Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

1. Kwa hiyo,kwa kuwa Ismaili(Ishamaeli) ndiye aliyetakiwa kutolewa sadaka,kwa hiyo yeye ndiye aliyempa Muhammad habari za Roboti wa Ndama kuundwa na msamaria?

2. Kurani imekuja miaka 500 baada ya Biblia,je inakuwaje Kurani ndio iwe inasema ukweli katika kile inachokisema Biblia na kwa ushahidi gani hasa?Ni kwa ushahidi tu wa kule pangoni tu? Na kama ni kwa ushahidi huo tu, ni kwa nini hata Muhammad mwenyewe hakuuamini ushahidi huo hadi akaenda kwa mjomba wake,Khadija,Mchungaji wa Ki-nestorian, ku-clear doubt? Je,katika mazingira kama hayo. ina maana Muhammad alikuwa anamuamini zaidi mchungaji Waraqahal kuliko malaika Jibrili aliyekuwa ametumwa na Mungu kwake?
Mkuu mbona umenikimbia. Leta nukuu ya Qur'an hapa inayoonesha unyayo wa Muhammad kuwa ulitumika kutengeneza robot.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kwa hiyo,kwa kuwa Ismaili(Ishamaeli) ndiye aliyetakiwa kutolewa sadaka,kwa hiyo yeye ndiye aliyempa Muhammad habari za Roboti wa Ndama kuundwa na msamaria?

2. Kurani imekuja miaka 500 baada ya Biblia,je inakuwaje Kurani ndio iwe inasema ukweli katika kile inachokisema Biblia na kwa ushahidi gani hasa?Ni kwa ushahidi tu wa kule pangoni tu? Na kama ni kwa ushahidi huo tu, ni kwa nini hata Muhammad mwenyewe hakuuamini ushahidi huo hadi akaenda kwa mjomba wake,Khadija,Mchungaji wa Ki-nestorian, ku-clear doubt? Je,katika mazingira kama hayo. ina maana Muhammad alikuwa anamuamini zaidi mchungaji Waraqahal kuliko malaika Jibrili aliyekuwa ametumwa na Mungu kwake?
Huna hoja, huna uchamungu, ww ni mtu uliyegeuza dini kama biashara, umejaa majivuni na elimu ya theolojia huna. Mwenyezi MUNGU akurehemu upate kutambua ujinga wako ili uijue haki na urejee kwenye mstari mnyoofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningependa kujua neno 'bwana' kwenye biblia za kizungu au biblia za kiebrania limeandikwaje.
Kuhusu mada yako leo "mzee baba" umechemka, naitafuta hiyo aya iliyosema hayo maneno sijaipata na kwa kuwa unajua kuwa unapotosha na wewe umeamua kutoinukuu kwa makusudi. Abuu jaahil.......!
 
Huna hoja, huna uchamungu, ww ni mtu uliyegeuza dini kama biashara, umejaa majivuni na elimu ya theolojia huna. Mwenyezi MUNGU akurehemu upate kutambua ujinga wako ili uijue haki na urejee kwenye mstari mnyoofu.

Sent using Jamii Forums mobile app

1. Sina ujivuni wowote ule na kama ninao, hauzidi ule wa Muhammad kujidai kwamba yeye alikuwa sawa na Yesu.Ni ujivuni gani huo wa Muhammad wa kusema kuwa Mungu hana uwezo wa kuwa na mwana kwa sababu, eti kwa sababu hakuwa na mke?

2. Ni ujivuni huo wa Muhammad wa kumuwekea Mungu mipaka ya uwezo kiasi kwamba eti Mungu hawezi kuwa na nafsi kama Muhammad alivyosema katika Kurani?

3. Je,ina maana Muhammad anamfahamu sana Mungu kuliko hata Mungu anavyojifahamu?Mungu anasema yuko katika nafsi tatu lakini Muhammad yeye anakataa! Je,kwa mazingira kama hayo, ina maana baada ya Muhammad kupewa utume aligeuka akawa na ufahamu wa mambo yote kuliko Mungu?
 
Unaona ulivyo masikini wa fikra? Uliona wapi kitabu cha histort kikawa reference ya kitabu cha Physics? Mkristo haamini Quran na Mwislam haamini Biblia sasa unatoaje reference hapo.

