
Umeona sasa, nimekwambia huwezi kwenda kinyume na nature, wewe unakomalia Taoism. Shida yako ni kwamba unaongelea kitu usichokijua, wala husomi nn nmeandika.

Taoism inakuelekeza flow ya Nature, na inakuelekeza namna ya kuifuata. Na inakwambia usipingane na nature. Wote wanao-violate sheria za nature madhara yake yanawafika na tunaona mifano halisi kibao.

Rudia kusoma makala yangu kabla hujaniquote tena otherwise tunapotezeana muda tu hapa.
 
Nikikwambia utumie hiyo Taoism unitabirie exactly mwaka 7500 jinsi utakavyokuwa na mambo yatakayo kuwepo kwa mwaka huo unaweza?

Kama haiwezekani, Je Hiyo Taoism inabashiri nini mambo ya mbeleni?

Au inafanya bahati nasibu tu kutabiri kama ilivyo Kubet...

Kwamba Taoism hiyo haijui exactly nini kitakuwepo mwaka 7500 ila ina otea otea tu?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Umeona sasa, nimekwambia huwezi kwenda kinyume na nature, wewe unakomalia Taoism. Shida yako ni kwamba unaongelea kitu usichokijua, wala husomi nn nmeandika.

Taoism inakuelekeza flow ya Nature, na inakuelekeza namna ya kuifuata. Na inakwambia usipingane na nature. Wote wanao-violate sheria za nature madhara yake yanawafika na tunaona mifano halisi kibao.

Rudia kusoma makala yangu kabla hujaniquote tena otherwise tunapotezeana muda tu hapa.
Waliofanya ndege [emoji928] ikaruka angani hawaku overcome Nature?

Kwa miaka hiyo ya nyuma ilikuwa ngumu kuunda chombo kikaruka angani.

Wagunduzi hao bila kufanya tafiti wangeishia kusema tu "Hatuwezi kwenda kinyume na Nature" wangeweza kweli kufanya ndege iruke angani?

Unajuaje hauwezi kwenda kinyume na Nature na si ukosefu wako wa maarifa unao kufanya uishie kusema nature! nature! nature?



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Utafiti upi unathibitisha kwamba binadamu hawezi kushindana na nature?

Maana mpaka sasa kwa baadhi ya mambo binadamu ame ishinda nature..

Na kadiri muda unavyokwenda nature inazidiwa na binadamu.

Ni swala la muda binadamu ata control kila kitu kilichopo duniani na angani kote.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Nakwambia hivi [emoji116]

Anaye control hii dunia ni Binadamu hakuna nguvu yeyote ile inayo mwendesha binadamu kufanya mambo.

Binadamu ni kiumbe complex sana hata anaweza kwenda kinyume na Nature.

Ni swala la muda tu kwa kasi ya ukuaji wa sayansi na teknolojia binadamu ata control kila kitu.

Hata kifo kitadhibitiwa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ni vigumu kwa mtu ku control kila kitu, kwa sababu ili ku control kila kitu, inabidi kwanza upime kila kitu.

Na kuna vitu vingi ambavyo kitendo cha kukipima tu hicho kitu maana yake umepoteza control kwenye hicho kitu, yani upimaji wako unaingilia kinachopimwa, hivyo, measurement zako zitakuwa si za kile kitu unachokipima kikiwa katika natural state, bali ya kile kitu unachokipima kikiwa katika state ya kupimwa.

Nikupe mfano rahisi kwa sababu ya demonstration tu, ambao unaweza kuwa si accurate sana factually, lakini unaonesha point yangu.

Tuseme una camera, camera inaweza kupiga picha na ku preserve image ya kitu. Lakini, ili camera itengeneze image ya kitu, inabidi photons fulani zitoke kwenye kitu kinachopigwa picha, photons zinatoka kwenye mwili wa mtu, zinaenda kutengeneza picha. Sawa, utapata picha, lakini hiyo picha itakuwa ni ya mtu ambaye photons kadhaa zishatoka ili kutengeneza picha, huwezi kupata picha ya mtu yule kabla zile photons hazijatoka kutengeneza picha.

Hapo unaona kuwa, kile kitendo cha kupima mtu anaonekanaje kwa kutumia camera, kimeingilia kile kinachopimwa, mtu, na kumfanya awe tofauti na yule mtu ambaye alikuwapo kabla ya kupigwa picha.

