Je, TFF Kuna TISS?

Umeandika nini?
 
Ongeza finyango
 
Aisee mtemi ramadhani ninani? Halafu kumbe tiss inakuwaga ahead of time maana Kama miaka ya 80 waliona umuhimu wa kuwa na moles kwenye michezo Basi leo ni zaidi.
Hawatakiwi kuwa gizani Jambo likitokea kwenye kada yyte ile
 
Mada pendwa za jf hizi

Mnaipenda hii ajira

Mnapenda kuwajua kuwafahamu hawa

Ova
 
Yule mwanasheria shahidi kwenye ile kampuni inasadikiwa ni tiss! Itakosekana hapo tff kweli?

ndio maana akawa anawapa mafile polisi bila hata kuhojiwa na kima yeyote.

kama kuna mkulina kanuna ajiue.
 
Ningekuwa ni Mimi ningeuliza hili swali kwa kuwa ligi yetu kwa sasa ni ligi bora kwa Afrika mashariki na kati je Tiss wamejipanga kuilinda ligi yetu dhidi ya mataifa mengine kwani ukiwa na ligi bora ni wazi inagusa mambo mengi sana kiuchumi,kiushirikiano,na kisiasa pia

Mfano tazama uingereza inavyo pambana kuweka ligi yao katika ubora ujio wa Gadiola klop,na sasa ronaldo siyo accident ila ni mipango ya kiinchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…