Je, tuendelee kuamini Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini?

Je, tuendelee kuamini Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini?

Wapi huko kuna joto kali?

Kawiki kalikoishi kwetu imepiga mvua, sio kubwaa, sio ndogo.
Ila ni ile ya asbh mpaka usiku
 
Hao watu inatakiwa wafungwe na majabali halafu watupwe katikati ya bahari maana wamedanganya watu na wakulima wameweka mbegu zao ardhini halafu hakuna dalili ya mvua.
Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
CCM walikuwa wanatafuta kupotezea dhoruba ya Deep World na hakuna lolote lililokuwa la ukweli hapo.
Hii ni Serikali ya waongo Tanzania.
 
Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
Familia yangu inaishi bonde lenye uhatari wa mafuriko. Niliogopa sana. Namshukuru Mungu kama haitakuwepo. Tutahama miaka ijayo.
 
Huku imeanza leo imepiga kutwa nzima ajabu ukichimba chin na fito hata hapajaloa
 
Kuwa mpole...

Ila Hana bondeni mkuu.. usije juta.
 
Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
We hohehahe wa kisayansi, hujui kuwa joto na unyevu(humidity) ndivyo vinatengeneza mvua?
 
Kuna watu wanakatiana viwanja mbugani na kwenye mapitio ya majii mie nawaangalia tu ngoja Ije
20230724_121439.jpg
 
Katika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
Hata na wao hawana uhakika ila jiandaeni
 
Mkuu hilo joto kali ndio kiashiria chenyewe sasa cha mvua nyingi inayoenda kushuka, hilo fukuto linatokana na jua kupiga sana na hatimaye kukusanya maji ya kutosha yanayoevaporate kutoka kwenye miti, bahari, mito, maziwa, et al, ambayo yanaenda kuwa condensed huko juu na kutengeneza mawingu ya kutosha ambayo yatasababisha hizo mvua nyingi
 
Back
Top Bottom