Mimi ni mzaliwa wa hapa Tanzania najua kuhusu Quran na najua kuhusu Biblia. Sio lazima kuwa Mwislam kuweza kuitambua Quran. Kwani wewe unayendika mada za uislam ni muislam?

Unachokibishia hakina mashiko. Wewe unasema Muhammad amesema. Waislam wanaamini Mungu ndio alisema. Are u two talking about a common thing? Kwa hiyo kimjadala.....Muhammad hajasema. Kwa hiyo hakuna mjadala. Mpuuzi wewe.

Sent using my NOKIA torch
Kwa hoja hii naonna kabisa kuwa mpuuzi ni WEWE, eti mwislam haiamini biblia wakati tunamtambua nabii ISSA wa biblia kuwa nabii kamili wa mwenyezi Mungu!huku uislam huo huo ukimtambua Ibrahim wa biblia,huku tukifundishwa kuwa Biblia ndiyo iliyoutabiri ujio wa Mtume wetu mtukufu? Acha kuukufuru uislam!
 
Wanabodi:

Baadhi ya Wanazuoni wa Kiislamu hawataki kukubali kwamba Kurani ina maelezo au masimulizi ya visa ambavyo ama havikuwahi kutokea katika historia ya maisha ya mwanadamu au kwamba visa hivyo haviko kama vinavyoelezwa na Kurani yenyewe.

Leo,ninacho kisa kingine kinachomuhusu Musa na Kaka yake, Haruni, wakiwa na wanaisrael.Kisa hicho, tunakikuta katika Biblia,Agano la Kale,Kutoka Kitabu cha Kutoka 32:1-10:

“1Hata watu walipoona ya kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima, wakakusanyana wakamwendea Haruni, wakamwambia, Haya! Katufanyizie miungu itakayokwenda mbele yetu, kwa maana Musa huyo aliyetutoa katika nchi ya Misri hatujui yaliyompata.2 Haruni akawaambia, Zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mkaniletee.3 Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.4 Akaipokea mikononi mwao akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.5 Naye Haruni alipoona jambo hili, akajenga madhabahu mbele yake; Haruni akatangaza akasema, Kesho itakuwa sikukuu kwa Bwana.6 Wakaondoka asubuhi na mapema, wakatoa dhabihu, wakaleta sadaka za amani, watu wakaketi kula na kunywa, wakaondoka wacheze.7 Bwana akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibu nafsi zao,8 wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.9 Tena Bwana akamwambia Musa, Mimi nimewaona watu hawa, na tazama, ni watu wenye shingo ngumu10 basi sasa niache, ili hasira zangu ziwake juu yao, niwaangamize, nami nitakufanya wewe uwe taifa kuu.”

Kurani na yenyewe katika Sura Ta Ha 20: 85-96,inasimulizi lile lile, ila ambalo inaonekana limefanyiwa editing kidogo.Tofauti na inavyoelezwa katika Biblia,katika Kurani Muhammad, anasema aliyewatengenezea Waisrael sanamu ya Ndama huyo ni Msamaria mmoja,ambaye hamtaji jina.Kitu kingine ambacho Muhammad anakisema kuhusiana na kisa hicho, ni kwamba sanamu hiyo ya Ndama ilikuwa na uwezo wa kuongea!Jambo la tatu, ni kwamba eti Mungu ndiye aliyewatega waisrael kuona kama ni wavumilivu,hasa baada ya Musa kuwa amewaacha Waisraeli na kaka yake Haruni,kwa muda mrefu bila kurudi.

SASA, Wasamaria ni akina nani?

Wasamaria wanatajwa kuwepo baada ya utawala wa Israeli kwa upande wa Kaskazini katika Palestina kuangukia mikononi mwa dola ya Assyria mnamo mwaka 722KK na hiyo ni kama karne saba baada ya Musa kuondoka duniani.

Wasamaria ilikuwa ni jamii ya watu waliokuwa wakiishi katika Dola ya Kaskazini mwa Israeli(Northern Kingdom of Israel).Samaria ni jina la mji uliokuwa makao makuu ya Dola hiyo (Ufalme huo) na hivi watu walioshi katika dola hiyo ya Samaria waliitwa Wasamaria.Mji wa Samaria, ulikuwa katikati ya mji wa Galilaya (kwa upande wa kaskazini) na mji wa Yudea(kwa upande wa Kusini).Wasamaria kwa rangi walikuwa mchanganyiko wa Wayahudi na uzao wa wapagani(racially mixed society with Jewish and pagan ancestry).

Kiimani pamoja na kwamba,wasamaria walikuwa wakimuabudu YAHWEH(Mungu, kama Wayahudi walivyokuwa wakimuita), sawa na wayahudi walivyofanya,dini yao haikuwa dini kuu ya Kiyahudi(mainstream Judaism).Wasamaria walikuwa wakivikubali vitabu vitano tu kati ya orodha ya vitabu viliyokuwa vikikubaliwa, na Hekalu lao lilikuwapo katika Mlima Gerazimu(Gerazim) badala ya lile Hekalu la Kiyahudi lililokuwa katika Mlima Sioni,kule Yerusalemu kama tusomavyo katika Injili ya Yohana 4:9,20-21:

“9Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke Msamaria? (Maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia. 21Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.”

Wasamaria wa nyakati za Yesu walikuwa wakiamini kwa dhati juu ya Mungu mmoja kuliko hata Wayahudi wenyewe na namna fulani walikuwa wameshika sana sheria za Musa kuliko hata Wayahudi,kwa namna ya pekee,suala la Sheria za Sabato.Tofauti ya Wayahudi na Wasamaria ilikuwa ni kwamba wayahudi hawakuruhusiwa kutamka jina takatifu la Mungu “YAHWEH” katika viapo, isipokuwa aliyeruhusiwa kufanya hivyo alikuwa Kuhani Mkuu tu,tena akiwa huko patakatifu pa patakatifu,tena mara moja kwa mwaka na hiyo ilikuwa katika siku ile ya toba ya taifa (ndiyo,Yom Kippur). Wasamaria wao kutamka jina takatifu “YHWH” (soma “YAHWEH” ) kwa sauti au kimya kimya halikuwa tatizo hata kidogo.`

Kwa hiyo, Wayahudi wote wa kawaida hawakuwa na ruhusa na hata leo bado hawaruhusiwi kusoma, si kwa sauti tu wala kimya kimya,herufi za jina takatifu la Mungu, YHWH, kwa sababu ya utakatifu wa jina la Mungu wao. Kwa nini? Kwa sababu kuzisoma bure bure kungelingana na utovu wa heshima kwa Mungu mkuu na kuivunja amri ya Mungu ya kutolitaja bure jina lake, DECALOGUE. Ndiposa, ilikuwa marufuku na bado ni marufuku kabisa Myahudi wa kawaida kuzisoma na kuzitamka herufi hizo.

Kwa hiyo,kutokana na wasamaria kuonekana hawashiki sawa sawa dini ya Kiyahudi na kwamba walikuwa na vinasaba vya damu ya kipagani,basi walikuwa wakidhauriwa na kutengwa na wayahudi wa Kawaida.Na ndiyo maana utashangaa kwa nini wayahudi walipokuwa wakisafiri kutoka Yudea kwenda Galilaya au Galilaya kwenda Yudea,walilazimika kuvuka mto Jodani kisha kuambaaambaa ng’ambo ya Jodani na kisha kuvuka tena mto Jodani walipokaribia kufika Galilaya au Judea ili kukwepa kupitia ardhi ya Samaria kwa kukwepa wasije wakanajisika. Kwa hali hiyo,wayahudi hawakuchangamana na wasamaria na walijengeana chuki au uhasama dhidi ya Wayahudi wa kawaida. Ni kutokana wasamaria na ni kwa mazingira haya,ndiyo kisa hata Yesu alinyimwa sehemu ya kulala katika Kijiji kimoja walipokuwa wakiishi Wasamaria, kwa sababu tu ya Uyahudi wake na wala si kwa sababu hakuwa na uwezo wa kulipia sehemu hiyo.Soma Luka 9:51-56:

“51 Ikawa, siku za kupaa kwake zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliukaza uso wake kwenda Yerusalemu;52 akatuma wajumbe kutangulia mbele ya uso wake; wakaenda wakaingia katika kijiji cha Wasamaria, ili kumtengenezea mahali.53 Lakini wenyeji hawakumkaribisha kwa vile alivyouelekeza uso wake kwenda Yerusalemu.54 Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni, uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]?55 Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]56 Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa.Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.”