Kitu kingine kinachozuia kupima kwa uhakika ni the laws of physics. Ukiangalia laws kama za Heisenberg's Uncertainty Principle kuhusu position na momentum ya subatomic particles kwa mfano, utaona kwamba hatuwezi kujua position na momentum kwa uhakika. Yani tukizidisha uhakika wa kujua position, ndivyo tunazidisha kutojua zaidi momentum, and vive versa.

Yani unaweza, kwa mfano, kuanza kwa kujua kwa 99% position ya particle, lakini hilo litamaanisha kuwa unajua kwa uhakika wa 1% momentum yake. Na ukizidisha uhakika wa momentum kufikia 2%, uhakika wa kujua position unashuka mpaka 98%, mpaka ukifikisha uhakika wa kujua momentum kwa 50% uhakika wa kujua position nao unakuwa 50%, na unaenda hivyo hivyo mpaka unafikia uhakika wa kujua momentum kwa 99% na kukuta uhakika wa kujua position umerudi chini mpaka kufikia 1%. Yani muda wote ukijumlisha uhakika wa kujua momentum na wa kujua position unapata 100%, kwa hivyo huwezi kujua chochote kwa uhakika.

Kuna wakati nilikuwa nafikiri hii ni kwa sababu hatujajua kupima vizuri tu, lakini nikaja kugundua kuwa, ni kwa sababu hizo particles hazina momentum wala position maalum, zinaelea katika a probabilistic wave function.

The universe is essentially more probabilistic, not fully knowable and therefore, never perfectly predictable.

Sasa vitu kama hivyo huwezi kuvipima kwa uhakika, kwa sababu havipo kwa uhakika ni vitu vilivyopo katika a probabilistic quantum fluctuating wave function, which is formed by randomness.

"The uncertainty principle, also known as Heisenberg's indeterminacy principle, is a fundamental concept in quantum mechanics. It states that there is a limit to the precision with which certain pairs of physical properties, such as position and momentum, can be simultaneously known.: Wikipedia
 
Hata hiyo Taoism yako ni Hekaya za Abunuwasi.

Nimekuuliza swali hapa huwezi kujibu.

Unaishia kukariri kilicho andikwa kwamba huwezi kwenda kinyume na hiyo Taoism.

Fiction stories hizo.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mbona unapenda kupinga kupinga hivi ni kitu gani umefanya cha maana huku dunian hata ukifa leo legacy yako itabaki
Sababu mara zote ni kupinga we umefanya nin mbona unajiona special sana

Jifunze kuwa na kiasi hata kwenye kupinga usijifanye mjuaji sana huku hauna chochote ulichofanya huku duniani zaidi ya kupuyanga
 
Waliofanya ndege [emoji928] ikaruka angani hawaku overcome Nature?

Kwa miaka hiyo ya nyuma ilikuwa ngumu kuunda chombo kikaruka angani.

Wagunduzi hao bila kufanya tafiti wangeishia kusema tu "Hatuwezi kwenda kinyume na Nature" wangeweza kweli kufanya ndege iruke angani?

Unajuaje hauwezi kwenda kinyume na Nature na si ukosefu wako wa maarifa unao kufanya uishie kusema nature! nature! nature?



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hahahahahaaaa, una safari ndefu sana ya kujifunza. Anyway, ngoja nikusaidie kwa manufaa ya watakaosoma huu uzi.

Kuna kwenda kinyume na nature na kuna kuielewa nature inataka nn na kuitumia kukidhi mahitaji yako.

Kukabiliana na radi (mfano wako wa kwanza) kwa kuizuia isitokee ni kwenda kinyume na nature. Lakini kutumia conductor kunyonya umeme wa radi na kuutupia aridhini au kuutunza kwa matumizj ya baadae huko ni kuielewa nature inataka nn na kuitumia(ku-take advantage of nature)

Mfano wako wa ndege, wataalam walikaa wakaona ili kufanya pipa lielee hewani inabidi tutengeneze bouyancy, ndipo wale brothers watatu wakatengeneza helikopta na ndo ikawa mwanzo wa technology za ndege. Walielewa nature inataka nn, na wakaitumia.

Tatizo hilohilo ndilo lililofanya baadhi ya jamii na watu kutoendelea kwani wanashindwa kutambua nature ya mazingira yao na ku-take advantage.

Kaa, tulia, jifunze.
 
Back
Top Bottom