Utabiri: inaweza kutokea ama isitokee, not 100% ila kuna viashiria vya kitu kuweza kutokea.Utabiri wa hali ya hewa
Tungeanza na maana ya neno utabiri ingependeza
Nakazia.Utabiri wa hali ya hewa
Tungeanza na maana ya neno utabiri ingependeza
🤣 🤣 🤣Utabiri wa hali ya hewa
Tungeanza na maana ya neno utabiri ingependeza
[emoji15][emoji15]Hao jamaa Huwa wanalipwa mishahara ya Bure tu
Una haraka sana.....
Hili joto kali hujui linaashiria nini ?!?? [emoji15][emoji15][emoji1787]
Kweli shule ulikwenda kutembea....
Umekariri vibaya.[emoji15][emoji15]
Salaam mzee wa "negativities"[emoji1787]
Watanzania bwana sijui wanamatatizo gani.Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
Hataweza kupostFukuto ndio linaanda mvua,ikianza kunyesha mleta mada asirudi kulia lia mafuriko.
Watu si hupenda kujitoa akili tu sasa uhalisia wa neno wenyewe upo wazi bado mtu anataka battle.Utabiri wa hali ya hewa
Tungeanza na maana ya neno utabiri ingependeza
KabisaJoto kali sana ndio dalili yenyewe,hila kuna maeneo kama arusha na kilimanjaro zimeshamza na kulikuwa na joto kali hivyo hivyo chukua tahadhari Elnino ipo