Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Aliyetengeneza sanamu ni samir.
Alimtoboa tundu kwa nyuma.upepo ukipita mdomoni unatokea kule nyuma.sauti inatoka.
UNALIJUA TARUMBETA?
HUNA HOJA YA KUIKOSOA QURAN.
QURAN IS THE BEST.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhammad hajasema chochote katika Quran. Mungu hana nafsi 3.....huu ni uongo wa hali ya juu...mnaamini kibubusa tu.

Sent using my NOKIA torch

Ndio maana nikakuambia kuwa wewe umeuingia uislamu juzi juzi.Sasa subiria nyuzi zijazo tutakapomwaga ushahidi.Jitahidi sana kuusoma uislamu kwa kina, vinginevyo utabakia unalialia kila mara kuwa Uislamu unaonewa wivu na wakristo, hasa pale munapokuwa challenged kama hivi,wakati kumbe tunaongea mambo ambayo yapo.
 
Muhammad hajasema chochote katika Quran. Mungu hana nafsi 3.....huu ni uongo wa hali ya juu...mnaamini kibubusa tu.

Sent using my NOKIA torch

Kwa hiyo, sasa unakubali kwamba Mungu ni nafsi tatu na kwamba Yesu ni nafsi ya pili ya Mungu?Na sasa unasadiki kwamba Yesu ndiye atakayewahukumu wanadamu wote akiwemo na Muhammad? Na je sasa unakiri kuwa kumbe Muhammad amewapotosha waislamu miaka yote hii kwa kuwaandikia katika Kurani kuwa Mungu hana nafsi?
 
mkuu mimi nakushauri kabla ya kutafuta mada za kubishana kuhusu masuala ya dini jitahidi sana kutafuta kwa undani ni lipi hasa chimbuko la dini na watu kuabudu mungu ukiyajua hayo sidhani kama hata hizo mada zako za kijinga utaweza kuzileta hapa, ni ukweli usiopingika uislamu unayo majibu ya kutosha na ya kushibisha kwa wale wenye akili na wenye nia ya dhati ya kutaka kuufahamu ukweli, lakini problem yako wewe unawatafuta watu shari na utaipata.

Kwa hiyo, unakiri kwamba wanazuoni wa kiislamu, walioandika machapisho lukuki kuwaponda wakristu kwa kuamini kuwa Mungu ana nafsi tatu; kwamba Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu; na kwamba Yesu alikufa kweli msalabani na wala hakujifisha,kuwa wanazuoni hao walikuwa wamekosa kazi za kufanya na kwamba walifanya hivyo kwa kujitafutia mlo wa kila siku tu? Na kama ndivyo, kwa nini hujachukua hatua kuomba msamaha kabla ya kufanya condemnation kwa wakristu, katika nao kuhoji utume wa Muhammad?
 
Quran na biblia ni kama jumba la dhahabu kwa nje linapendeza kuliangalia ila ikiingia ndani unakuta kuna mchanganyiko wa almasi na vyumba vyenye kutu nyingi na wenye jumba hilo wanasema kuna almasi peke yake


Mtoa mada upo vizuri kufungua akili za watu upate kujua ukweli maana biblia inasema itafuteni kweli kwa maana kweli itawaweka huru

ila inaonekana upo kishabiki sana hata siku moja biblia haiwezi kupona kama quran ina hadithi za uwongo maana katika mada zako unaelezea vizuri sana ila tatizo lako unamaliza kila kitu mwenyewe baada ya kuwachia watu watoe mawazo yao

ila kiuhalisia quran na biblia ni vitabu kama riwaya za kusadikika nchi iliyopo angani vimejaa uwongo sana
 
Nahisi kama sio wewe basi mjinga mmoja kama wewe aliwahi kupost vitu kama hivi vinalivyouliza kuhusu jua, na lingine kuhusu milima kuwa vigingi. Na nilimjibu hadi alikimbia, tukatangaza ushindi.
Kwa kuanza, upo biased sana kaka kwa kutaka kuonyesha madhaifu ya quran siku zote bila ya mazuri. Mfano katika nukuu zako za aya ulizotoa, za bible umenukuuu mstari kwa mstari ila kwenye quran hukufanya hivyo so inaonyesha jinsi usivyojiamini na usivyotaka kutenda haki ili tutoe ufafanuzi vizuri.
La pili lazima ujue, ndani ya quran kuna Zaburi, Torat, injili na furkan au quran yenyewe aliyoteremshiwa Muhmad(saw). So kuna mfanano kwa kuwa waislam tuna amini kuwa hao wote kabla ya muhamad ni wajumbe wa mwenyezi Mungu. Na hizo ni simulizi zimeletwa kwenye quran ili iwe ni mafundisho na mifano kwa kizazi cha enzi ya mtume na cha sasa. Hakuna sehemu yoyote quran imefanana na matendo, luka wala wakolitho. Kwankuwa hayo si maneno ya Mungu. Angalia vizuri utaona yanaanza na adress kama barua ya mtume paulo kwa wakolitho.
Ndio maana hata yesu alisema amekuja kutimilza na sio kutengua kile cha torati.
Weka sawa aya zako ili ujibiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Waislamu mnapofundishwa kwamba Yesu alijifisha msalabani na baadaye kuzinduka alipopelekwa kaburini huwa mnaoongea mazuri ya wakristu au yale munayoyaona yana udhaifu? Hivi waislamu munapofundishwa kwamba Mungu hawezi kuwa na mwana kwa sababu hana mke kama alivyokuwa Muhammad,huwa mnaongea mazuri ya wakristo au madhaifu yao?
 
Quran na biblia ni kama jumba la dhahabu kwa nje linapendeza kuliangalia ila ikiingia ndani unakuta kuna mchanganyiko wa almasi na vyumba vyenye kutu nyingi na wenye jumba hilo wanasema kuna almasi peke yake


Mtoa mada upo vizuri kufungua akili za watu upate kujua ukweli maana biblia inasema itafuteni kweli kwa maana kweli itawaweka huru

ila inaonekana upo kishabiki sana hata siku moja biblia haiwezi kupona kama quran ina hadithi za uwongo maana katika mada zako unaelezea vizuri sana ila tatizo unamaliza kila kitu mwenyewe baada ya kuwachia watu watoe mawazo yao

ila kiuhalisia quran na biblia ni vitabu kama riwaya za kusadikika nchi iliyopo angani vimejaa uwongo sana

Lete uzi kuonyesha uongo wa Biblia na watu tutajibu.Mimi nimehitimisha mada yangu kwa kuuliza tu na wala hakuna mahali nilitoa hitimisho.Nimebandika maswali kibao hapo na hivi ni wajibu wa wanazuoni wa kiislamu kutoa majibu.
 
Lete uzi kuonyesha uongo wa Biblia na watu tutajibu.Mimi nimehitimisha mada yangu kwa kuuliza tu na wala hakuna mahali nilitoa hitimisho.Nimebandika maswali kibao hapo na hivi ni wajibu wa wanazuoni kutoa majibu.


Kabla ya yote jiulize biblia kaandika nani? mwaka gani? na huyo muandishi wakati anaandika alikuwa ktk mazingira gani? lengo la kundika biblia ni kuwalenga jamii gani?
 
Kabla ya yote jiulize biblia kaandika nani? mwaka gani? na huyo muandishi wakati anaandika alikuwa ktk mazingira gani? lengo la kundika biblia ni kuwalenga jamii gani?

Biblia sio Kitabu kimoja bali mkusanyiko wa vitabu vipatavyo 72 au 73.Na kila Kitabu kina mwandishi wake.Na kila mwandishi alikuwa aliandika katika mazingira yake na kwa hadhira fulani kwa kusudi la kuwasilisha maudhui fulani.Mkuu, Umeelewa sasa?
 
Kwa hiyo, unakiri kwamba wanazuoni wa kiislamu, walioandika machapisho lukuki kuwaponda wakristu kwa kuamini kuwa Mungu ana nafsi tatu,kwamba Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu na kwamba Yesu alikufa kweli msalabani na wala hakujifisha,kuwa wanazuoni hao walikuwa wamekosa kazi za kufanya na kwamba walifanya hivyo kwa kujitafutia mlo wa kila siku tu? Na kama ndivyo, kwa nini hujachukua hatua kuomba msamaha kabla ya kufanya condemnation kwa wakristu, katika nao kuhoji utume wa Muhammad?
Kwa hiyo wewe unaandika hizi nyuzi kuwajibu hao wanazuoni waliondika machapisho? Kwani wao waliandika humu? Wapo humu? Umeambiwa humu kuna wanazuoni unaowatafuta? Wewe umekaa kishabiki na kejeli....hautafanikiwa kamwe?

Walishindwa watu na akili zao utakuwa wewe mtu wa hapa Tz? Mpumbavu mmoja tu unajiona una akili sana kuhoji sana. Walishahoji wenzio wakashindwa....unakuja wewe leo 2018? What a fvkc?

Angali uzi wako unawachangiaji wangapi? Watu wanasoma tu na kuacha. You'll never win.

Sent using my NOKIA torch
 
Kwa hiyo, sasa unakubali kwamba Mungu ni nafsi tatu na kwamba Yesu ni nafsi ya pili ya Mungu?Na sasa unasadiki kwamba Yesu ndiye atakayewahukumu wanadamu wote akiwemo na Muhammad? Na je sasa unakiri kuwa kumbe Muhammad amewapotosha waislamu miaka yote hii kwa kuwaandikia katika Kurani kuwa Mungu hana nafsi?
Soma tena uelewe. Mungu nafsi 3 is DOGMA. TRINITY OF GOD IS A DOGMA

Sent using my NOKIA torch
 
Biblia sio Kitabu kimoja bali mkusanyiko wa vitabu vipatavyo 72 au 73.Na kila Kitabu kina mwandishi wake.Na kila mwandishi alikuwa aliandika katika mazingira yake na kwa hadhira fulani kwa kusudi la kuwasilisha maudhui fulani.Mkuu, Umeelewa sasa?


Ndio hao namanisha kwa kuanza walioandika agano la kale hasa kitabu cha genesis

Kiliandikwa lini ? mwaka gani? na ilikuwa kuwalenga watu wa jamii ipi?
 
Biblia sio Kitabu kimoja bali mkusanyiko wa vitabu vipatavyo 72 au 73.Na kila Kitabu kina mwandishi wake.Na kila mwandishi alikuwa aliandika katika mazingira yake na kwa hadhira fulani kwa kusudi la kuwasilisha maudhui fulani.Mkuu, Umeelewa sasa?
Kwanini leo hakuna wengine wanaoandika vitabu vikoangezwa kwenye Biblia? Tatizo nini?

Sent using my NOKIA torch
 
Ndio hao namanisha kwa kuanza walioandika agano la kale hasa kitabu cha genesis

Kiliandikwa lini ? mwaka gani? na ilikuwa kuwalenga watu wa jamii ipi?

Mwanzoni niliona nikusaidie tu lakini mjadala huu ni juu ya Roboti la Ndama kutengenezwa na msamaria.Hebu anzisha uzi na ujenge hoja huko kuliko kuja kwa kudonoadonoa hivi.
 
Mwanzoni niliona nikusaidie tu lakini mjadala huu ni juu ya Roboti la Ndama kutengenezwa na msamaria.Hebu anzisha uzi na ujenge hoja huko kuliko kuja kwa kudonoadonoa hivi.

Kwanini unang'ang'ania habari za kuanzisha uzi me somo lako nimelipenda sana ningekuwa hakimu ningepiga nyundo

Kubali changamoto Mkuu me nakubali sana ila nasikitika unanikwepa haina shida kama unaweka mada mezani halafu hutaki changamoto
 
Back
Top Bottom