Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwenye usiku wa kuuaga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka 2017, mtumishi wa Mungu, Askofu Gwajima kupitia madhabahu ya kanisa lake la Uzima na Ufufuo aliitangazia dunia kuwa kanunua treni yake, tena kanunua kwa pesa taslimu.
Ndugu Watanzania wenzangu, naomba kujulishwa hiyo treni wanapandia wapi? Je, inaenda mikoa gani? Je inatumia reli ipi?
Nawashukuru sana
Ndugu Watanzania wenzangu, naomba kujulishwa hiyo treni wanapandia wapi? Je, inaenda mikoa gani? Je inatumia reli ipi?
Nawashukuru sana