Je, tetesi hizi zina ukweli?

Je, tetesi hizi zina ukweli?

Sasa cha kushangaza unakuta kuna mtoto US kuanzia ana miaka mitano alikataa kuvaa nguo za kike na mpaka sasa ni teenager ameanza hormones za kiume. Mwingine siweze sema maana wanangu wanaingia watajua nimewasemea. Kuna mwenzake na mwanangu jinsia naficha yeye hata jina kabadili. Tulipoishi wote ughaibuni hakuwahi vaa nguo ya kike. Aliporudi US toka huko tulipokuwa wote mzigoni kawaeleza wazazi kuwa yeye ameamua jinsia yake ni ME. Sasa anajitahidi kubeba vyuma ili aonekane vile.
Unaonaje? Nina Mifano mingi wanasema tembea uone. Hawa watu lazima mmoja atakuwa na futures za opposite. Kama wote wanawake, mmoja atataka aoinekane mwanamme. Kama wanaume mmoja anaonekana mwanamke. Je Kwanini Michael Jackson hakutoka kuonyesha jinsia yake? Watoto alioacha wote ni wakuadopt au kutungikiwa mimba na rafiki yake.
Utoto na sexual orientation havina effect sana kwa baadae.

Marijali wengi wamecheza rede, kuvaa vitu vya kike lakini baada ya kujitambaua wakajua sio vitu vyao kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu zipo nyingi wengine ni tamaa ya pesa na vitu vizuri.
Wengine wanafanya kwa sababu walishatendwa na wasichana akaamua kuwachukia moja kwa moja.
Wengine gay porn.
Wengine walikosa female company akajikuta anafanya tu ( situational gays) .
Nk.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonaje jamii walokubali au waendelee kulipinga?
 
Mtu Akiwa Maarufu Haachwi Kupakwapakwa Matope Achafuke Ili Brand Na Image Yake Ibomoke. Haingii Akilini Mwana Gospel Musician Kama Yule Ajihusishe Na Ushenzi Kama Huo Ni Dhambi Ya Ulawiti. Mchungaji Gani Anakaa Na Walawiti? Dhambi Ni Mbaya Haijawahi Kumuacha Mtu Salama Akastawi, Mungu Hadhihakiwi

Ulichoandika unamaanisha au umeandika tu?
 
Utoto na sexual orientation havina effect sana kwa baadae.

Marijali wengi wamecheza rede, kuvaa vitu vya kike lakini baada ya kujitambaua wakajua sio vitu vyao kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mhu nina wasi wasi. Nimeona hata wa vijijini wamo waliokua wanajipikilisha sasa ndo hivyo na hawakukulia mazingira hatarishi. Believe me.
 
Hizi mambo zimeanza kuwa normal siku hizi......hakika tamaduni yetu imekuwa twisted.....in 20yrs to come if not 10 or 5....haya mambo yatakuwa kawaida sana....God forbid....
 
Nyie endeleeni kulumbana mi nasikiliza nyimbo ya babake diamond inaitwa DUDU LA YUYU
Kuna harufu ya ushoga na usagaji kwenye huu uzi
 
Ulichoandika unamaanisha au umeandika tu?
Wamewachafua Bongo Fleva Na Bongo Muvi Wakaona Ngoja Wawachafue Na Gospel Fleva. Naandika Kwa Kumaanisha. Wanamuziki Wa Injili Ni Tofauti Na Hao Wengine, Wanaimba Ujumbe Wa Mungu Yawapasa Wawe Safi
 
Mtu Akiwa Maarufu Haachwi Kupakwapakwa Matope Achafuke Ili Brand Na Image Yake Ibomoke. Haingii Akilini Mwana Gospel Musician Kama Yule Ajihusishe Na Ushenzi Kama Huo Ni Dhambi Ya Ulawiti. Mchungaji Gani Anakaa Na Walawiti? Dhambi Ni Mbaya Haijawahi Kumuacha Mtu Salama Akastawi, Mungu Hadhihakiwi
Sema/bisha tu kwa vigezo vingine Ndugu siyo cha Dini,wapo wachafu Dini ni kichaka wakati mwingine wapi sana tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamewachafua Bongo Fleva Na Bongo Muvi Wakaona Ngoja Wawachafue Na Gospel Fleva. Naandika Kwa Kumaanisha. Wanamuziki Wa Injili Ni Tofauti Na Hao Wengine, Wanaimba Ujumbe Wa Mungu Yawapasa Wawe Safi

Tofauti yao nini?

Kisa wanaimba nyimbo za dini au

Nitajie msanii mmoja wa kike wa gospel mwenye ndoa yake

Hawa wasanii kila siku si ndo wanasaliti ndoa zao na kuachika au

Tofauti yao na bongo fleva na bongo movie ni nini wao ni watu special kutoka heaven au?

Hivi hujaona wachungaji na mapadre au ma-sheikh wanachimba na kuchimbuliwa mtaro?

Usitete kwa kumuona ni unique na huyu anayesemwa hapa hana tofauti na bongo fleva ni muandishi mzuri sana wa nyimbo za bongo fleva

So kama anawaandikia nyimbo hao bongo fleva means wana-spend muda wa kutosha wakiwa wote then hawana tofauti
 
Inakuhusu mini?
Acha kumchafulia mwenzio jina.
Ukiona vipi nawe fungua duka Dar wazee wa kusukuma ndani na wenye kuhitaji hiyo kitu ni wengi. Anza na hao wateja wako wa unga wa kongo utosheke. Pilau mchawi wewe
 
Sema/bisha tu kwa vigezo vingine Ndugu siyo cha Dini,wapo wachafu Dini ni kichaka wakati mwingine wapi sana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Ubishi Ni Bora Wakawekwa Wazi Si Vibaya. Haiwezekani Mtu Akaimba Asichokiamini Kwa Lengo La Kupata Fedhaj Tu. Si Vizuri Kuimba Utamu Wa Ndoa Wakati Ndoa Umeiasi
 
Back
Top Bottom