Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?

Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?

Ramani ya elfu 10?? Anyway ili mchoro ukamilike na uweze kuombea kibali itakubidi uwe na michoro ifuatayo

.Floor plan
.site plan
.building sections
.Elevations
.septic tanks
.Roof Plan
.Foundation layout
.Perspective views

Hizo ramani za elfu 10 ni vile mtu ametoa copy hizo floor plan na anauza, ila kwa uhalisia hakuna mtu atakaa akuchoree hiyo michoro yote kwa elfu 10.

Mwisho wa siku tukubali tu hali ni ngumu ndo maana mtu anapambana apate vitu vya bei rahisi ila hakuna mtu smart mwenye kupenda vitu vyake ataenda okota ramani buguruni au kariakoo afu akawekeze 40m+

Kila mbuzi ale kulingana na urefu wa kamba yake
 
Ramani ya elfu 10?? Anyway ili mchoro ukamilike na uweze kuombea kibali itakubidi uwe na michoro ifuatayo

.Floor plan
.site plan
.building sections
.Elevations
.septic tanks
.Roof Plan
.Foundation layout
.Perspective views

Hizo ramani za elfu 10 ni vile mtu ametoa copy hizo floor plan na anauza, ila kwa uhalisia hakuna mtu atakaa akuchoree hiyo michoro yote kwa elfu 10.

Mwisho wa siku tukubali tu hali ni ngumu ndo maana mtu anapambana apate vitu vya bei rahisi ila hakuna mtu smart mwenye kupenda vitu vyake ataenda okota ramani buguruni au kariakoo afu akawekeze 40m+

Kila mbuzi ale kulingana na urefu wa kamba yake
Hizo ramani zinauzwa na watu wa vibali. Wanabadilisha tu majina na kukupa kibali.
Ukienda site unamwambia fundi akujengee unavyotaka wewe.
Nyumba kama si ya ghorofa, ramani huwa haitumiki sana.
 
Hizo ramani zinauzwa na watu wa vibali. Wanabadilisha tu majina na kukupa kibali.
Ukienda site unamwambia fundi akujengee unavyotaka wewe.
Nyumba kama si ya ghorofa, ramani huwa haitumiki sana.

Issue ya kupewa ramani na mtu wa halmashauri haihalalishi bei ya ramani kuwa elfu 10
 
MKALIMANI anasemaje kwanza juu ya hili maana kuna utata hapa wa aina zisizopungua tatu

1.ukubwa wa tofali
2."kila kitu ndani"
3.ukubwa wa vyumba
 
Issue ya kupewa ramani na mtu wa halmashauri haihalalishi bei ya ramani kuwa elfu 10
Unatafuta uhalali au unatafuta market price?
Market price 10 to 50 Gs unapata michoro ya manispaa. Thats a fact, na inapitishwa.
Sasa kwanini mtu atoe milioni wakati utampa mchoro uleule?
Na wala hatoutumia?
 
Unatafuta uhalali au unatafuta market price?
Market price 10 to 50 Gs unapata michoro ya manispaa. Thats a fact, na inapitishwa.
Sasa kwanini mtu atoe milioni wakati utampa mchoro uleule?
Na wala hatoutumia?
Hiyo michoro ya manispaa ni ipi?? Halmashauri wanachora au wanasubiri mtu apeleke mchoro wake uliokamilika afu na wao watoe copy wakuuzie??
 
Hiyo michoro ya manispaa ni ipi?? Halmashauri wanachora au wanasubiri mtu apeleke mchoro wake uliokamilika afu na wao watoe copy wakuuzie??
Michoro ya manispaa huku mitaani tunamaanisha architectural na structural drawings za kuombea building permit.
They are like 80% recycled.
And 80% ya nyumba zinazojengwa hazitumii michoro.
 
Mimi ramani imenigharimu 2M nashangaa watu hapa wanazunvumza mambo ya elf10 !? Akili za hovyo kabisa
Mimi hata elfu 10 hamna kabisa na nyumba imesimama vyema fundi nilimuita nikamueleza nataka hivi na hivi na hivi na yeye akaongezea duuuh MBONA MAMBO MAZURI IMESIMAMA MPAKA JIRANI KANIULIZA HII RAMANI MBONA BEI SANA!!! Nilimwambia ndio 500k kumbe BURE TU
 
Eneo ni Dar, chanika lengo nahitaji nyumba yenye vyumba 3, vyumba 2 vya kawaida na master 1, jiko, dining, choo
Kaka Athumani , angalia tathimini nzima ya nyumba yako , nimekutumia inbox,

Kwa ufupi kwa 2,800 unapata nyumba na stores tutakuwekea.

Wasiliana na nasi UVIMO kwa
Ramani,
Makadirio
Kujenga,
Kupaua
Tiles,
Plasta,
Brandaring
Mfumo wa maji taka na Safi
n.k

0753927572 -Wasap
0629361896 -Kupiga
 
Mimi hata elfu 10 hamna kabisa na nyumba imesimama vyema fundi nilimuita nikamueleza nataka hivi na hivi na hivi na yeye akaongezea duuuh MBONA MAMBO MAZURI IMESIMAMA MPAKA JIRANI KANIULIZA HII RAMANI MBONA BEI SANA!!! Nilimwambia ndio 500k kumbe BURE TU
Kinachotakiwa ni ni nyumba, kwa maeneo yasiyo ya mpango mji , UVIMO tunajenga bila ramain na tunakidhi kiu yako, ila ukihitajibramani tunakuchorea, hii ni kutokana na uzoefu na utalaam wetu.
Zaid tunazingatia hitaji na Hali ya mtu, mwingine hana hela ya ramani je asijengewe?
Ndo maana kwa ramani ya kawaida inayo onyesha floor plan tunakuchorea na kukujengea
 
Kinachotakiwa ni ni nyumba, kwa maeneo yasiyo ya mpango mji , UVIMO tunajenga bila ramain na tunakidhi kiu yako, ila ukihitajibramani tunakuchorea, hii ni kutokana na uzoefu na utalaam wetu.
Zaid tunazingatia hitaji na Hali ya mtu, mwingine hana hela ya ramani je asijengewe?
Ndo maana kwa ramani ya kawaida inayo onyesha floor plan tunakuchorea na kukujengea
Good
 
Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?

Nahitaji ramani pia

Kutokana na ombi lako,

UVIMO tumetumia tofali 2,800, tukapata nyumba hi hapa, tumeona nikuchoree ramani roughly.

BOQ nzima angalia inbox umetumiwa kaka.

Kama kuna mtu anahitaji makadirio,kujengewa , finishing au ramani ,tuwasiliane.

0753927572 -Wasap
0629361896 -Kupiga




IMG_20210422_205915_3.jpg
IMG_20210131_184339_0.jpg
IMG_20210131_184438_4.jpg
IMG_20210130_181033_5.jpg
 
Mimi ramani imenigharimu 2M nashangaa watu hapa wanazunvumza mambo ya elf10 !? Akili za hovyo kabisa
Kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake.

Kwa akili ya kawaida unadhani mtu mwenye mahesabu ya kama matofali 2800 zinatosha kujenga nyumba ya vyumba vitatu yenye Master bedroom, public toilet, na kitchen ataweza kutoa 2m za ramani?
 
Kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake.

Kwa akili ya kawaida unadhani mtu mwenye mahesabu ya kama matofali 2800 zinatosha kujenga nyumba ya vyumba vitatu yenye Master bedroom, public toilet, na kitchen ataweza kutoa 2m za ramani?
Ume nena hekma,

Kujenga ni hesabu wala sio hela nyingi iliyo inginzwa bali tafiti ulizotumia na aina ya wataalam.

tunaweza tukawa na malengo ya kujenga nyumba zinazo fanana kila kitu, endapo tutapewa nafasi sawa, tutahitimisha na gharama tofauti.

Mfano unatumia fundi asiye mzoefu kisa Bei ya chini, anakuoigia hesabu za kubumba, utarudia mara tano, kila trip 50, hadi kumaliza laki7+ ambazo hazikuwa kwenye bajeti na hazina sababu ya kuongezeka.

Unatumia mil1 kuandaa Raman wakat unaweza kupata ya lak1 kwa maeneo yaliyo pangwa kimji au bila Raman kwa maeneo ya squater na ukapata nyumba bora ,kikubwa upate fundi mzoefu.
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Back
Top Bottom