mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Biblia ni Maktaba kuubwa ninapo Ingia nachagua Vitabu litakavyo soma [emoji106] eti sura ya ng'ombe, kichuguu, sura ya meza hapo mbuzi Katoliki hakosi, nyuki, mbuguma....hushituki aah [emoji15] [emoji12]Quran iko moja tu nani kakwambia versions ya English inatengua Original Quran ,hata version za kiswahili zipo nyingi tu , lakini wote wanatoa tafsiri kutoka kwenye original Quran huku hakuna padre luther king kwamba anaamka anaamua kwamba vitabu hivi avifai biblia ibaki na vitabu 66
Sent using Jamii Forums mobile app