Je, tuhuma za kutolewa uraia kama njugu kwa wachezaji wa Singida Big Stars zina ukweli? Je, ni chanzo cha kuondolewa Masauni Wizara ya Mambo ya Ndani?

Je, tuhuma za kutolewa uraia kama njugu kwa wachezaji wa Singida Big Stars zina ukweli? Je, ni chanzo cha kuondolewa Masauni Wizara ya Mambo ya Ndani?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kuna tuhuma kwamba wachezaji wa mpira wa miguu wa Singida Big Stars wamepewa uraia wa Tanzania kukwepa wasilipe vibali vya kufanya kazi Nchini. Naamini hii ni skendo kubwa na Mamlaka ya NIDA au Uhamiaji zinapaswa kujibu la sivyo taarifa hizi zinaleta uchonganishi kwa serikali.

Sheria ya Uraia inataka mwombaji wa Uraia ajadiliwe na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya na Mkoa, mwombaji awe anafahamu Kiswahili na awe amekaa nchini muda wa miaka kumi kihalali. (PITIENI SHERIA YA URAIA YA TANZANIA UTAONA MASHARTI YALIVYO MAGUMU)

Soma, Pia: Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni

Lakini pia gharama zinaonyesha si chini ya milioni kumi na mbili kwa mwombaji mmoja. Je, hawa wachezaji wakipewaje huo uraia? Ukiangalia sheria na ukafuatilia wanachojadili wanamichezo utabaini wazi kwamba Mashambuzi wa michezo hawana muda wakusoma na kutafuta taarifa sahihi.

Lakini pia sheria inataka anayeomba Uraia atangazwe kwenye gazeti la serikali, je ni wapi hao wachezaji walitangazwa ili sasa wananchi watoe maoni kuhusu tabia zao?

Kwa vigezo hivi
1. Kujua kiswahili
2. Kukaa Tanzania muda mrefu
3. Kuwa na tabia njema
4. Kuwa mzalendo
5. Kulipia dola 5000 kama gharama za Uraia
6. Kutangazwa kwenye gazeti la serikali watu waseme kama wanapingamizi na maombi hayo
7. Kupitishwa na kamati za ulinzi na usalama wilaya na mikoa
8. Aukane uraia wake wa asili - lini tuliona hao wageni wakiukana uraia wao? Wanaanzaje kwanza? Taifa lao litakubali?

Nataka niwaambie waandishi wa habari za michezo waache ukanjanja la sivyo waseme utaratibu ulipindishwa na watuambie anaweza kupindisha suala nyeti kama la uraia huyo kiongozi ni Mtanzania? Kwamba kucheza mpira tu unapewa uraia? Wapi sheria imesema ukicheza mpira Tanzania ni kigezo cha Uraia?

Kama kuna kitu kama hiki upo umuhimu mkubwa wakukipiga vita na upo uwezekano wapo wageni wengi wanapewa uraia kama njugu hapa nchini kwa sababu tu kiongozi ameamua.

Na hii ndiyo hoja ya mkuu wa majeshi kwamba tunao wakimbizi wengi wanavitambulisho, nadhani kama kuna mwanya huu upo uwezekano hata wagombea ubunge na udiwani wakaandaa RAIA wa kigeni kwa kuwapa uraia ili wapate kura.

Mimi kwa namna nilivyoipitia sheria ya uraia japo sijui imetungwa mwaka gani ila naamini ilitungwa wakati wa mwalimu na ilihusisha wazalendo. Japo sheria hiyo imesema waziri wa mambo ya ndani anaweza kumpa uraia mtu yeyote anayeona inafaa ila siamini kwamba wageni wanapewa uraia wacheze mpira kisa hawana sifa zakulipia vibali. No

Kama uraia ni mwepesi hivi kwanini tunawakataa watanzania DIASPORA? Yaani tuwakatae Watanzania then ardhi yetu tuwape wageni? Kwamba DIASPORA siyo wazalendo ila wachezaji ni wazalendo? Tupeni haki yetu kama mnavyowathamini wageni.
 
Kama ni kweli, basi kutakuwa na mchezo mchafu umefanyika.
Hayo masharti ya Uraia Tanzania ni magumu sana; vinginevyo uwe na Waziri ambaye ataamua kutumia mamlaka yake au upungufu wa sheria nakuamua kutoa uraia bila kutaka utaratibu ufuatwe
 
Hawajapewa uraia bado ila wapo kwenye mchakato wa kuutafuta
Nimeona akina Edo wameanza kuipigia kampeni hii issue; ila tujiulize hao wachezaji ni wapi wamewahi kufanya vizuri?

Kwanini wanatoka timu ambayo inadaiwa kuwa na umiliki wa mwanasiasa?
Je, kuna sheria ya uraia inasema tukitaka kucheza chan tuwape wageni uraia?

