Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Wapi mimi nimekwambia ni Muislamu? Hizo dini zenu za kuletewa ni upuuzi kubishana hapa. Huo muda unaotumia kuandika thread ndefu ungesoma kitu fulani ukaongeza maarifa. Waachie dini yao.

Wewe una Mungu wako na wao wana Mungu wao. Hawaatabudu unachoakiabudu na wewe hutaabudu wanachokiabudu.

Lengo la hizi nyuzi zako nini haswa?

Sent using my NOKIA torch

1. Sasa umeruka kimanga kuwa wewe sio Muislamu? Ikiwa wewe sio Muislamu, umejuaje kuwa Biblia sio rejea ya Kurani au kwamba viwili hivyo havina uhusiano kabisa?

2. Thread zangu, kwa namna ya pekee, ina lengo la kuifahamu historia, mintarafu iwapo Babu zetu (kizazi cha akina Musa na Haruni) nao walikuwa ki-tekenolojia wamefikia uwezo wa kuweza kutengeneza roboti la Ndama anayeweza kuongea kama tunavyoelezwa katika Kurani.
 
Tatizo lako hoja zako ni za upande mmoja, na ule mwingine unaishia kutaja madhaifu kwa namna akili yako inavokutuma...
Kwa mtu yoyote ambaye haujui uislamu, ukristo wala dini nyingine yoyote akisoma bandiko lako ataishia kuutuka tu uislamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu:

Tulia tujadiliane kwa hoja.Hivi ukiisoma Kurani na hadithi zake, kuna sehemu yoyote ambako Muhammad anathibitishiwa utume wake, nje ya Biblia na tukio lake la kukabwa na Malaika Gabrieli kule Pangoni,Hira? Ikiwa ni tukio la pangoni na Biblia pekee ndivyo vinathibitisha utume wake,kuna kosa gani la kimantiki, unaona nimelifanya katika kutumia Biblia ile ile kuhakiki tukio hilo la Kihistoria la Muhammad, kuhusika katika mchakato wa kuumbwa kwa roboti hilo lililokuwa linaongea?
 
Tatizo lako hoja zako ni za upande mmoja, na ule mwingine unaishia kutaja madhaifu kwa namna akili yako inavokutuma...
Kwa mtu yoyote ambaye haujui uislamu, ukristo wala dini nyingine yoyote akisoma bandiko lako ataishia kuutuka tu uislamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

1. Hisia hizo za Mkristu kuweza kuutweza uislamu kwa mabandiko yangu,sikuzijenga mimi bali mwandishi wa Kurani mwenyewe.Hakuna jambo lolote nililolitunga mimi zaidi ya kila kitu kukitoa katika Kurani.

2. Hivi, ni kwa nini mnaniona mimi ndiye mbaya wa Uislamu wakati mimi sikuiandika Kurani? Kwani hamtaki kumuelekezea Muhammad kidole cha lawama kwa kuingiza matukio ya kihistoria katika Kurani isivyo?

3. Ni kwani mnaogopa kumlaumu Mtume kwa kuweka mambo kadhaa katika Kurani ambayo yanazaa hisia kwamba kuna mahali alikuwa ame-desa mambo hayo?
 
1. Sasa umeruka kimanga kuwa wewe sio Muislamu? Ikiwa wewe sio Muislamu, umejuaje kuwa Biblia sio rejea ya Kurani au kwamba viwili hivyo havina uhusiano kabisa?

2. Thread zangu, kwa namna ya pekee, ina lengo la kuifahamu historia, mintarafu iwapo Babu zetu (kizazi cha akina Musa na Haruni) nao walikuwa ki-tekenolojia wamefikia uwezo wa kuweza kutengeneza roboti la Ndama anayeweza kuongea kama tunavyoelezwa katika Kurani.
Unaona ulivyo masikini wa fikra? Uliona wapi kitabu cha histort kikawa reference ya kitabu cha Physics? Mkristo haamini Quran na Mwislam haamini Biblia sasa unatoaje reference hapo.

Mimi ni mzaliwa wa hapa Tanzania najua kuhusu Quran na najua kuhusu Biblia. Sio lazima kuwa Mwislam kuweza kuitambua Quran. Kwani wewe unayendika mada za uislam ni muislam?

Unachokibishia hakina mashiko. Wewe unasema Muhammad amesema. Waislam wanaamini Mungu ndio alisema. Are u two talking about a common thing? Kwa hiyo kimjadala.....Muhammad hajasema. Kwa hiyo hakuna mjadala. Mpuuzi wewe.

Sent using my NOKIA torch
 
Wewe mpumbavu tu unayetafuta maarufu. Kuna mwenzio mgen mpaka leo hajafanikiwa lolote seuze wewe? Acheni upuuzi wenu.

