Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Una haraka sana.....
Hili joto kali hujui linaashiria nini ?!?? [emoji15][emoji15][emoji1787]
Kweli shule ulikwenda kutembea....
Mnaposema joto semeni pia maeneo mliyopo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una haraka sana.....
Hili joto kali hujui linaashiria nini ?!?? [emoji15][emoji15][emoji1787]
Kweli shule ulikwenda kutembea....
Mleta mada ni muuza juice ya miwa. Ilipotilewa tahadhari na TMA akaamua kuachana na biashara ya juice ya miwa kwa kuwa wakati wa mvua biashara hii haifanyi vizuri. Na qkaanza kuokota makopo.Kwani mleta mada isiponyesha wewe unapata hasara gani na ikinyesha ulitegemea utapata faida gani?
Hebu tueleze wewe uliyekwenda shule, uashirio wa hilo joto ukoje na linahusika vipi na ujio wa mvua.Una haraka sana.....
Hili joto kali hujui linaashiria nini ?!?? [emoji15][emoji15][emoji1787]
Kweli shule ulikwenda kutembea....
Hivi watabiri wa haki ya hewa nao ni kiufundi ni manabii?Utabiri wa hali ya hewa
Tungeanza na maana ya neno utabiri ingependeza
Kutakuwa na mvua za hapa na pale..... Yaani Hawa sio wakuwaaminiKatika siku za karibuni tulipewa taarifa na Mamlaka ya Hewa kuwa kutakuwa na mvua ya el Nino na hivyo wananchi wachukue tahadhari zote kuhusiana na mvua hizi. Walitutahadharisha kuwa mvua hizi zingeanza mwanzoni mwa Oktoba mwaka huu. Leo ni tarehe 8 Oktoba, 2023 na kuna joto kali sana na hakuna dalili ya kunyesha kwa mvua. Ninachouliza Je, tuamini taarifa zenu?. Kama kuna kasoro kwenye taarifa zenu za awali kwa nini msitujulishe tena sisi wananchi?.
Labda ni mvua ya gesi.... Tuwaulize TMAHuku imeanza leo imepiga kutwa nzima ajabu ukichimba chin na fito hata hapajaloa