Kwamba Watanzania tumewadharua hadi tunakwenda kukodi wachezaji wa kigeni ambao hawana sifa wamekataliwa na mataifa yao?

Aliyeweka vigezo vya uraia kwa wageni ni bunge au mwanasiasa mmoja?

Inabidi pia tuanze kumulika hata hao watoa maamuzi upo uwezekano wanaotoa uraia wote wanalipwa kwenye bodi za vilabu au taasisi za michezo kwa hiyo wanaondoka kusimamia sheria wanakwenda kusimamia hisia zao za kimichezo

Tusilipasue taifa kwa kutokufikiri sawasawa kuhusu madhara ya maamuzi yetu.

Kama tunataka aina hizi za uraia basi tubadili sheria tuseme tutakuwa na URAIA WA AFCON AU WA CHAN
 
Kuna tuhuma kwamba wachezaji wa mpira wa miguu wa Singida Big Stars wamepewa uraia wa Tanzania kukwepa wasilipe vibali vya kufanya kazi Nchini. Naamini hii ni skendo kubwa na Mamlaka ya NIDA au Uhamiaji zinapaswa kujibu la sivyo taarifa hizi zinaleta uchonganishi kwa serikali.

Sheria ya Uraia inataka mwombaji wa Uraia ajadiliwe na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya na Mkoa, mwombaji awe anafahamu Kiswahili na awe amekaa nchini muda wa miaka kumi kihalali. (PITIENI SHERIA YA URAIA YA TANZANIA UTAONA MASHARTI YALIVYO MAGUMU)

Lakini pia gharama zinaonyesha si chini ya milioni kumi na mbili kwa mwombaji mmoja. Je, hawa wachezaji wakipewaje huo uraia? Ukiangalia sheria na ukafuatilia wanachojadili wanamichezo utabaini wazi kwamba Mashambuzi wa michezo hawana muda wakusoma na kutafuta taarifa sahihi.

Lakini pia sheria inataka anayeomba Uraia atangazwe kwenye gazeti la serikali, je ni wapi hao wachezaji walitangazwa ili sasa wananchi watoe maoni kuhusu tabia zao?

Kwa vigezo hivi
1. Kujua kiswahili
2. Kukaa Tanzania muda mrefu
3. Kuwa na tabia njema
4. Kuwa mzalendo
5. Kulipia dola 5000 kama gharama za Uraia
6. Kutangazwa kwenye gazeti la serikali watu waseme kama wanapingamizi na maombi hayo
7. Kupitishwa na kamati za ulinzi na usalama wilaya na mikoa
8. Aukane uraia wake wa asili - lini tuliona hao wageni wakiukana uraia wao? Wanaanzaje kwanza? Taifa lao litakubali?

Nataka niwaambie waandishi wa habari za michezo waache ukanjanja la sivyo waseme utaratibu ulipindishwa na watuambie anaweza kupindisha suala nyeti kama la uraia huyo kiongozi ni Mtanzania? Kwamba kucheza mpira tu unapewa uraia? Wapi sheria imesema ukicheza mpira Tanzania ni kigezo cha Uraia?

Kama kuna kitu kama hiki upo umuhimu mkubwa wakukipiga vita na upo uwezekano wapo wageni wengi wanapewa uraia kama njugu hapa nchini kwa sababu tu kiongozi ameamua.

Na hii ndiyo hoja ya mkuu wa majeshi kwamba tunao wakimbizi wengi wanavitambulisho, nadhani kama kuna mwanya huu upo uwezekano hata wagombea ubunge na udiwani wakaandaa RAIA wa kigeni kwa kuwapa uraia ili wapate kura.

Mimi kwa namna nilivyoipitia sheria ya uraia japo sijui imetungwa mwaka gani ila naamini ilitungwa wakati wa mwalimu na ilihusisha wazalendo. Japo sheria hiyo imesema waziri wa mambo ya ndani anaweza kumpa uraia mtu yeyote anayeona inafaa ila siamini kwamba wageni wanapewa uraia wacheze mpira kisa hawana sifa zakulipia vibali. No

Kama uraia ni mwepesi hivi kwanini tunawakataa watanzania DIASPORA? Yaani tuwakatae Watanzania then ardhi yetu tuwape wageni? Kwamba DIASPORA siyo wazalendo ila wachezaji ni wazalendo? Tupeni haki yetu kama mnavyowathamini wageni.
Sioni shida hapo zaidi ya makolo kuikazia fuvu hii issue! Nchi mbalimbali dunian zinasaka vipaji na kuvipa uraia mfano Ufaransa almost timu nzima ya taifa wachezaji wao ni kutoka africa, tupongeze serikali kwa hatua hii!
 