Maswali ya Kujiuliza:

  • Je,Muhammad anaposema kuwa Msamaria alimshika Unyayo,anataka kuieleza na kuiaminisha jamii ya Kiislamu kwamba wakati sanamu ya ndama huyo inatengenezwa yeye alikwisha kuzaliwa, hata iwezekane kwa huyo msamaria kumshika unyayo kabla ya kumuunda ndama huyo?

  • Kwa namna inavyosimuliwa katika aya hiyo nukuliwa ya Kurani,mbona inatoa tafsiri kuwa yeye Muhammad alikuwa sehemu ya mchakato wa kuwezesha kuundwa kwa sanamu hiyo baada ya kuwa ameguswa unyayo wake? Na kama ndivyo,je,Muhammad haoni kama na yeye alikuwa ni sehemu ya kumkufuru Mungu sawa na yule msamaria?

  • Je,ikiwa Muhammad ni mtume wa mwenyezimungu (na msamaria aliwaundia waisrael sanamu iliyochukua nafasi ya Mungu, jambo ambalo ni kufuru),iliwezekanaje kwa Muhammad kukubali kushikwa unyayo na msamaria ambaye alikuwa na nia ovu ya kuwapotosha waisrael kwa kuwaundia kikaragosi cha Mungu?

  • Je, simulizi la Kisa hiki nalo limetumia lugha ya picha kama ilivyo katika kisa cha ndege na mchwa kutumika kama wanamgambo, kama tulivyoelezwa na wanazuoni wa Kiislamu katika mjadala uliopita, wa Ndege kutumika kama maaskari katika vita?

  • Je,kwa kuchukulia kweli kwamba msamaria ndiye aliyeunda roboti ya ndama iliyokuwa inaongea,msamaria huyo alikuwa na nguvu za kutenda miujiza? Na kama msamaria hakuwa na uwezo huo wa kimiujiza,je, alitumia tekinolojia gani wakati huo kuweza kuunda sanamu iliyokuwa inaoongea?

  • Historia inaonyesha Muhammad alizaliwa mwaka 570BK na kufariki dunia mwaka mnamo tarehe 8 Juni 632BK. Na Musa na Haruni(pamoja na huyo msamaria aliyetengeneza roboti la Ndama), waliishi miaka mingi sana kabla ya Yesu. Je,iliwezekanaje kwa huyo msamaria kuweza kumshika mtume unyayo katika mchakato wa kuliunda lile roboti wakati Mtume(Muhammad) hakuwa amezaliwa bado?

  • Je,kwa kadri ya historia ya uhasama kati ya Waisraeli na Wasamaria,na iwapo tukizingatia maelezo ya Muhammad, iliwezekanaje kwa Waisraeli kuweza kuchangamana na huyo msamaria, hata waweze kukubali kutengenezewa sanamu(roboti) na adui yao?

  • Kwa kuwa Kurani ni maneno ya Mungu yaliyoshushwa moja kwa moja kwa Muhammad(bila editing yoyote) toka kwa Mungu,je, kwa kisa hiki ambacho imeonekana ni uongo wa kihistoria,ni nani muongo?Ni Mungu anayedaiwa kumpelekea Muhammad Kurani au ni Muhammad tu ndiye alijisingizia kuwa Kurani ni maneno ya moja kwa moja,ambayo hayahaririwa,toka kwa Mungu?
Kwa maswali haya pamoja na mengineyo munayoweza kuongezea,nawakaribisheni,sasa kwa mjadala.
Mkuu mbona kimya au hutaki kujibiwa masuala yako. Rekebisha bandiko lako ili tukujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hoja hii naonna kabisa kuwa mpuuzi ni WEWE, eti mwislam haiamini biblia wakati tunamtambua nabii ISSA wa biblia kuwa nabii kamili wa mwenyezi Mungu!huku uislam huo huo ukimtambua Ibrahim wa biblia,huku tukifundishwa kuwa Biblia ndiyo iliyoutabiri ujio wa Mtume wetu mtukufu? Acha kuukufuru uislam!