Sent using my NOKIA torch

Nimeng'amua kuwa huenda wewe sio muislamu uliyebobea.Ninyi waislamu mumeandika sana katika kuonyesha Yesu alikuwa muislamu na ambaye alifika kueneza imani ambayo, Paulo kwa mjibu wa maelezo yenu, mnadai ndiye aliyeiharibu dini hiyo na hivi ikabidi Muhammad afike kuweka mambo sawa.Sasa sisi wengine tuko katika kuwauliza ikiwa ninyi na Yesu ni Chanda na Pete,ni kwa nini historia inawaonyesha manabii waliomtangulia Yesu walitenda tofauti na Muhammad (aliyefika kuweka mambo sawa) anavyoeleza mambo hayo katika Kuranu?

Sasa katika kuuliza hivyo,huo ndio upumbavu?
 
Mpumbavu huelemishwa tu ndugu yangu kwa hekima na busara.Jibu maswali ya Uzi husika kwa ufasaha ili upumbavu wangu uthibitike.
Mimi sitakujibu chochote katika hayo maswali yako sababu hutaki kufahamu ila unataka kubishana. Nikuulize, mada yako ya jana kuhusu ndege kuongea ulipata majibu? Kama hujapata basi yanini kuuliza mengine?

Basi wewe ni mjuzi sana. Umewashinda waislam wote. Haya jipongeze kwa bia na kitimoto niletee risiti nitalipa.

Sent using my NOKIA torch
 
Nimeng'amua kuwa huenda wewe sio muislamu uliyebobea.Ninyi waislamu mumeandika sana katika kuonyesha Yesu alikuwa muislamu na ambaye alifika kueneza imani ambayo, Paulo kwa mjibu wa maelezo yenu, mnadai ndiye aliyeiharibu dini hiyo na hivi ikabidi Muhammad afike kuweka mambo sawa.Sasa sisi wengine tuko katika kuwauliza ikiwa ninyi na Yesu ni Chanda na Pete,ni kwa nini historia inawaonyesha manabii waliomtangulia Yesu walitenda tofauti na Muhammad (aliyefika kuweka mambo sawa) anavyoeleza mambo hayo katika Kuranu?

Sasa katika kuuliza hivyo,huo ndio upumbavu?
Mada yako inazungumzia maroboti habari za Yesu unazileta wewe sasa. Inaonekana una vitu vingi unataka kuandika humu ila unakosa mpangilio maalum. Kaa chini andika kitabu kuliko kuleta hoja zako humu hazitafaa kitu.

Sent using my NOKIA torch
 
Wewe sio wa kwanza kupinga Uislam na Muhammad na hautakuwa wa mwisho asilani. Tunaojua hizo dini tunakuangalia halafu tunasema hiiiiiiiiiiiii ( kwa sauti ya Mkulu). Unatumia nguvu nyingi kutaka kurekebisha dini ya wenzio.....tumia nguvu nyingi kueleza dini yako. Pengine hilo lina manufaa zaidi. Hizi ni pang'ang'a tu hazina hoja. Unawaona wenzio wanapiga pesa kupitia dini...wakina Lusekelo na wengineo? Kafanye kama vile, ina manufaa zaidi kuliko huu upuuzi wako humu. Hupati kitu na unapoteza time na bundle lako bure kabisa. Umewasikia wakina Lusekelo wanaponda Uislam. They are busy making money. Shame on you.

Sent using my NOKIA torch
 
Mada yako inazungumzia maroboti habari za Yesu unazileta wewe sasa. Inaonekana una vitu vingi unataka kuandika humu ila unakosa mpangilio maalum. Kaa chini andika kitabu kuliko kuleta hoja zako humu hazitafaa kitu.

Sent using my NOKIA torch

Ninaweza kuwa nimekosea mpangilio kwa kuwasilisha mambo lakini maudhui yamesalia wazi.Kama kitabu kipo tayari na kama unataka kufahamu kuwa nina ujuzi wa kupangilia mambo basi kakitafute.Ni hiki hapa.
 

Attachments

Ninaweza kuwa nimekosea mpangilio kwa kuwasilisha mambo lakini maudhui yamesalia wazi.Kama kitabu kipo tayari na kama unataka kufahamu kuwa nina ujuzi wa kupangilia mambo basi kakitafute.Ni hiki hapa.
Tazama hata title ya kitabu chako ni ombwe....vacuum..... very complex. Hivi mtu anaelewa nini ukisema mfufuka? We jamaa utakuwa una upungufu fulani kichwani....I guess, halafu huna washauri wazuri. Pole

Sent using my NOKIA torch
 
Wewe sio wa kwanza kupinga Uislam na Muhammad na hautakuwa wa mwisho asilani. Tunaojua hizo dini tunakuangalia halafu tunasema hiiiiiiiiiiiii ( kwa sauti ya Mkulu). Unatumia nguvu nyingi kutaka kurekebisha dini ya wenzio.....tumia nguvu nyingi kueleza dini yako. Pengine hilo lina manufaa zaidi. Hizi ni pang'ang'a tu hazina hoja. Unawaona wenzio wanapiga pesa kupitia dini...wakina Lusekelo na wengineo? Kafanye kama vile, ina manufaa zaidi kuliko huu upuuzi wako humu. Hupati kitu na unapoteza time na bundle lako bure kabisa. Umewasikia wakina Lusekelo wanaponda Uislam. They are busy making money. Shame on you.

