Na kweli hahaha kila saa mnarudia kupost watu wabonyeze bayo hahahaha. Bado mabango barabarani. Kunya anye bata akinya kuku....Hatuhitaji kampeni wala nn, nyimbo zetu zinajiprome zenyewe ndo maana kadri mda unavoenda gepu linazid kupungua kwa kasi na ngoma ndo inazidi kuteka hisia za watu mtaani.......no hard feeling.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnahis kuongelewa sana mtandaoni ndo ngoma kuhiti.....pamoja na promo kubwa na kampeni ya mange lkn wapi seduce kitaani haipo kabisa......kila kona ni zilipendwa tu.
Haaahaaa kuna watu wanapiga promo kama WCB ohhh please dude. Acha kiba naye apige bana wivu wenu tupa kuleHatutaki sababu za sungura hapa....mtaaibika sana pale domo atawapita viewz na ngoma yake mbovu ambayo haina promo wala kampeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wa motooooo naona unatapatapa tu kama umekula tonge la moto.....pamoja na promo na kampen lote hilo jmn wimbo bado una view 4M mmmh aisee nakumbuk salome ndani wa week kama moja iv ilikuwa na 10M viewz bila nguvu kutoka nje.....je ingefanyiwa kampeni sasa kama ile ilofanywa kwa seduce me, si ingekuwa noma.Haaahaaa kuna watu wanapiga promo kama WCB ohhh please dude. Acha kiba naye apige bana wivu wenu tupa kule
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu vepe. Dont seduce me like that.... Im too smart dada....Mtu ghali auzwae kwa bei cheeeee. The king mwenyewe.
Mtu ghali aneyepewa thamani kwa matukio.
Kama sio domo kuchafua hali ya hewa wimbo seduce ungekuwa na viewers kweli?
Kuna mpumbavu kanitumia hii kwenye Whatsaap yangu sijui alikuwa anamaanisha nini, anadhani na mimi nashabikia hayo mambo ya ma house gelo sijui.
Team kiba huwa nawafananisha na wanafunzi wenye uwezo mdogo darasan yaani bila booster na kukesha shule haiendi. Ndo nyie sasa mmekeshaaa weeeeee ili tu muonekane mna nguvu lkn wapi kanyimbo kamejifia pamoja na kampen lote hilo.
Mtu sita kwa moja. Na sasa team domo mnakesha kukuta views za kiba. Hahahahaha i never saw this coming hahahaGap la views limepungua toka laki 9+ hadi laki6+, si ajabu huko mbeleni seduce me ikapitwa na zilipendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu ni team ya ntu sita kupambana na mtu mmoja hahahha. Ninachofurah ni kuwa sasa team wcb wanafukuzia views za kiba ili wampite. What a shameNi aibu sana itakapopitwa viewz pamoja na kampeni zote zile na promo la mange kimambi.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yess.muda wenu wa kutusua huuMkuu muda huu hawataongeza views tena maana wote wamehamia kiakili Nairobi.
