Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Waafrika Imani zetu ni zipi
 
Ya siyo ya kisayansi sio tafsiri sahihi uchawi ni sayansi sawa na elimu zingine,thus pana vyuo vinafunza uchawi hata bongo vipo.
 
Huyo alibahatika kutabiri na sio uchawi.
Sayansi ya uchawi ufanya KAZI kama ilivyo mfumo wa umeme lazima pawe na chanzo kupitia mawimbi nguvu ya uchawi inasafiri thus unaweza mloga mtu aliye marekani na akadhurika kupitia manuizi.
 
Sioni muunganiko wowote wa kuonesha u-special wa hiyo Taoism kupitia mfano wako wa Tai Chi katika kubashiri moves za mpinzani.

Ushawahi kucheza draft?

Mfano wako wa Tai Chi katika reference ya Taoism unafanana kabisa na mchezo wa draft.

Kikawaida draft ili uwe bingwa unatakiwa kucheza zaidi kwenye upande wa mpinzani wako kuliko upande wako.

Yani wewe ujiweke kwenye position ya mpinzani na kuangalia ni kete gani ambayo kwa upande huo itakuwa na madhara kwa mpinzani

Kupitia kete unayoisukuma utapata majibu kuwa ni kete gani ambayo mpinzani wako atakuja kuicheza kwasababu tayari ulishafikiria upande wa pili wa mpinzani

Kwasababu umeanza kulicheza draft katika upande wa mpinzani kwanza na kuona ni kete ipi na ipi ndio inayoweza kumpa advantage ya kupata ushindi au kujiweka katika mazingira mazuri.

So katika hiyo case akija mtu kuniambia unaweza ku transform mbinu za mchezo wa draft katika maisha halisia zikupe ubashiri wa vitu vya future kwasababu ameona umeweza kujua next moves za mpinzani wako kwenye draft kiukweli nitamshangaa.

Kusoma next move ya mtu au kitu mbona ni swala la calculations za kawaida tu kwanini umeliweka kwenye mzani wa "nguvu kuu" kuifanya kama ni kitu fulani hivi kisicho cha kawaida?
 
Ofcoz, mwili wa binadam umeficha vingi.

2020 I was diagnosed with CIDP at a very chronic level na hapo ilikua imefikia siwezi tembea wala sikia, most of my nerves were almost not working, wanaojua huu ugonjwa wakiniona watashangaa, sababu inabidi niwe mlemavu lkn sio mlemavu. It was channeling this kind of energy that helps me wake up everyday bila mtu kujua kama mwili mzima umekufa ganzi.
 
Ndo maana kama umesoma uzi wangu nimetoa mfano unaoendana na hiki kitu.

Taoism inadeal na the way of life, kama mm najua hiki kikifanyika result yake ni hii na hii, basi nikaona mtu anafanya na nikatabiri atafikwa na hili au hiki kitatokea, wasiojua hayo wataniona mtabiri, kumbe nimewekeza kujifunza. Na ndo maana nikasema Taoism sio uchawi, sababu inakupa siri ya namna ulimwengu ulivyo na namna ya kwenda nao.

Hata mambo kama Chi deviation na channeling, ni mambo ambayo kwa zamani yalionekana kama uchawi, lakini biology ya leo inaweza kuyaelezea.
 
Okay.. vizuri. Lakini ngoja nikueleweshe.

Kwanza mfano wa Draft ni irrelevant hapa coz ina finite moves, lkn universe haina finite moves. Labda ungesema chess au go, na zote zisingelezea ninachomaanisha

Tai Chi inaunganisha Biomechanics, breathing, human physiology, etc... kujua mtu akijikunja vp basi ana uwezekano wa kufanya nn.

Sasa Taoism imekusanya kila kitu kwenye huu ulimwengu na kukupa Guiding principles, kumbuka Tai Chi ni part tu ya Taoism.

Ninachoona wewe umefocus zaidi na mifano niliotoa badala ya elimu ninayotoa. Focus kwenye elimu ninayotoa.
 
Umeisifia taosim lakin ubunifu bado unatoka western countries kwanin wasiitumie mpaka wana-copy technology kutoka western
 
Moja ya funzo kuu la Taoism ni kukubaliana na nature na sio kuipinga.

Wewe tu hapo tyr umeshafanya kosa kutaka kukabiliana na radi ambayo ni natural disaster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…