Je, tendo la ndoa linafaa wakati gani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mambo ya kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa yamesababisha vijana wengi kutokuoa mapema na wengine hawana mpango wa kuoa/kuolewa maana kile ambacho kingemsukuma kuoa anakipata bila kuoa.Kijana mmoja akipoulizwa kwa nini haoi?"Alisema kuwa hawezi kufuga ng'ombe wa maziwa wakati maziwa yanapatikana kirahisi" huko tuendako ndoa hazitakuwepo
 
Naunga mkono hoja
 
Haijalishi unapitia mangapi, usiache ku ngonoka...

Akawasha gari akateleza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…