Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Inapita wapi? Wanapandia Kawe sehemu gani?Inatoka kawe to Barminghan ya US
Wanapandia Tanganyika peakersInapita wapi? Wanapandia Kawe sehemu gani?
Really?Alikuwa kaingiwa na pepo la uongo, alilolipata kutokea kwa waumini anaowatoa mapepo. Siyo yeye aliyetamka ni pepo. Tumsamehe tu bure.
Kama treni ya kiroho kwanini inunuliwe na pesa taslim?Wanapandia Tanganyika peakers
Inapita kiroho zaidi
Kila kitu kina bei yake siku hizi mkuu. Kuanzia utu mpaka imani. For a right price watu hukana mpaka jinsia zao.Kama treni ya kiroho kwanini inunuliwe na pesa taslim?
Nami nasubiri mrejesho.Kwenye usiku wa kuuaga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka 2017, mtumishi wa Mungu, Askofu Gwajima kupitia madhabahu ya kanisa lake la Uzima na Ufufuo aliitangazia dunia kuwa kanunua treni yake, tena kanunua kwa pesa taslimu.
Ndugu Watanzania wenzangu, naomba kujulishwa hiyo treni wanapandia wapi? Je inaenda mikoa gani? Je inatumia reli ipi?
Nawashukuru sana
View attachment 2076485
Mayo weeeInatoka kawe to Barminghan ya US
Gwajima na wafuasi wake huu uzi wanauogopa kama KaswendeNami nasubiri mrejesho.
Jamaa muongo sanaKama treni ya kiroho kwanini inunuliwe na pesa taslim?
Halafu anaongoza wenzake sala ya tobaJamaa muongo sana
[emoji38][emoji38][emoji38]Kwenye usiku wa kuuaga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka 2017, mtumishi wa Mungu, Askofu Gwajima kupitia madhabahu ya kanisa lake la Uzima na Ufufuo aliitangazia dunia kuwa kanunua treni yake, tena kanunua kwa pesa taslimu.
Ndugu Watanzania wenzangu, naomba kujulishwa hiyo treni wanapandia wapi? Je inaenda mikoa gani? Je inatumia reli ipi?
Nawashukuru sana
View attachment 2076485