Ni sawa mkuu, lakini swala la wewe kudownload movie au nyimbo ni kweli na ukidownload kisha usiipende haitokigharimu chochote kuifuta na kujaribu kudownload nyingine, lakini ukijenga nyumba kwa ramani isiyokidhi ubora au mahitaji ya site yako jiulize ni gharama kiasi gani utahitaji kutatua tatizo, ni kama mtu anaelima kwa mara ya kwanza anawekeza 2M+ kisha anaona tabu kutoa pesa kidogo kwaajili ya consultation kwa mkulima mzoefu, au mtu anaeingia mkataba wa mamilion kisha anaona tabu kutoa pesa kwa mwanasheria kumsaidia na kumshauri, kuna watu wengi wanatapeliwa viwanja kisa tu aliona tabu kuiweka hiyo kisheria au hata kuwalipa kidogo serikali ya mtaa kwenye mauziano, matokeo yake unapoteza million 5+ kisa eti uliona gharama kutoa laki moja. Haya mambo yapo na watu wataendelea kuumia na wabongo wepesi wa kusahau na tunapenda sana shortcut.
Unajenga nyumba ya 30+ unaona tabu kulipia ramani Tsh laki tatu, ufanye kitu cha uhakika zaidi na ushauri wa mambo ya msingi ya kuzingatia ikiwemo na namna ya kupunguza gharama za ujenzi wako
Kila mtu analipwa kutokana na thamani aliyojijengea. Na kila mtu analipa kutokana na thamani anayohisi au anategemea kuipata. Bei standard ya ramani kwa nyumba ya kawaida ni laki tatu na kwa nyumba ya ghorofa ni million moja. Hata hiyo laki na nusu ni ndogo na watu wanafanya kazi na zinalipiwa. Binafsi nisisitize kuwa kukwepa gharama sio tatizo ila muhimu ni ujue unachokifanyaProfession inayoringa kipindi hiki cha uchumi wa katikati siioni labda wale wanaolazimisha rushwa barabarani ya kubrashi viatu wengine wote kapuuuut chaliiiii njaa mbaya huyo wa kukupa 150,000 kwa ramani ya nyumba hayupo
Tunaomba tuone Raman yenyewe hiyo ya 2mMimi ramani imenigharimu 2M nashangaa watu hapa wanazunvumza mambo ya elf10 !? Akili za hovyo kabisa
itakua mpaka soda na ubwabwa zipo ndani yake duh balaa na nusuTunaomba tuone Raman yenyewe hiyo ya 2m
🤣 🤣 🤣 🤣Unaenda mbali sana, ramani siku hizi tunapata kwa 10K.
Kadri siku zinavyoenda ndio umuhimu wa ramani zenu unapungua, watu waliosoma Civil Eng nao wanachora ramani siku hizi, architects nao wanachora unakuta mpaka masela wangu wa electrical nao wamo. Yaani ilimradi vurugu tu.
Auto CAD na zinginezo zimekuwa kimeo, kuna jamaa yangu kasoma account naye saiv anachora ramani tena za hali ya juu.
Sikukatishi tamaa ila hiyo bei umeweka kwa matarajio makubwa sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?
Nahitaji ramani pia
Hiyo itakuwa ya 6 au zaidiTofali haziwezi kutosha Msingi kwa makadirio sio chini ya tofali 500 anagalau tofali 3500
Hiyo itakuwa ya 6 au zaidi
Chumba kimoja 3.5×3.5 sq.m kozi 15 kinaingia tofali 420 piga hesabu,,nimebobea siyo nabahatisha(na kwenye kila vyumba 2 punguza hapo tofali 105)Kozi tano
Mkuu nipigie kwenye nambaJe, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?
Nahitaji ramani pia
Raman pia nitakupa bureJe, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?
Nahitaji ramani pia
Mmh umejenga nini hicho?Mimi ramani imenigharimu 2M nashangaa watu hapa wanazunvumza mambo ya elf10 !? Akili za hovyo kabisa
UnawezaMi nauliza, Hivi ukianza msingi kwa mawe hauwezi kujenga kwa block za simenti??
Hata mimi namshangaa!Mmh umejenga nini hicho?
mimi sijasoma civil wala mama ake auto cad drawing lakini ninatools nakuchorea ramani chapUnaenda mbali sana, ramani siku hizi tunapata kwa 10K.
Kadri siku zinavyoenda ndio umuhimu wa ramani zenu unapungua, watu waliosoma Civil Eng nao wanachora ramani siku hizi, architects nao wanachora unakuta mpaka masela wangu wa electrical nao wamo. Yaani ilimradi vurugu tu.
Auto CAD na zinginezo zimekuwa kimeo, kuna jamaa yangu kasoma account naye saiv anachora ramani tena za hali ya juu.
Sikukatishi tamaa ila hiyo bei umeweka kwa matarajio makubwa sana[emoji23][emoji23][emoji23]