Je, tatizo Kuu la Kizazi cha Kupambana Kimaendeleo, Kujinyima na Kivumilivu haliwezi kuanzia huu Utafiti wangu Binafsi?

Je, tatizo Kuu la Kizazi cha Kupambana Kimaendeleo, Kujinyima na Kivumilivu haliwezi kuanzia huu Utafiti wangu Binafsi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
95% ya Watoto wa Kitanzania hasa waliozaliwa kuanzia mwaka 1990 hadi leo (sasa) wanapenda zaidi Kula Ubwabwa (Wali) na Kuuchukia kabisa Ugali (GENTAMYCINE ninaoupenda) uliotukuza Kaka na Dada zao Geniuses tuliozaliwa kuanzia 1989 kurudi nyuma.

Wazazi wa sasa nawashaurini kwa nia njema tu Jengeni tabia ya Kuwazoesha Watoto wenu kupenda kula Ugali kwani Siku ikitokea tu mkawaleta Kwangu Uncle wao Mimi GENTAMYCINE Kunitembelea jueni Menu yangu Tukuka ni Ugali 24/7 na kufanya Kazi za Mikono kwa Wingi sawa?

Siwezi nikawa nimelelewa Kijeshi na Kijasusi (Kimedani) kisha na Mimi nikawalea Uncles zangu au Watoto wa Marafiki zangu Kinyoronyoro (kwa Kudekezadekeza) na Kubembeleza bali wakija Kwangu ni Kazi Kazi tu utadhani wako Depo Jeshini ili wakiwa Wakubwa wawe Mashujaa na Msaada kwa Taifa.
 
Ugali mlenda
Ugali kisamvu
Ugali samaki
Ugali dagaa
Ugali nyama choma/roast
Ugali mboga za majani

Pombe za asili, matunda kutoka porini eq mazambarau, Bado Kuna miwa kutoka matindigani

Tulifaidi sana
 
Badili menu, kula ugali uliotengezwa Kwa mchanganyiko wa mtama, ngano nk nk.

Ugali Hauna mchango mkubwa katika ubongo zaidi ya kuleta nguvu tu ya MWILI.
 
Back
Top Bottom