Je, tuendelee kuamini Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini?

Kwani mleta mada isiponyesha wewe unapata hasara gani na ikinyesha ulitegemea utapata faida gani?
Mleta mada ni muuza juice ya miwa. Ilipotilewa tahadhari na TMA akaamua kuachana na biashara ya juice ya miwa kwa kuwa wakati wa mvua biashara hii haifanyi vizuri. Na qkaanza kuokota makopo.
 
Una haraka sana.....

Hili joto kali hujui linaashiria nini ?!?? [emoji15][emoji15][emoji1787]

Kweli shule ulikwenda kutembea....
Hebu tueleze wewe uliyekwenda shule, uashirio wa hilo joto ukoje na linahusika vipi na ujio wa mvua.

Mambo mengine mnajipa ujuaji tu bila ya kujua kitu chochote!

'Seriously', tueleze hapa sayansi yake kama unavyoielewa wewe.
Tutakupa sifa stahiki kwa hiyo shule uliyonayo wewe.
 
Kutakuwa na mvua za hapa na pale..... Yaani Hawa sio wakuwaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…