Je, tetesi hizi zina ukweli?

ulichoandika na hiyo biashara yako uliyokuja kuifanya dar mnaendana
 
Kwa hiyo kama ni shoga wewe unataka kujua ili iweje? utanufaika kibiashara, utaomba mchezo au hasa utaongeza au kupunguza nini??

The World will be a better place only if everyone will mind their own life.
Kila mtu akishika hamsini zake ktk hii dunia usingekuwa hapo ulipo acha kujisahaulisha mkuu. Kumbuka mpaka kufika hapo ulipo kuna watu wamehusika bila wewe kuwalipa hata asante.
 
Kila mtu akishika hamsini zake ktk hii dunia usingekuwa hapo ulipo acha kujisahaulisha mkuu. Kumbuka mpaka kufika hapo ulipo kuna watu wamehusika bila wewe kuwalipa hata asante.
Soma tena ulichoandika then come back to argue otherwise you look pathetic on your comment.
 
Usimkanie mtu mkuu ambaye huishi naye wala hujazaliw Naye.kila kitu kinawezekana mkuu.Alisema zamani alikuwa mlevi wa kutupwa je unajuaje hakuwahi kufirwa huko wakati ni mlevi?
 
Si ajabu maana hata Uingereza kuna Askofu Muangalikana ni mke (dume) wa mtu.
Lakini pia huko Catholic tumesikia Mafather wengi wapenda marinda.

Lakini si vizuri kumzushia mtu jambo zito kama hili kama hakuna ushahidi.
 
Makanisa mengi ya kilokole hawamualiki.. Hivi ana wimbo wowote kamtaja Yesu . I'm curious
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…