Naona huna uelewa kuhusu ni nini maana ya maandiko matakatifu.Toka Yesu aondoke, watu wameandika sana juu ya ujumbe ule ule kwamba Mungu ni nafsi tatu,kwamba Yesu ni nafsi ya pili ya Mungu, aliyekufa na kufufuka na kwamba atarudi kuwahukumu wanadamu wote, akiwemo na Muhammad na kwamba Yesu hakuwahi kumtabiria Muhammad utume.Sasa fikria yote hayo yaliyoandikwa na watu maelfu, vitabu vyao vimeongezwa pamoja katika vile vya Biblia hali ingalikuwaje? Unafikiria winchi isingalitumika katika kuinyanyua Biblia?