Sioni shida hapo zaidi ya makolo kuikazia fuvu hii issue! Nchi mbalimbali dunian zinasaka vipaji na kuvipa uraia mfano Ufaransa almost timu nzima ya taifa wachezaji wao ni kutoka africa, tupongeze serikali kwa hatua hii!
Luke kocha wa yanga alisema mnabweka kama mbwa na sokwe..... Kama hivi unavyobwekea WATU wasiohusika
 
Unajua watanzania wangapi wamechukua uraia nchi za wengine.

Majuzi kafa mpare huko U.K. baba na
mama watanzania; watoto wazaliwa wa UK.

Wapare wanautaka mwili wao, wakauzike mlimani; watoto wakawaambia mnacheza nyie; baba yao atazikwa huko walipo wao,

Acheni kuogopa raia wageni, swala ni nationalism propaganda Kwenye socialisation hasa kwa watoto (mashuleni).

Mi ndio maana uwa nawaona diaspora ambao wanawajukuu wanalilia dual citizenship na kujenga nyumba Tanzania kama mataahira tu.

Acheni ubaguzi, hata watanzania wapo nchi za watu na raia huko
 
Unajua watanzania wangapi wamechukua uraia nchi za wengine.

Majuzi kafa mpare huko U.K. baba na
mama watanzania; watoto wazaliwa wa UK.

Wapare wanautaka mwili wao, wakauzike mlimani; watoto wakawaambia mnacheza nyie; baba yao atazikwa huko walipo wao,

Acheni kuogopa raia wageni, swala ni nationalism propaganda Kwenye socialisation hasa kwa watoto (mashuleni).

Mi ndio maana uwa nawaona diaspora ambao wanawajukuu wanalilia dual citizenship na kujenga nyumba Tanzania kama mataahira tu.

Acheni ubaguzi, hata watanzania wapo nchi za watu na raia huko
Kwa hiyo ndivyo sheria inavyotaka hivi?Watu tupo serious kuhoji uhalali wa kisheria wewe unaleta story za wapare
 
Sioni shida hapo zaidi ya makolo kuikazia fuvu hii issue! Nchi mbalimbali dunian zinasaka vipaji na kuvipa uraia mfano Ufaransa almost timu nzima ya taifa wachezaji wao ni kutoka africa, tupongeze serikali kwa hatua hii!
Kwanza hao wanaopewa uraia unawafahamu? Wana mchango gani kwa timu hata ya Singida? Tutajie majina yao na ufanisi wao kwenye soka kama unafahamu.

Yawezekana hata majina huna ndiyo maana unaona siyo shida.
 
Unajua watanzania wangapi wamechukua uraia nchi za wengine.

Majuzi kafa mpare huko U.K. baba na
mama watanzania; watoto wazaliwa wa UK.

Wapare wanautaka mwili wao, wakauzike mlimani; watoto wakawaambia mnacheza nyie; baba yao atazikwa huko walipo wao,

Acheni kuogopa raia wageni, swala ni nationalism propaganda Kwenye socialisation hasa kwa watoto (mashuleni).

Mi ndio maana uwa nawaona diaspora ambao wanawajukuu wanalilia dual citizenship na kujenga nyumba Tanzania kama mataahira tu.

Acheni ubaguzi, hata watanzania wapo nchi za watu na raia huko
Soma sheria ya Uraia ya Tanzania acha bla bla hapa....tunajadili msingi wa sheria za nchi siyo hisia zako
Wewe lazima uwaone mataira kwa sababu huna unachojua kuhusu DIASPORA
 
Soma sheria ya Uraia ya Tanzania acha bla bla hapa....tunajadili msingi wa sheria za nchi siyo hisia zako
Wewe lazima uwaone mataira kwa sababu huna unachojua kuhusu DIASPORA
Hata kama nipo kijijini kwetu Nyabula umbea wa diaspora napata nina rafiki na jamaa huko; sasa sijui wewe.

Sheria za nchi lazima ziheshimiwe ilo sibishii, uwezi kuja Tanzania na kujiokotea uraia kama shamba la bibi, bila ya kufuata taratibu za sheria.

Tatizo langu ni baadhi yetu kudhani wageni kupata uraia wa Tanzania ni kama vile dhambi (ata kama wamepata kisheria). Huu ndio ushamba nisioupenda “xenophobia”.

Hayo ya msiba wa UK tafuta watu wanaoishi ‘Luton au Milton Keynes’ huko wakuelezee, kasheshe ya mwili uzikwe wapi; mi nilipewa umbea tu. Otherwise couldn’t care less. Muhimu kuwapa food for thought kwa diaspora wa ‘jukwaa la siasa’.hiyo nyumba unayojenga utaishi kweli.
 
