Nimechukua balimi hapa changu Lee njoo ulipePita kwa mangi chukua novida ntalipa
Watu tu napenda kupiga game jamani 😁😁Nakazia
Hakika sheikh🧚♀️🧚♀️Uko na madini kwa kichwa!
Yeboooooo🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️Hii comment iwekewe pop up message JamiiForums, Kila member na guest waisome kwa lazima.
Asante kwa masahihisho.Kila siku tunaambiana siyo maada ni mada.
Maada ni substance.
Mada ni topic.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya ukikaa kiree eti unasubiri game mpaka ndoa unakuja kuuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe fisi.
Ku test mitambo muhimu asee, hata gari lazima likaguliwe kabla ya safari. Tena safari ndefu kama ya ndoa inatakiwa ushushe hadi engine umwage na oil kabisa.
Naunga mkono hojaHaya mambo ya kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa yamesababisha vijana wengi kutokuoa mapema na wengine hawana mpango wa kuoa/kuolewa maana kile ambacho kingemsukuma kuoa anakipata bila kuoa.Kijana mmoja akipoulizwa kwa nini haoi?"Alisema kuwa hawezi kufuga ng'ombe wa maziwa wakati maziwa yanapatikana kirahisi" huko tuendako ndoa hazitakuwepo
[emoji3][emoji3]Watu tu napenda kupiga game jamani [emoji16][emoji16]