Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?


Aliwezaje kuelewa kuwa anachosomewa na masahaba zake ndicho kile alichowaagiza waandike wakati alishindwa siku ile kule pangoni kuelewa yale aliyokuwa anasomewa na Malaika Gabrieli?
 
Aliwezaje kuelewa kuwa anachosomewa na masahaba zake ndicho kile alichowaagiza waandike wakati alishindwa siku ile kule pangoni kuelewa yale aliyokuwa anasomewa na Malaika Gabrieli?
Akidi ya wewe kuniuliza swali bado haijatimia, ili iwajibike Mimi kukujibu hili swali lako,itimize akidi yako kwenye post # 246&250.
 
Ukiwa mwepesi wa kuuliza nawe kuwa mwepesi wa kujibu unachoulizwa. Siyo unakoti watu kwa njia ya mjadala ukiulizwa maswali unajibu vi' emoji emoji. Umenielewa?

wewe baba kassim kwa kugopa Andiko hili la Biblia Takatifu [emoji117] aliwapiga ban kuuliza uliza [emoji117] Mimi HEKIMA Amenifundisha Namna ya kuwajibu [emoji117] sawa [emoji47] [emoji12] hadi unashangaa emoji [emoji15] kwani zimewekwa kwa ajili ya nini [emoji47]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa inabidi u' behave unajua umeshakuwa na kila jambo lina mahala pake. Umeandika kitu ambacho ni serious basi kuwa serious unachojibu unachoulizwa.

Kwani kwa akili zako unaona maskhara eeh [emoji47] [emoji15] allah amesha wahukumia finnar jehannam halidina fiha abadan [emoji117] Tunajitahidi KUWANUSURU Ndugu zetu ktk Adam mnaona ni maskhara daah [emoji15] Hivi unamuona allah anafanya maskhara na usingizi unaupata [emoji15] haya mkuu [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewaambia waandike kisha wakusomee [emoji15] wakikusomea tofauti na walivyo andika na hujui kusoma [emoji4] View attachment 850458

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kaka nastahiki kucheka sana. Nilisema wewe hutakiwi kujibiwa na kweli hutakiwi kujibiwa,sababu unachokiandika na kuokoteza okoteza ni uongo uliochupa mipaka.

Tatizo akili zenu mmewapa watu fulani wawashikie,ona sasa ulichokinukuu.

Hapo hujaleta Qur'an bali umeleta tarjama za Qur'an.

Unaposema matoleo ya Qur'an bila shaka ni ile matni ya asili ya Qur'an. Sasa leta matni ya asili ya Qur'an katika matoleo mengi.

Bali hapo hizo ulizo nukuu ni chache miongoni mwa tarjama nyingi za Qur'an.

Mkiambiwa muwe mnasoa ujue tuna maanisha sio mnaropoka ropoka tu.

Ona unavyojidhalilisha bro. Ukiambiwa hii elimu ujue ina watu wake.

Naona nazidi kujishusha hadhi kukujibu mjinga mmoja usieijua Qur'an hata kwa herufi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia inaaminika kama imesema ukweli na inapingwa kama imeleta porojo. Kuna porojo karibia asilimia 90 kwenye biblia.
Hayo mambo ya kumbukumbu la torati.
 
Sasa wewe unataka tuamini torati za kwenye biblia inazungumzia masuala ya kwenye kasoro za pumbu na uume kutouona ufalme wa Mungu?
 
Usichoulizwa unajibu, ulichoulizwa haujibu. Akili yako na maswali huwa zina repel kama pande mbili pacha za usumaku.
 

Kuhukumu Misingi ya deen nyingine kwa kutumia Misingi ya deen nyingine baba kassim ndio zake Yaani ni miratul rasul tena ame-c&p hata Maamrisho.10 ya Mwenyezi na kuyavuruga kwa kipunjo na DHAHIRI [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichoulizwa unajibu, ulichoulizwa haujibu. Akili yako na maswali huwa zina repel kama pande mbili pacha za usumaku.
Lugha hii ndiyo mnyoielewa ati [emoji4] hata muhammad angekuwa ANGEKUWA Hai zama hizi angeelewa na kuongozwa Sala ya Kutubu [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

allah ameifanya koloani nyepesi lakini kwa kafir kama wewe hukumbuki unasema ngumu [emoji117] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu nondo zako huwa hazijibiki kwa hoja, znajibika kwa vitisho na matusi tu
Mkuu nakuhakikishia kuran ni elimu pana mno, huyu jamaa alichoandika hakijibiki!

Hana weledi kabisa na hiyo Quran yenyewe!

Mfno ndogo tu, namfaham marehem sheikh Hemed bin Juma bin Hemed alikuwa ni sheikh mkuu wa Tanzania,

Na uzee wake lakini bado alikuwa anasoma dini! Nae anawaalimu wake, akikwama anaenda kutafuta maarifa zaidi.

Kiufupi Quran ni elimu pana kama zilivoelimu nyingine ambazo mtu huwezi maliza kusoma hadi unakufa!

Hana weledi wowote wa kuweza kukosoa yalioandikwa ktk Quran,

Ili akosoe anachokijua, Mleta mada atuambie yeye Ana elimu kiasi gani ya dini.

Ni upotoshaji kudokoa dokoa aya na kuzitafsiri kwa namna ambayo majibu yake unayo bila kujali msingi wa surat husika'

Wao wana dini yao na sisi tuna dini yetu"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakuhakikishia kuran ni elimu pana mno, huyu jamaa alichoandika hakijibiki!

i.

Wao wana dini yao na sisi tuna dini yetu"


Sent using Jamii Forums mobile app
kaazi kwelikweli mkuu, unajua mkuu kuna forums nyng za nje ukiingia unawakuta watu wenye elimu kubwa sana za dini wakichallenge vitabu hivi hasa jinsi vinavyojicontadict vyenyewe....kuna haja ya wenye elimu hizi kujtokeza na kutoa ufafanuzi wa hii mikanganyiko maana watu tunatakiwa kuelewa haya maandiko na so kukariiri, km sisi christians ndo kabisa viongoz wetu wako busy na sadaka/fungu la kumi n.k hawafundish tena
 
Analo Taka HAWEZI [emoji47] [emoji12] kama wewe umesha jiajiri kuwa mc wake Tangaza [emoji47] manake kafir hana Mkole kama alivyo mngese naye hana Mkole [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa unastaajabu malaika kumkaba mtume lakini Mungu kucheza MIELEKE na yakobo unaona sawa.sasa kipi kichekesho Mungu kucheza MIELEKA au malaika kumkaba mtu? hilo la juu ndio jibu lako
 
Hilo swali mbona jepesi sana tumeshakwambia Mungu alikuwa anamfikishia ujumbe mtume kupitia malaika jibril sasa unauliza swali gani la kitoto ndio ww unashangaa malaika kukaba mtu wakati Mungu wako anacheza MIELEKA(kukabana na kupigana) unastaajabisha kweli
 
Nimekuuliza maswali mawili unajua maana ya "kushika nyayo" halafu nani alikwambia hapo mtume ni Mohammad?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…