Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Hoja yako ni dhaifu hii tumeijibu sana hayo malalamiko yako ni maneno ya kuokota
 
Umewaambia waandike kisha wakusomee [emoji15] wakikusomea tofauti na walivyo andika na hujui kusoma [emoji4] View attachment 850458

Sent using Jamii Forums mobile app
Quran iko moja tu nani kakwambia versions ya English inatengua Original Quran ,hata version za kiswahili zipo nyingi tu , lakini wote wanatoa tafsiri kutoka kwenye original Quran huku hakuna padre luther king kwamba anaamka anaamua kwamba vitabu hivi avifai biblia ibaki na vitabu 66
 
Aliwezaje kuelewa kuwa anachosomewa na masahaba zake ndicho kile alichowaagiza waandike wakati alishindwa siku ile kule pangoni kuelewa yale aliyokuwa anasomewa na Malaika Gabrieli?
Hili nilishakujibu sasa sijui unajitoa akili au unafanya makusudi, Mungu alimfunda na wala hakusahau tena sasa mtu asiesahau unamdanganyaje?
87:6;" Tutakufundisha(tutakusomea) wala HAUTOSAHAU ;"
yaani kiufupi malaika jibril akimfundisha jambo mtume ujue ndio basi mtume awezi sahau maisha yake yote sasa unaanzaje kumdanganya!!
 
Hapo unachotaka kusema hakina maana kwasababu waislamu wanaambiwa wasiuleze kwasababu Quran ikishuka itaweka majibu sasa hapo kuna mantiki gani ya kuingiza hiyo aya .Halafu hayo maandiko hayakupi wewe uhalali wa kuweka viemoji badala ya kujibu maswali unayoulizwa
 
Umekuwa Qadiani sio? halafu wewe umuokoa nani badala ya kufikiria namna ya kuacha kufuru zenu za ";Bikira Maria mama wa Mungu " eti unajidanya kutuvuta sisi. ndugu hizo kufuru zenu ebu endelea nazo ila mwisho wake ni wenye masikitiko makubwa
 
Huna Ushahidi [emoji4] hivyo muham mad Mungu Hakumtuma [emoji106]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
allah ameifanya koloani nyepesi lakini kwa kafir kama wewe hukumbuki unasema ngumu [emoji117] View attachment 850563 [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa kwa makafiri Quran ni nzito sana mfano mpaka leo awajaelewa aya hii

19:88-89
";Na(makafiri) husema:Mwenyezi Mungu) Mwingi wa rehema amejifanyia mtoto.Bila shaka mumeleta jambo lichukizalo kabisa (kwa kusema hivyo)...

sasa kama mpaka leo aelewi hili jambo anakwambia yesu ni mwana wa pekee wa Mungu lazima Quran iwe nzito
 
Mkuu inaonekana hata biblia yenyewe hujui historia yake ilivokusanywa, utagundua biblia haiwezi kuwa neno la mungu completely ni mchanganyiko, kwahiyo what correspond to quran we term to be word of God and vise versa.
 
Quran imeandikwa na watu.au hujui walioandika kurani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna Ushahidi [emoji4] hivyo muham mad Mungu Hakumtuma [emoji106]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hivi ww ukiambiwa alitumwa na Mungu kupitia jibril hiyo sentensi huwa uelewi ?
53:3-5
3";Wala hatamki kwa matamanio yake"
4";Hayakuwa haya ila ni ufunuo(wahyi) ulio funuliwa kwake
5"; amemfundisha aliye mwingi wa nguvu(jibril)

sasa hapo kipi uelewi maandiko yako wazi
 
Nimeshangaa unastaajabu malaika kumkaba mtume lakini Mungu kucheza MIELEKE na yakobo unaona sawa.sasa kipi kichekesho Mungu kucheza MIELEKA au malaika kumkaba mtu? hilo la juu ndio jibu lako
Naye baba fatuma huwa ATAKALO HUWA NA HANA MSHAURI [emoji47] Ndipo ninapo kuona huna Mkole [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi wa Kurani ndo yule yule mpinga kristo.
Mpango wake wa awali ulikuwa ni kuwaua watu wote waliokuwa wakieneza injili ya Kristo - akashindwa!

Baada ya kushindwa akajaribu kufanya modification ya mienendo ya kipagani ili iendane na ukristo - hapo ni kama alifanikiwa.

Baada ya kuona ukristo unaendelea kujithihirisha .. akaona atengeneze kundi jingine lenye kupinga ukristo - na hapo akafanya modification ya Bible ... na hapo akashindwa.

Kwa sasa yuko bize anaangaika na secret societies kama vile Free marson n.k.

Si mwingine ni huyu huyu anayejifanya kuutawala ulimwengu kiimani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…