Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Hii ningeipata inbox ingekaa kama kumbukumbu till I visit those car rooms. Thanks Mkuu.Kama una uwezo ni vyema ukanunua toyota rav4 kuanzia rav4 old model, rav4J au hata rav4 kili time zote ni gari za juu na ni nzuri kwanza ziko juu na upatikanaji wake wa vifaa ni rahisi na bei ni resonable mwisho ulaji wa mafuta ni mzuri na gari ni ngumu na ya kudumu ila tu injini zake hakikisha ni 3s au 4s au VVTI na sio rav 4 zenye injini ya D4 sio nzuri sana mkuu.
Ni typing error. Km 1200Mkuu angalia vizuri hapo kwenye umbali wa(kilometa 120) Dar to Mwanza.
Gari itafika salama,muhimu ni kufanya service vizuri na kuwa na mwendo wa kawaida(50km/h hadi 110km/h) badala ya kukanyaga kibati hadi injini inung'unike.
Mkuu mimi nauza magari yakiwa complete ila kama unahitaji injini na gear box nakushauri uende ilala pale utapata injini na gear box za gari aina zote muhimu uende na fundi wako ambaye unamuamini wewe atakayekukagulia injini na gear box kabla ya kuinunua mkuu.
Yeah mbona very possible..Kumbe ni kweli " hakuna dreva mkweli "kuna jamaa katwambia humu eti katoka dar SAA 9 alfajiri alafu saa moja asubuh yuko Dodoma huku ana ist aiseee
ist ina speed adi 180/hr..ila ukiiminya inaenda adi 160 bila wasiwasi.. Kwa mwendo wa kawaida dar to dodoma kukiwa hamna torch ni masaa 5..je ukiwa unaenda 140-150 haifiki..tena inawezekana akawahi ata zaidi ya hapo..au unaiangalia IST kwa jicho la hofu..me sio mpenzi wa toyota ila cku nilisafiri nacho nusu kanibadilishe mawazo.Kumbe ni kweli " hakuna dreva mkweli "kuna jamaa katwambia humu eti katoka dar SAA 9 alfajiri alafu saa moja asubuh yuko Dodoma huku ana ist aiseee
Karibu sana mkuuHii ningeipata inbox ingekaa kama kumbukumbu till I visit those car rooms. Thanks Mkuu.
Hizo gari kigoma Zinapiga ruti sana Kasuli Kibondo na Kakonko. Wanazipenda sanaUnajua nimegundua watanzania wengi ni wageni kwenye hii taluuma ya magari.
Toyota probox ni mashine hasa ,usikaone kadogo hako kagari .Unaweza kusafiri nako km 1600 huku kamebeba kg450 kwenye buti na abiria watano.
Nauza pia magari kuu kuu ila sio screpa ni yal ambayo unaweza kuyatumia bado yapo katika hali nzuri.kwa sasa sina land cruiser mkuu nina harrier old mode,noah new mode,rav4 kili time na nissan dualis mengine ni mapya chasis number.magri kuu kuu una uza...? yaliyo juu ya mawe... lakini yana weza fanya kazi yakitengenezwa... used land cruiser una uzaje...?
Hizo ni safari zangu za kila ijumaa Dar to Mwanza na kurudi Jumatatu kuendelea na majukumu ya Magu sina haja ya kuongopea.Kumbe ni kweli " hakuna dreva mkweli "kuna jamaa katwambia humu eti katoka dar SAA 9 alfajiri alafu saa moja asubuh yuko Dodoma huku ana ist aiseee
Mkuu upande wa speed haina max recomende au ukitaka kifuta mshale unamaliza tuu haina madhara maanaHii ni gari kubwa cc3000 hata ukiamua kuendesha kwa siku 5 bila kupumzika gari inauwezo huo hata ukiendesha km 10000 bila kupumzika inauwezo huo.hivyo wala usiwe na wasiwasi.ila zingatia tu kabla ya kuanza safari kuikagua vitu kama maji,oil,upepo wa tairi na kusafisha air clener na mara umalizapo safari pia kuiacha silence kwa muda kama 15 min kabla ya kuizima mkuu
Speed kwa nchi yetu Tanzania ni 80kmph ndio inayoshauriwa kulingana na barabara zetu ijapokua unaweza kendesha hata speed 100 au zaidi kutegemea na dereva je unaweza kuimudu gari yako pindi linapotokea lolote la ghafla barabarani.Mkuu upande wa speed haina max recomende au ukitaka kifuta mshale unamaliza tuu haina madhara maana
Samahani, naomba kujua IST inakula mafuta lita moja kwa km ngapi ???? Na MARK II GRAND inakula mafuta lita moja kwa km ngap ???? AsanteNauza pia magari kuu kuu ila sio screpa ni yal ambayo unaweza kuyatumia bado yapo katika hali nzuri.kwa sasa sina land cruiser mkuu nina harrier old mode,noah new mode,rav4 kili time na nissan dualis mengine ni mapya chasis number.
Ist lita moja inakwenda kuanzia km 16 hadi km 22 kulingana na service ya gari au ukiwasha ac. Na pia kama unaikanyagia sana ili achanganye mapema. Mark II grand inatumia lita 1 kwa km 9 mpaka km11. Kulingana na maelezo niliyotoa hapo juu.Samahani, naomba kujua IST inakula mafuta lita moja kwa km ngapi ???? Na MARK II GRAND inakula mafuta lita moja kwa km ngap ???? Asante
Kwann DM haupatikani ???Ist lita moja inakwenda kuanzia km 16 hadi km 22 kulingana na service ya gari au ukiwasha ac. Na pia kama unaikanyagia sana ili achanganye mapema. Mark II grand inatumia lita 1 kwa km 9 mpaka km11. Kulingana na maelezo niliyotoa hapo juu.
Napatikana pia karibuKwann DM haupatikani ???
Nimekujibu mkuu wanguNakutumia msg haujibu
Inatoboa kwenda na kurudi, Ila akikicha umefanya service kabla ya safari, cheki oil,kama ilitumika sana weka mpya kwa engine na transmission, na akikisha radiator imewekwa coolant ya kutosha , check tairi ,upepo na alignment..! Then off you go...Habari wanajamvi,
Nimetokea kuipenda sana gari toyota IST. Kilichonifanya niipende ni ulaji wake wa mafuta, haina gharama kwenye mafuta. Sasa swali langu je mtu akiamua kusafiri na IST kutoka DAR kwenda Mwanza atatoboa?
Nisaidieni please. Kama kuna mwenye ushauri pia niambieni