Im too smart dada..... Hehehhe. Hiv mashabiki wa ntu nne wameshindwa kupita views za Kb kwa masaa??? [emoji134] [emoji134]bosi ucshangae huyu ni msanii popular kwenye mitandao ya kijamii tu...lakini huko kitaani ambako ndo kuna raia wengi wasiokuwa na uwezo wa smart phone,wanamuelewa zaidi diamond kuliko huyo the so called king!nyimbo za mondi rika zote wanazielewa ila seduce hakika muulize mdogo wako au mtoto wa nyumba ya jirani kama atajua hata mstari mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aibu pale msanii unayejiita king kuomba sapoti kwa watu wenye chuki na adui yako wakupromote ili upambane naye.......nasikia alimlilia mange kimambi akimuomba amfanyie kampeni maana maji yalikuwa ya shingo......mastaa wote waliungana kina wema jokate lulu na malaya wote wa mtandaoni wenye majina kupigana na jeshi moja la wcb tu....na bado hari ni mbaya........ni kama marekani anavowaomba vibaraka wake kwnd kupigana na NK.Aibu ni team ya ntu sita kupambana na mtu mmoja hahahha. Ninachofurah ni kuwa sasa team wcb wanafukuzia views za kiba ili wampite. What a shame
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau point moja. Zilipendwa wameungana wasanii wanne huku seduce me akiwa mmoja. Unganisha mashabiki wa wanne na mmoja. Ukirud tuambie mmetumia muda gani kumpiku jamaamara ya kwanza ilikuwa ni gape ya Views laki 8 ikiwa wimbo wa alikiba umetoka masaa 14 kabla ya Diamond na Huku alikiba akiwa na Mwaka mmoja na nusu hajatoa wimbo tofauti na diamond alitoka kutoa wimbo mwezi mmoja nyuma! Huku huku akiwa ana beef na Diamond imepamba moto! Na Seduce me ilikuwa Number one on trending! lakini sasa Ni gape la views Laki 5 na Zilipendwa ipo namba 7 on trending huku seduce me ipo namba 8! nitarudi kucomment hapa baada ya wiki moja! kuna wimbo unapendwa Tanzania
Domo mkubwa bwana pamoja na viriba vyenu na majungu lkn kila anayemshika mkono anakuwa star.....kiba hata mdogo wake tu kashindwa kumtngenezea jina.....harmonize kaja juzi tu lkn ni talk of the town.......kumlilia mange kimambi akufanyie kampeni ni aibu kubwa sana kwa msanii unayejiita king na unakubalika.Aibu ni team ya ntu sita kupambana na mtu mmoja hahahha. Ninachofurah ni kuwa sasa team wcb wanafukuzia views za kiba ili wampite. What a shame
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa tandale chuki zenu huwq hazijifichi kuanzia kwa rais wenu hadi wafuta viatu. Mahaba kwa kiba yanawapagaisha haaaahaaKumbuka pale mashabiki wa mond ndo hao hao mashabiki wa hao madogo zake wa wcb....lkn ni aibu pale wasanii wote wanapokuprome na unaomba msaada kwa mtu mwingne lkn bado tu ambaye hana promo wala kampen anazid kukufukuzia kwa kasi....kwl nimeamin domo ana nguvu kubwa......kila anayenshika mkono anakuwa star na maisha yanamuendea tofauti na king wetu hata mdogo wake tu holla...baraka mwenyew kaona bora ajisepee mapma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli anzeni kwanza kutoa matangazo.kwenye mabango barabarani na insta. Kisha twende sawaUkweli ambao team vipusa unawauma wanabaki kutuletea sababu ziszo na kichwa wala miguu......rekodi inavunjwa kwa automatically siyo mnatumia nguvu kuuubwa kama kmsukuma mlevi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesema katoeni matangazo ya nyimbo barabarani na instaWCB_Wasafi ni brand kubwa siyo kitoto we don't need help wala kampeni ili ngoma zetu ziwe hit......
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku ukisahau kuwa mashabik wa hawo madogo wa wcb ndo hao hao wa mond.....uku akili yako inakuwa ndogo kuwazua kuwa msanii wako anafnyiwa kampeni na mtu kama mange ambaye ana ushawish mkubwa kwny social media mtu kama wema, jokate, lulu, na wengne wenye majina na ushawish mkubwa kupambana na team mojabtu ya wcb na bado unakimbzwa hiv hujifikirii kuwa huwo ni ujinga wa kiwango cha lami.Umesahau point moja. Zilipendwa wameungana wasanii wanne huku seduce me akiwa mmoja. Unganisha mashabiki wa wanne na mmoja. Ukirud tuambie mmetumia muda gani kumpiku jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa mana sie wengine twaishi hewani hahhhaMnahis kuongelewa sana mtandaoni ndo ngoma kuhiti.....pamoja na promo kubwa na kampeni ya mange lkn wapi seduce kitaani haipo kabisa......kila kona ni zilipendwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app