Umeshatoka kifungoni Demiss, hongera.
Sent using my Nokia Torch
Kama wachungaji, masheikh, mapadre wapo kwenye game sembuse muimbaji tena aliyejiweka ki bongo fleva? Nilishaambiwa kuhusu jamaa. It's not a surprising news to me.Mtu Akiwa Maarufu Haachwi Kupakwapakwa Matope Achafuke Ili Brand Na Image Yake Ibomoke. Haingii Akilini Mwana Gospel Musician Kama Yule Ajihusishe Na Ushenzi Kama Huo Ni Dhambi Ya Ulawiti. Mchungaji Gani Anakaa Na Walawiti? Dhambi Ni Mbaya Haijawahi Kumuacha Mtu Salama Akastawi, Mungu Hadhihakiwi
Inasikitisha sana. Malezi ya mtoto wa kiume sasa hivi ni magumu kuliko ya wa kike.kadri mtoto wa kiume anavozidi kukua ndiyo pressure kwa wazazi inazidi kupanda! Mungu atunusuru!
Sura ya kitabu inasadifu yaliyomo .Niko hapa Dar kibiashara tangu Jumamosi (nimekuja kuuza vumbi la Kongo maana nimeona biashara ya majeneza peke yake ntakufa na njaa)
Sasa jana nikiwa ndani ya bar moja mitaa ya Makumbusho mida ya saa mbili hivi usiku niko na jamaa zangu tunakula tungi ghafla kuliibuka ubishani meza ya jirani kulikuwa na jamaa flani mmoja namjua huwa ni bongo movie sasa walikuwa wanabishana kuhusu watu maarufu wanaotafunwa (mashoga)
Ubishani huo uliibuka baada ya wadau hao kudai kuwa yule msanii kijana machachari wa muziki wa injili ambaye anafahamika
kama "Nzuri bahati" (nimetumia code)
Eti huyu kijana naye yumo kwenye skendo ya kubanduliwa.!
Ukweli hata mimi sikuamini kabisa maana binafsi nyimbo za huyu kijana huwa zinanibariki sana sasa leo mtu aseme eti huyu kijana naye ni "biriani"
Ukweli mpaka sasa siamini kabisa!
Sasa humu najua kuna watu tofauti na pengine wapo waliowahi kusikia hii kitu je ni kweli hizi habari? wazee wa codes na mji mzito..
Cc Warumi
Sent using Jamii Forums mobile app
demis wangu nakuppiga tena ban.Wanaume wameisha saivi kimaumbo ni wanaume ila matendo ni wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mbea mkuu nahisi naye yumo mbona kama ana taarifa zote za watu maarufu?sisi wengine tukae pembeni Mana hapo umemuita shogako mbea mkuu warumi
Demiss, Nilikumiss baada ya kusikia una umeme.Wanaume wameisha saivi kimaumbo ni wanaume ila matendo ni wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndizo habari zinazowasisimua sana watu wengi.... udaku wa ngono, uzinzi, upashkuna, ufiraji, ushoga, na skendo za watu maarufu.
Hivi kwenye hizo shule zenu za kata hakuna silabasi zinazofundisha 'haiba na ustaarabu'??
Unapaswa kujifunza kushughulika na mambo yanayokuhusu na kupambana na hali yako kama ambavyo huyo 'shoga' au vyovyote alivyo anavyopambana na hali yake.
Unapenda kunusa nusa makalio ya watu na kuwafuata fuata mwishowe utakuwa mchawi!
Chunga very!
Sent using Jamii Forums mobile app
😰😰 Loh! wifi uwe kyele utagane ni nzagamba tutake radhiWanaume wameisha saivi kimaumbo ni wanaume ila matendo ni wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu alivyo mdaku nilidhani amekuja na tuhuma zenye 'substance' kumbe na yeye anatafuta kujuzwa umbea.Huyu mbea mkuu nahisi naye yumo mbona kama ana taarifa zote za watu maarufu?
Brain storage capacity yake imekuwa occupied na gossiping tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poor beliefs. America, Arabic States And Europe Hawa Na Sisi Nani Anaonekana "Cursed" ? Obviously Africans we seemed to be cursed by excessive poverty, hunger, diseases, underdeveloped, weird beliefs of killing albino and old age group. But those other continents are vice versa and homosexuality is rampant comparing in Africa.Ushoga ni laana na pia ni uchafu,nadhani ni vizuri zaidi tukajikita kwenye kujiuliza root cause ya laana hii kuongezeka ni nini hasa? pia kutafuta njia za kuutokomeza badala ya kujadili tu kua fulani na fulani ni mashoga.
Haiba na ustaarabu ndio msingi wa jamii yoyote iliyostaarabika au inayotaka kustaarabika.Nimecheka kama mazuri.......... shule za KATA kufundisha haiba uko right kabisa..maisha yamebana kiasi kwamba huwezi zungusha shingo hata kwenye daladala kujua umekaa na nani
Typical Mswahili.Halafu alivyo mdaku nilidhani amekuja na tuhuma zenye 'substance' kumbe na yeye anatafuta kujuzwa umbea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Temea mate pembeni!!! Hawa wachungaji ndo mabasha wakubwa wanawalawiti vijana kwa kuwaingiza kwenye misafara yao. Wakatoliki je, ni skendo ngapi mpaka kadinari mmoja mwezi jana kafukuzwa sababu ya ulawiti.Mtu Akiwa Maarufu Haachwi Kupakwapakwa Matope Achafuke Ili Brand Na Image Yake Ibomoke. Haingii Akilini Mwana Gospel Musician Kama Yule Ajihusishe Na Ushenzi Kama Huo Ni Dhambi Ya Ulawiti. Mchungaji Gani Anakaa Na Walawiti? Dhambi Ni Mbaya Haijawahi Kumuacha Mtu Salama Akastawi, Mungu Hadhihakiwi
Nilikumiss mwenzio