Mkuu:

Inaonekana huyu mwenzetu haijui Kurani vizuri.
 
Kwa hoja hii naonna kabisa kuwa mpuuzi ni WEWE, eti mwislam haiamini biblia wakati tunamtambua nabii ISSA wa biblia kuwa nabii kamili wa mwenyezi Mungu!huku uislam huo huo ukimtambua Ibrahim wa biblia,huku tukifundishwa kuwa Biblia ndiyo iliyoutabiri ujio wa Mtume wetu mtukufu? Acha kuukufuru uislam!
Issa hakuja na kitabu kinachoitwa Biblia. Kwanza Biblia ni nini? Ni wapi katika hiyo biblia kitabu hicho kinajieleza kuwa kinaitwa biblia. Issa alitumwa na Injili. Injili ya Issa sio yale matapu tapu ya Paul na upuuzi mwingine kwenye hicho kitabu. Issa, Ibrahim wametajwa katika Quran ni lazima Muislam aamini. Quran haitegemei biblia. Period

Sent using my NOKIA torch
 
Na ndio maana tunaendelea kuleta hoja zingine zaidi.

Tumewakusudia wanazuoni wa kiislamu wathibitishe kweli kwamba Mungu ndiye chimbuko la Uislamu na kama ndiye ni kweli yeye anaweza akawa amewafunulia waislamu njia ya matusi badala ya hoja na busara katika kuwajibu wale walio na mashaka na ujumbe fulani katika Kurani yake?

Ikiwa wanazuoni, wanaanza na kuishia kuporomosha matusi badala ya kujibu hoja,wanakusudia kutufundisha kwamba huo msingi wa matusi umo katika Kurani?
Kuna sehemu sahihi utapata wanazuoni wa kujibiwa masuala yako, ukiuliza kwa nia ya kuelimika huenda ukaelewa ila ukiuliza kwa nia ya ubishi katu hutofaidi elimu
 
Issa hakuja na kitabu kinachoitwa Biblia. Kwanza Biblia ni nini? Ni wapi katika hiyo biblia kitabu hicho kinajieleza kuwa kinaitwa biblia. Issa alitumwa na Injili. Injili ya Issa sio yale matapu tapu ya Paul na upuuzi mwingine kwenye hicho kitabu. Issa, Ibrahim wametajwa katika Quran ni lazima Muislam aamini. Quran haitegemei biblia. Period

Sent using my NOKIA torch
Unaiongelea Injili ile ambayo Yesu anawaagiza Mitume wake wakawabatize watu wote duniani kwa jina la Mungu aliye katika nafsi tatu: "Baba,Mwana na Roho Mtakatifu" lakini anayemkataa Muhammad au injili gani hasa?
 
Unaiongelea Injili ile ambayo Yesu anawaagiza Mitume wake wakawabatize watu wote duniani kwa jina la Mungu aliye katika nafsi tatu: "Baba,Mwana na Roho Mtakatifu" lakini anayemkataa Muhammad au injili gani hasa?
Reference yangu na zako ni tofauti, hatuwezi kuongelea hili. Simple tu.

Sent using my NOKIA torch
 
Sawa mkuu.

Hebu tusaidie, Kwa maoni yako,kwa uweledi wako, tekinolojia hiyo ya kuunda roboti zinazoongea (kama ambavyo tumeshuhudia hivi karibuni,wachina wakiunda roboti zinazoweza kusalimia au kukaribisha wateja dukani), ilikwisha kuwepo duniani wakati wa Haruni na Musa?
Rejea vema katika tafsiri ya Quran kisha uone,

فَأَخْرَجَ لَهُمْ عِجْلًا جَسَدًا لَّهُۥ خُوَارٌ فَقَالُوا۟ هَٰذَآ إِلَٰهُكُمْ وَإِلَٰهُ مُوسَىٰ فَنَسِىَ

88. Na akawaundia ndama, kiwiliwili chenye sauti. Na wakasema: Huyu ndiye mungu wenu, na mungu wa Musa, lakini alisahau

Hapo ndipo unaposema roboti linaloongea?
 
