Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Watu si hupenda kujitoa akili tu sasa uhalisia wa neno wenyewe upo wazi bado mtu anataka battle.
Labda hajui maana ya utabiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu si hupenda kujitoa akili tu sasa uhalisia wa neno wenyewe upo wazi bado mtu anataka battle.
Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
Utabiri ni probability—- labda utakuwa 30% ndio probability mvua za elnino, ila TMA kama waganga wa kienyeji tu..
[emoji1787][emoji1787]Fukuto ndio linaanda mvua,ikianza kunyesha mleta mada asirudi kulia lia mafuriko.
[emoji1787][emoji106]Umekariri vibaya.
CCM walikuwa wanatafuta kupotezea dhoruba ya Deep World na hakuna lolote lililokuwa la ukweli hapo.Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
Familia yangu inaishi bonde lenye uhatari wa mafuriko. Niliogopa sana. Namshukuru Mungu kama haitakuwepo. Tutahama miaka ijayo.Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
We hohehahe wa kisayansi, hujui kuwa joto na unyevu(humidity) ndivyo vinatengeneza mvua?Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
Mnazitaka ehh...!!Huku imeanza leo imepiga kutwa nzima ajabu ukichimba chin na fito hata hapajaloa
Hii kitengo kuanzia mkurugenzi ni wapiga RAMLI wala sio utabiri.Utabiri: inaweza kutokea ama isitokee, not 100% ila kuna viashiria vya kitu kuweza kutokea.
Hivi huwa wanafanya kazi hiyo tu au kuna kazi nyingineHao jamaa Huwa wanalipwa mishahara ya Bure tu
Hivi naweza kuwapeleka mahakamani kwa kuniingizia hasara ya maandalizi ya kujinga na uongo.Labda hajui maana ya utabiri
Hata na wao hawana uhakika ila jiandaeniKatika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.