Je, tatizo ni Biswalo Mganga au Sheria inayompa madaraka makubwa Mkurugenzi wa Mashtaka? Rugemalila mbona alimgomea?

Je, tatizo ni Biswalo Mganga au Sheria inayompa madaraka makubwa Mkurugenzi wa Mashtaka? Rugemalila mbona alimgomea?

Ni muda sasa tuwe na ofisi ya Private Prosecutor badala ya kuwa na hii ya Public Prosecutor pekee ambayo inatumika kisiasa zaidi kukandamiza haki za watu.

Huyu Biswaro toka awekwe hapo aligeuka kuwa mpigaji pesa yeye pamoja na wasaidizi wake na wamekuwa mamilioneya kwa kudhulumu watu eti mtu kama huyo bado anapewa ujaji.

Ni ukweli kwamba baada ya Magufuli kuondoka tofauti haitakuwa kubwa sana kwa sababu bado mfumo ni ule ule wa kulindana.
 
Hii nchi ina watu wanaozingua sana. Ila fresh tujipe muda..
 
Ni kama sasa hivi wapinzani wanafurahia Magufuli hayupo!

Ngoja 2025 ndio wataelewa kama tatizo alikuwa Hayati Magufuli au mfumo.
Hapana aisee mimi sio mpinzani lakini lile dubwana lipumzike kwa amani tu mhhhhhhh, NOOOOOOOO
 
Kwa mfano Bwaswalo kaumizwaje na hiyo sheria?
Naongea jinsi Watanzania wanataka Rais SSH amkukuze kazi au amfungulie mashtaka DPP kwa uchafu aioufanya kuanzia 2016-20 na kujikusanyia hela za dhuluma. Wanaona Rais amekosea kumpa Ujaji.

Nami nawaambia walipaswa kwanza kuchagua wabunge watakao kataa sheria mbovu bungeni
 
Naongea jinsi Watanzania wanataka Rais SSH amkukuze kazi au amfungulie mashtaka DPP kwa uchafu aioufanya kuanzia 2016-20 na kujikusanyia hela za dhuluma. Wanaona Rais amekosea kumpa Ujaji.

Nami nawaambia walipaswa kwanza kuchagua wabunge watakao kataa sheria mbovu bungeni
Hapo ndio ujinga wenu ulipo,

Sheria ndio inatakiwa mseme irekebishwe!

Akimfukuza Biswaro akaja mwingine akafanya hayo hayo utafukuza wangapi?
 
Hapo ndio ujinga wenu ulipo,

Sheria ndio inatakiwa mseme irekebishwe!

Akimfukuza Biswaro akaja mwingine akafanya hayo hayo utafukuza wangapi?
Angalia vizuri unaweza kuta wewe ndiyo Mjinga ila hujijui.
 
Back
Top Bottom