Rejea vema katika tafsiri ya Quran kisha uone,

فَأَخْرَجَ لَهُمْ عِجْلًا جَسَدًا لَّهُۥ خُوَارٌ فَقَالُوا۟ هَٰذَآ إِلَٰهُكُمْ وَإِلَٰهُ مُوسَىٰ فَنَسِىَ

88. Na akawaundia ndama, kiwiliwili chenye sauti. Na wakasema: Huyu ndiye mungu wenu, na mungu wa Musa, lakini alisahau

Hapo ndipo unaposema roboti linaloongea?

Sijakosea chochote.Kinachoongelewa hapo ni sanamu wa ndama.Sasa, sanamu ina tofauti na roboti?
 
Quruani ilishuka toka mbinguni na yeye mtume alikuwa hajui kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo kutojua, kusoma ni sifa chanya? Huoni kwamba Muhammad angalikuwa anafahamu kusoma angaliweza kuepuka kumeza mambo ambayo yanaacha ukakasi kama haya,ya roboti wa Ndama?Je,kama Muhammad hakufahamu kuandika wala kusoma, ina maana vile vile hata kusikia pia hakuwa anasikia ?
 
Nahisi kama sio wewe basi mjinga mmoja kama wewe aliwahi kupost vitu kama hivi vinalivyouliza kuhusu jua, na lingine kuhusu milima kuwa vigingi. Na nilimjibu hadi alikimbia, tukatangaza ushindi.
Kwa kuanza, upo biased sana kaka kwa kutaka kuonyesha madhaifu ya quran siku zote bila ya mazuri. Mfano katika nukuu zako za aya ulizotoa, za bible umenukuuu mstari kwa mstari ila kwenye quran hukufanya hivyo so inaonyesha jinsi usivyojiamini na usivyotaka kutenda haki ili tutoe ufafanuzi vizuri.
La pili lazima ujue, ndani ya quran kuna Zaburi, Torat, injili na furkan au quran yenyewe aliyoteremshiwa Muhmad(saw). So kuna mfanano kwa kuwa waislam tuna amini kuwa hao wote kabla ya muhamad ni wajumbe wa mwenyezi Mungu. Na hizo ni simulizi zimeletwa kwenye quran ili iwe ni mafundisho na mifano kwa kizazi cha enzi ya mtume na cha sasa. Hakuna sehemu yoyote quran imefanana na matendo, luka wala wakolitho. Kwankuwa hayo si maneno ya Mungu. Angalia vizuri utaona yanaanza na adress kama barua ya mtume paulo kwa wakolitho.
Ndio maana hata yesu alisema amekuja kutimilza na sio kutengua kile cha torati.
Weka sawa aya zako ili ujibiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu mimi nakushauri kabla ya kutafuta mada za kubishana kuhusu masuala ya dini jitahidi sana kutafuta kwa undani ni lipi hasa chimbuko la dini na watu kuabudu mungu ukiyajua hayo sidhani kama hata hizo mada zako za kijinga utaweza kuzileta hapa, ni ukweli usiopingika uislamu unayo majibu ya kutosha na ya kushibisha kwa wale wenye akili na wenye nia ya dhati ya kutaka kuufahamu ukweli, lakini problem yako wewe unawatafuta watu shari na utaipata.
 
1. Sina ujivuni wowote ule na kama ninao, hauzidi ule wa Muhammad kujidai kwamba yeye alikuwa sawa na Yesu.Ni ujivuni gani huo wa Muhammad wa kusema kuwa Mungu hana uwezo wa kuwa na mwana kwa sababu, eti kwa sababu hakuwa na mke?

2. Ni ujivuni huo wa Muhammad wa kumuwekea Mungu mipaka ya uwezo kiasi kwamba eti Mungu hawezi kuwa na nafsi kama Muhammad alivyosema katika Kurani?

3. Je,ina maana Muhammad anamfahamu sana Mungu kuliko hata Mungu anavyojifahamu?Mungu anasema yuko katika nafsi tatu lakini Muhammad yeye anakataa! Je,kwa mazingira kama hayo, ina maana baada ya Muhammad kupewa utume aligeuka akawa na ufahamu wa mambo yote kuliko Mungu?
Muhammad hajasema chochote katika Quran. Mungu hana nafsi 3.....huu ni uongo wa hali ya juu...mnaamini kibubusa tu.

Sent using my NOKIA torch
 
Back
Top Bottom