Sent using my NOKIA torch

Ni kweli akina Lusekelo na wenzie, wanapiga pesa kwa kueleza au kufanya mambo isivyo! Na ndio maana tuko tunajaribu kuulizeni wanazuoni wa Kiislamu iwapo Muhammad naye alikuwa na muelekeo huo huo wa kukoboa pesa za watu au yeye alilenga nini hasa kwa kuchomoka na mambo ambayo hayajawahi kuwapo katika historia ya mwanadamu?
 
Ni kweli akina Lusekelo na wenzie, wanapiga pesa kwa kueleza au kufanya mambo isivyo! Na ndio maana tuko tunajaribu kuulizeni wanazuoni wa Kiislamu iwapo Muhammad naye alikuwa na muelekeo huo huo wa kukoboa pesa za watu au yeye alilenga nini hasa kwa kuchomoka na mambo ambayo hayajawahi kuwapo katika historia ya mwanadamu?
Wewe una uthibitisho gani hayo mambo hayakuwepo duniani?

Sent using my NOKIA torch
 
Wewe una uthibitisho gani hayo mambo hayakuwepo duniani?

Sent using my NOKIA torch

Kwa kutumia Biblia ambayo ndio munaitumia na kuitegemea katika kumthibitisha Muhammad na utume wake.Siwezi kutumia kitu kingine chochote, zaidi ya matini hiyo hiyo ambayo ndio inawapa Waislamu uhakika kuwa Muhammad alitumwa na Mungu, baada ya Yesu ili kuja kuweka sawa dini ambayo Paulo inasemekena aliaharibu.Umenielewa?
 
Kwa kutumia Biblia ambayo ndio munaitumia na kuitegemea katika kumthibitisha Muhammad na utume wake.Siwezi kutumia kitu kingine chochote, zaidi ya matini hiyo hiyo ambayo ndio inawapa Waislamu uhakika kuwa Muhammad alitumwa na Mungu, baada ya Yesu ili kuja kuweka sawa dini ambayo Paulo inasemekena aliaharibu.Umenielewa?
Biblia si reference ya Quran ishia hapo hapo. Hao wanaochukua kifungu cha Biblia kudai utabiri wa Mtume wao hawajasema ndio reference ya Quran. Biblia imeandikwa na watu....huoni kuwa nao inawezekana wamefanya makosa kadha wa kadha. Kila mtu abaki na anchoamini...usiwatoe wenzio akili.

Sent using my NOKIA torch
 
Kwa kutumia Biblia ambayo ndio munaitumia na kuitegemea katika kumthibitisha Muhammad na utume wake.Siwezi kutumia kitu kingine chochote, zaidi ya matini hiyo hiyo ambayo ndio inawapa Waislamu uhakika kuwa Muhammad alitumwa na Mungu, baada ya Yesu ili kuja kuweka sawa dini ambayo Paulo inasemekena aliaharibu.Umenielewa?
Kwanza hapa umekosea....waislam hawategemei biblia kuthibitisha utume wa muhammad. Quran yenyewe inamueleza muhammad ni nani.

Sent using my NOKIA torch
 
1. Hisia hizo za Mkristu kuweza kuutweza uislamu kwa mabandiko yangu,sikuzijenga mimi bali mwandishi wa Kurani mwenyewe.Hakuna jambo lolote nililolitunga mimi zaidi ya kila kitu kukitoa katika Kurani.

2. Hivi, ni kwa nini mnaniona mimi ndiye mbaya wa Uislamu wakati mimi sikuiandika Kurani? Kwani hamtaki kumuelekezea Muhammad kidole cha lawama kwa kuingiza matukio ya kihistoria katika Kurani isivyo?

3. Ni kwani mnaogopa kumlaumu Mtume kwa kuweka mambo kadhaa katika Kurani ambayo yanazaa hisia kwamba kuna mahali alikuwa ame-desa mambo hayo?
Lau kama ungejenga hoja zako bila kuweka hisia zako ungestahili kujibiwa kwa hoja, vinginevyo ni kukuacha tu kwa maana akili yako umeiandaa ktk hali ya upinzani na kudhalilisha.

Mtume Muhammad swallallah alaih wassalam hakufanya hiyana wala hakuna alichobuni, hata hivyo Quran haikuandikwa na yeye...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom