Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Quran iko moja tu nani kakwambia versions ya English inatengua Original Quran ,hata version za kiswahili zipo nyingi tu , lakini wote wanatoa tafsiri kutoka kwenye original Quran huku hakuna padre luther king kwamba anaamka anaamua kwamba vitabu hivi avifai biblia ibaki na vitabu 66
Biblia ni Maktaba kuubwa ninapo Ingia nachagua Vitabu litakavyo soma [emoji106] eti sura ya ng'ombe, kichuguu, sura ya meza hapo mbuzi Katoliki hakosi, nyuki, mbuguma....hushituki aah [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo unachotaka kusema hakina maana kwasababu waislamu wanaambiwa wasiuleze kwasababu Quran ikishuka itaweka majibu sasa hapo kuna mantiki gani ya kuingiza hiyo aya .Halafu hayo maandiko hayakupi wewe uhalali wa kuweka viemoji badala ya kujibu maswali unayoulizwa
eti ikishuka [emoji15] kama haikushuka [emoji15] [emoji12] na msomaji Wa kuwasomea mishusgo esha jifia [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mpumbavu tu unayetafuta maarufu. Kuna mwenzio mgen mpaka leo hajafanikiwa lolote seuze wewe? Acheni upuuzi wenu.

Sent using my NOKIA torch
Ninaweza kuwa nimekosea mpangilio kwa kuwasilisha mambo lakini maudhui yamesalia wazi.Kama kitabu kipo tayari na kama unataka kufahamu kuwa nina ujuzi wa kupangilia mambo basi kakitafute.Ni hiki hapa.
Kitabu hiki mbona kama kama kita kurasa 5 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekuwa Qadiani sio? halafu wewe umuokoa nani badala ya kufikiria namna ya kuacha kufuru zenu za ";Bikira Maria mama wa Mungu " eti unajidanya kutuvuta sisi. ndugu hizo kufuru zenu ebu endelea nazo ila mwisho wake ni wenye masikitiko makubwa

[emoji117]
IMG_20180831_144213_111.jpg
Achana na Bikira Maria hata allah kampa darja ambalo hajampa hata baba kasimu [emoji117]
IMG_20180831_153141_860.jpg
hadi chakula alicho kuwa akila huyu mama kinatoka sardaus! Nini kinataka kuingia tumboni kwa huyu mama!? hapo kuna hoja kwa wanao Amin lakini kwa makafir [emoji15] [emoji12] [emoji736] allah alipo tusoma alituona [emoji117]
IMG_20180831_161306_526.jpg
IMG_20180831_161715_716.jpg
hadi akasema msihofu [emoji117]
IMG_20180831_154057_509.jpg
[emoji122] [emoji122] [emoji106] sina muda wa kusikiliza mbweraa za kafiri daudi shahara [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20180831_153141_860.jpg
    IMG_20180831_153141_860.jpg
    34.2 KB · Views: 27
  • IMG_20180831_154057_509.jpg
    IMG_20180831_154057_509.jpg
    57.8 KB · Views: 27
Hivi ww ukiambiwa alitumwa na Mungu kupitia jibril hiyo sentensi huwa uelewi ?
53:3-5
3";Wala hatamki kwa matamanio yake"
4";Hayakuwa haya ila ni ufunuo(wahyi) ulio funuliwa kwake
5"; amemfundisha aliye mwingi wa nguvu(jibril)

sasa hapo kipi uelewi maandiko yako wazi

Mbona hutaki kunielewa kwa maksudi [emoji47] [emoji12] Hapo muhammad amesha jitangaza kwamba yeye Katumwa na Mungu...nimekupa ref ili jibu lako liogelee ki-hivi [emoji117]
IMG_20180829_092912_990.jpg
IMG_20180828_154342_402.jpg
ooh kamfundisha jiburilu [emoji15] alijuaje huyo aliyemkaba ni jiburilu [emoji47] wee unahangaika kwenye mapango unakabwa humjui aliye kukaba au alimjua ni jiburilu aliye mkaba!! Nijibu hapo [emoji4] ngoja nikuweke uporo [emoji53]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitabu hiki mbona kama kama kita kurasa 5 tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kitabu heavy sana mkuu.Kina kurasa 435. Ikiwa unakihitaji tuwasiliane inbox.Ni moja ya vitabu ambavyo vinakuja kuleta changamoto kubwa sana katika Uislamu kwa Tanzania na Afrika Mashariki.Kimejibu kila aina ya upondaji wa Waislamu kwa Wakristu na kimebainisha kila aina ya mafundisho ya upotoshaji(heresies) katika uislamu.
 
Mkuu Mimi Nilishawahi Kukutana Na Quran ambayo ina aya nyungi zaid ya hii ya kibongo mimi huwa na kiri kuwa Mudy alikuwa mtume alieagizwa na Mungu kuwakanya Waarabu maana waarabu walionekana ni wakaidi sana enzi hizo kutokana na Uandishi wa Quran nimegundua kuwa hicho ni kitabu kinachopaswa kuwafundishia magaidi kuwaonya nk: Hivo ndugu kuna Quran ya waislam ambayo imezidi Aya hii Quran Inakiri Kuwa Quran ilifanyiwa Editng Baada ya Mudy kufariki na ikaongezewa vitu kadha kwa kadha ama kwa hakika katika quran Sio Vyote vilivyopp hapo vimetoka kwa Mungu ......Moja ya vitu vinavyonisababbisha niamini hizi kauli ni kama Yesu hakufa ila inakiri Kuwa Tukio la kufa lilikuwepo .....pia kama kusema Yesu Sio Mungu ila inakiri kuwa yeye NI ROHO WA MUNGU...Pia kama Kusema Yesu Alikuwa tu Mtume kwa Waisrael Na huku wao Wakiiamin Injili hiyo waliyopelekewa wana wa israel hivo nafikiri kwamba NDUGUNZANGU WAISLAM ndo wamesha fail HHAWAENDI MBINGUNI.
 
Mkuu Mimi Nilishawahi Kukutana Na Quran ambayo ina aya nyungi zaid ya hii ya kibongo mimi huwa na kiri kuwa Mudy alikuwa mtume alieagizwa na Mungu kuwakanya Waarabu maana waarabu walionekana ni wakaidi sana enzi hizo kutokana na Uandishi wa Quran nimegundua kuwa hicho ni kitabu kinachopaswa kuwafundishia magaidi kuwaonya nk: Hivo ndugu kuna Quran ya waislam ambayo imezidi Aya hii Quran Inakiri Kuwa Quran ilifanyiwa Editng Baada ya Mudy kufariki na ikaongezewa vitu kadha kwa kadha ama kwa hakika katika quran Sio Vyote vilivyopp hapo vimetoka kwa Mungu ......Moja ya vitu vinavyonisababbisha niamini hizi kauli ni kama Yesu hakufa ila inakiri Kuwa Tukio la kufa lilikuwepo .....pia kama kusema Yesu Sio Mungu ila inakiri kuwa yeye NI ROHO WA MUNGU...Pia kama Kusema Yesu Alikuwa tu Mtume kwa Waisrael Na huku wao Wakiiamin Injili hiyo waliyopelekewa wana wa israel hivo nafikiri kwamba NDUGUNZANGU WAISLAM ndo wamesha fail HHAWAENDI MBINGUNI.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi wa Kurani ndo yule yule mpinga kristo.
Mpango wake wa awali ulikuwa ni kuwaua watu wote waliokuwa wakieneza injili ya Kristo - akashindwa!

Baada ya kushindwa akajaribu kufanya modification ya mienendo ya kipagani ili iendane na ukristo - hapo ni kama alifanikiwa.

Baada ya kuona ukristo unaendelea kujithihirisha .. akaona atengeneze kundi jingine lenye kupinga ukristo - na hapo akafanya modification ya Bible ... na hapo akashindwa.

Kwa sasa yuko bize anaangaika na secret societies kama vile Free marson n.k.

Si mwingine ni huyu huyu anayejifanya kuutawala ulimwengu kiimani.
Acha maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa na michezo ya upatu
69:43;" Ni uteremsho utokao kwa mola mlezi wa walimwengu wote;"

Acha soga kijana hapa tupo wazee na heshima zetu
 
Mkuu Mimi Nilishawahi Kukutana Na Quran ambayo ina aya nyungi zaid ya hii ya kibongo mimi huwa na kiri kuwa Mudy alikuwa mtume alieagizwa na Mungu kuwakanya Waarabu maana waarabu walionekana ni wakaidi sana enzi hizo kutokana na Uandishi wa Quran nimegundua kuwa hicho ni kitabu kinachopaswa kuwafundishia magaidi kuwaonya nk: Hivo ndugu kuna Quran ya waislam ambayo imezidi Aya hii Quran Inakiri Kuwa Quran ilifanyiwa Editng Baada ya Mudy kufariki na ikaongezewa vitu kadha kwa kadha ama kwa hakika katika quran Sio Vyote vilivyopp hapo vimetoka kwa Mungu ......Moja ya vitu vinavyonisababbisha niamini hizi kauli ni kama Yesu hakufa ila inakiri Kuwa Tukio la kufa lilikuwepo .....pia kama kusema Yesu Sio Mungu ila inakiri kuwa yeye NI ROHO WA MUNGU...Pia kama Kusema Yesu Alikuwa tu Mtume kwa Waisrael Na huku wao Wakiiamin Injili hiyo waliyopelekewa wana wa israel hivo nafikiri kwamba NDUGUNZANGU WAISLAM ndo wamesha fail HHAWAENDI MBINGUNI.
Acha bange mkuu humu bila dalili za kueleweka unaonekana kama chizi
 
Naye baba fatuma huwa ATAKALO HUWA NA HANA MSHAURI [emoji47] Ndipo ninapo kuona huna Mkole [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachofanya huku mtaani tunaita kidugu unacheza kwa kuruka ruka .Unastaajabu malaika kukaba mtu huku Mungu wako nae mkabaji tena akizidiwa anacheza rafu maana yale maeneo aliompiga Yakobo ni karibia na Ikulu
 
Leo hii hujui kwamba; kwa hiyo deen ya waarabu unayo iwao umemkumbatia shehetan na umejipa wepesi mwenyewe ktk safari yako ya moto, motoni [emoji15] Huna uwezo wa ukayajua hayo...UWEZO hunnà hunà mshauri [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi tunaita kelele maana hakuna dalili yeyote ya kukubeba kwenye hili endelea na kufuru zako eti bikira Maria mama wangu jamani nyie watu mwenye macho na aone
 
Mwandishi wa Kurani ndo yule yule mpinga kristo.
Mpango wake wa awali ulikuwa ni kuwaua watu wote waliokuwa wakieneza injili ya Kristo - akashindwa!

Baada ya kushindwa akajaribu kufanya modification ya mienendo ya kipagani ili iendane na ukristo - hapo ni kama alifanikiwa.

Baada ya kuona ukristo unaendelea kujithihirisha .. akaona atengeneze kundi jingine lenye kupinga ukristo - na hapo akafanya modification ya Bible ... na hapo akashindwa.

Kwa sasa yuko bize anaangaika na secret societies kama vile Free marson n.k.

Si mwingine ni huyu huyu anayejifanya kuutawala ulimwengu kiimani.
Hili ni dai ambalo huwezi kuthibitisha popote , sisi tunakuchukulia kama mtu mwenye jazba tu
 
Biblia ni Maktaba kuubwa ninapo Ingia nachagua Vitabu litakavyo soma [emoji106] eti sura ya ng'ombe, kichuguu, sura ya meza hapo mbuzi Katoliki hakosi, nyuki, mbuguma....hushituki aah [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Maktaba kubwa kweli kweli ndio maana padre martin Luther king hakaamua apunguze vile vitabu vingine maana vinamkera, halafu kuhusu majina yote hayana tabu vyote ni vya Mwenyezi Mungu unastaajabu nini dogo
 
Mkuu Mimi Nilishawahi Kukutana Na Quran ambayo ina aya nyungi zaid ya hii ya kibongo mimi huwa na kiri kuwa Mudy alikuwa mtume alieagizwa na Mungu kuwakanya Waarabu maana waarabu walionekana ni wakaidi sana enzi hizo kutokana na Uandishi wa Quran nimegundua kuwa hicho ni kitabu kinachopaswa kuwafundishia magaidi kuwaonya nk: Hivo ndugu kuna Quran ya waislam ambayo imezidi Aya hii Quran Inakiri Kuwa Quran ilifanyiwa Editng Baada ya Mudy kufariki na ikaongezewa vitu kadha kwa kadha ama kwa hakika katika quran Sio Vyote vilivyopp hapo vimetoka kwa Mungu ......Moja ya vitu vinavyonisababbisha niamini hizi kauli ni kama Yesu hakufa ila inakiri Kuwa Tukio la kufa lilikuwepo .....pia kama kusema Yesu Sio Mungu ila inakiri kuwa yeye NI ROHO WA MUNGU...Pia kama Kusema Yesu Alikuwa tu Mtume kwa Waisrael Na huku wao Wakiiamin Injili hiyo waliyopelekewa wana wa israel hivo nafikiri kwamba NDUGUNZANGU WAISLAM ndo wamesha fail HHAWAENDI MBINGUNI.
Unaweza kuthibitisha ni muda gani yesu alisulubiwa?
 
Unachofanya huku mtaani tunaita kidugu unacheza kwa kuruka ruka .Unastaajabu malaika kukaba mtu huku Mungu wako nae mkabaji tena akizidiwa anacheza rafu maana yale maeneo aliompiga Yakobo ni karibia na Ikulu
Mungu ATAKALO HUWA NA MALAIKA naye ATAKALO HUWA [emoji15] [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom