Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Mchungaji wa michongo[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungaji wa michongo[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahahah hahahahGwajima sio mtu makini, hapaswi yeyote kumchukulia seriously!.
Hapo alikuwa anauunga mkono juhudi tu. Huoni bendera ya ya TZ hapo nyuma!
Sidhani kama hii bendera bado ipo madhabahuni!
Bila chanjo mnaendaje Marekani?Rashidi tapeli
Utapeli umemsaidia, anaishi ghorofani wakati wengine aliwakuta mjini bado mishe hawana.Rashidi tapeli
Mpakwa mafuta, nadhani alipakwa mafuta ya kidebe, dizeli, petrol, kelosini vyote ndani ya nyumbaJamaa muongo sana
Haha hahahipo gerage
Ila hapo kasema fedha ya kununua treni imepatikana na siyo kwamba ameshanunua. Labda kama aliongea zaidi na kusema kabisa kwamba ameshanunua.Kwenye usiku wa kuuaga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka 2017, mtumishi wa Mungu, Askofu Gwajima kupitia madhabahu ya kanisa lake la Uzima na Ufufuo aliitangazia dunia kuwa kanunua treni yake, tena kanunua kwa pesa taslimu.
Ndugu Watanzania wenzangu, naomba kujulishwa hiyo treni wanapandia wapi? Je, inaenda mikoa gani? Je inatumia reli ipi?
Nawashukuru sana
View attachment 2076485
KweliUtapeli umemsaidia, anaishi ghorofani wakati wengine aliwakuta mjini bado mishe hawana.