Nimeona barua ya Uhamiaji mitandaoni kuhusu hii hoja; ni maoni yangu kwamba URAIA KATIKA NCHI ZOTE DUNIANI NI JAMBO SERIOUS. TRUMP ANAFUTA URAIA WA KUZALIWA KWA WATOTO WA KIGENI KWA SABABU HIZI HIZI AMBAZO TUNASIMAMA NAZO SASA

MGENI ANAKUJA TANZANIA HANA MWEZI ANAPEWA URAIA ? TUSIFANYE HIVI, MAWAZIRI WA MAMBO YA NDANI WALIOPITA WANGERAHISISHA HAYA MAMBO HIVI TUNGEPONA NA MACHAFUKO?

ALL IN ALL MAY BE THEY HAVE POTENTIALS,
 
Kuna tuhuma kwamba wachezaji wa mpira wa miguu wa Singida Big Stars wamepewa uraia wa Tanzania kukwepa wasilipe vibali vya kufanya kazi Nchini. Naamini hii ni skendo kubwa na Mamlaka ya NIDA au Uhamiaji zinapaswa kujibu la sivyo taarifa hizi zinaleta uchonganishi kwa serikali.

Sheria ya Uraia inataka mwombaji wa Uraia ajadiliwe na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya na Mkoa, mwombaji awe anafahamu Kiswahili na awe amekaa nchini muda wa miaka kumi kihalali. (PITIENI SHERIA YA URAIA YA TANZANIA UTAONA MASHARTI YALIVYO MAGUMU)

Soma, Pia: Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni

Lakini pia gharama zinaonyesha si chini ya milioni kumi na mbili kwa mwombaji mmoja. Je, hawa wachezaji wakipewaje huo uraia? Ukiangalia sheria na ukafuatilia wanachojadili wanamichezo utabaini wazi kwamba Mashambuzi wa michezo hawana muda wakusoma na kutafuta taarifa sahihi.

Lakini pia sheria inataka anayeomba Uraia atangazwe kwenye gazeti la serikali, je ni wapi hao wachezaji walitangazwa ili sasa wananchi watoe maoni kuhusu tabia zao?

Kwa vigezo hivi
1. Kujua kiswahili
2. Kukaa Tanzania muda mrefu
3. Kuwa na tabia njema
4. Kuwa mzalendo
5. Kulipia dola 5000 kama gharama za Uraia
6. Kutangazwa kwenye gazeti la serikali watu waseme kama wanapingamizi na maombi hayo
7. Kupitishwa na kamati za ulinzi na usalama wilaya na mikoa
8. Aukane uraia wake wa asili - lini tuliona hao wageni wakiukana uraia wao? Wanaanzaje kwanza? Taifa lao litakubali?

Nataka niwaambie waandishi wa habari za michezo waache ukanjanja la sivyo waseme utaratibu ulipindishwa na watuambie anaweza kupindisha suala nyeti kama la uraia huyo kiongozi ni Mtanzania? Kwamba kucheza mpira tu unapewa uraia? Wapi sheria imesema ukicheza mpira Tanzania ni kigezo cha Uraia?

Kama kuna kitu kama hiki upo umuhimu mkubwa wakukipiga vita na upo uwezekano wapo wageni wengi wanapewa uraia kama njugu hapa nchini kwa sababu tu kiongozi ameamua.

Na hii ndiyo hoja ya mkuu wa majeshi kwamba tunao wakimbizi wengi wanavitambulisho, nadhani kama kuna mwanya huu upo uwezekano hata wagombea ubunge na udiwani wakaandaa RAIA wa kigeni kwa kuwapa uraia ili wapate kura.

Mimi kwa namna nilivyoipitia sheria ya uraia japo sijui imetungwa mwaka gani ila naamini ilitungwa wakati wa mwalimu na ilihusisha wazalendo. Japo sheria hiyo imesema waziri wa mambo ya ndani anaweza kumpa uraia mtu yeyote anayeona inafaa ila siamini kwamba wageni wanapewa uraia wacheze mpira kisa hawana sifa zakulipia vibali. No

Kama uraia ni mwepesi hivi kwanini tunawakataa watanzania DIASPORA? Yaani tuwakatae Watanzania then ardhi yetu tuwape wageni? Kwamba DIASPORA siyo wazalendo ila wachezaji ni wazalendo? Tupeni haki yetu kama mnavyowathamini wageni.


Tuache ujinga jinga wachezaji wote wa kimataifa wapewe uraia bila masharti ya kijinga. Kama mtu anakuja na kundeleza nchi yeyote apewe uraia

Nchi iemjaa watu tegemezi wakija watu wa kuendeleza kama ni teknologia, mitaji, na michezo wapewe uraia. Kwani Tanzania inashida ya watu!!!
 
Acheni kujishtukia
Acheni wageni waje
Mchangamshwe bongo
Zenu

Ova
 
Hao wachezaji wamekana uraia wa kwao ? Wamerudisha passport za NCHI zao ?
 
Back
Top Bottom