ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Ligi ya Tanzania imeshakuwa kubwa Sasa inapesa na Ina watu wa kutoka mataifa mbalimbali swali langu ni je Serikali yetu Ina moles wake mule TFF?
Je, maslahi ya nchi ndani ya ligi tajiri Afrika Mashariki na Kati nani anayalinda?
E.N anakipiga Hadi Leo watu hawaelewi kwaninimbona katika kila vilabu vikubwa unavyojua wewe kuna wachezaji n ma informer.
Tff kuna maofisa kabisa ambao binafsi NAWAFAHAMU