SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
- Thread starter
- #21
Wapi mimi nimekwambia ni Muislamu? Hizo dini zenu za kuletewa ni upuuzi kubishana hapa. Huo muda unaotumia kuandika thread ndefu ungesoma kitu fulani ukaongeza maarifa. Waachie dini yao.
Wewe una Mungu wako na wao wana Mungu wao. Hawaatabudu unachoakiabudu na wewe hutaabudu wanachokiabudu.
Lengo la hizi nyuzi zako nini haswa?
Sent using my NOKIA torch
1. Sasa umeruka kimanga kuwa wewe sio Muislamu? Ikiwa wewe sio Muislamu, umejuaje kuwa Biblia sio rejea ya Kurani au kwamba viwili hivyo havina uhusiano kabisa?
2. Thread zangu, kwa namna ya pekee, ina lengo la kuifahamu historia, mintarafu iwapo Babu zetu (kizazi cha akina Musa na Haruni) nao walikuwa ki-tekenolojia wamefikia uwezo wa kuweza kutengeneza roboti la Ndama anayeweza kuongea kama tunavyoelezwa katika Kurani.