EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
ulichoandika na hiyo biashara yako uliyokuja kuifanya dar mnaendana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu akishika hamsini zake ktk hii dunia usingekuwa hapo ulipo acha kujisahaulisha mkuu. Kumbuka mpaka kufika hapo ulipo kuna watu wamehusika bila wewe kuwalipa hata asante.Kwa hiyo kama ni shoga wewe unataka kujua ili iweje? utanufaika kibiashara, utaomba mchezo au hasa utaongeza au kupunguza nini??
The World will be a better place only if everyone will mind their own life.
Soma tena ulichoandika then come back to argue otherwise you look pathetic on your comment.Kila mtu akishika hamsini zake ktk hii dunia usingekuwa hapo ulipo acha kujisahaulisha mkuu. Kumbuka mpaka kufika hapo ulipo kuna watu wamehusika bila wewe kuwalipa hata asante.
Usimkanie mtu mkuu ambaye huishi naye wala hujazaliw Naye.kila kitu kinawezekana mkuu.Alisema zamani alikuwa mlevi wa kutupwa je unajuaje hakuwahi kufirwa huko wakati ni mlevi?Mtu Akiwa Maarufu Haachwi Kupakwapakwa Matope Achafuke Ili Brand Na Image Yake Ibomoke. Haingii Akilini Mwana Gospel Musician Kama Yule Ajihusishe Na Ushenzi Kama Huo Ni Dhambi Ya Ulawiti. Mchungaji Gani Anakaa Na Walawiti? Dhambi Ni Mbaya Haijawahi Kumuacha Mtu Salama Akastawi, Mungu Hadhihakiwi
Wekeni picha basi wengine sio wapenzi wa hizo nyimboAlivyolovyo kwa kweli hata mimi napata ukakasi!
Especial pale JAMII inapoogopa baadhi ya watu wenye wadhifa katika jamii, (GOv) na kuonea hawa wasanii. Mimi nasema wacha watu wakulane tu wapendavyo
Nimekuambia usilazimishe watu wakubaliane na ushetani wako wa kasagana.
Hayo mengine n kujaribu kunitoa on point.
Nyie wasagaji n kuwamaliza.
Kila post ya kupinga ushoga wewe na wasagaj wenzako mnatokwa na povu as if usenge n jambo jema.
Nitawasema popote.
Halafu suala la kukoncive watu wafate ushenzi wenu mkome, maana ipo siku mtasaga meno kwa kilio kisichokwisha