Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] MPUMBAVU
 
Wewe ndo mjinga na ni mpumbavu na kabila lako lote.Si umeamua kututukana?
 
Kwa hiyo kwa akili yako hao wahaya na wanyakyusa wanamfikia msukuma kwa lipi?
hapo ongelea wachaga! Hao wanyakyusa na wahaya tofauti na viajira mtaani ambavyo kwa sasa wanagawana na wasukuma lakini kwenye biashara na utafutaji hawamfati msukuma hata kidogo!
Tutajie sekta gani hapa nchini inayoongozwa na wanyakyusa au wahaya! Kama ilivyo madini,kilimo na ufugaji kwa wasukuma!
Wasukuma sio watu wa kelele hao wahaya na wanyakyusa wana mji wowote wa kibiashara wa maana wanakotokea kama Mwanza na Kahama?
 
QMANYOKO ZAKO MPUMBAFU MAMA AKO NA BABA AKO
 
QMANYOKO ZAKO MPUMBAFU MAMA AKO NA BABA AKO
Huyo Cardess ni mpumbavu hamna haja ya kujibizana nae! Wewe ujue kabisa kuna watu walikuwa hawamoendi Magufuli kwa kuwa alikuwa Msukuma hawana sa babu!
Wengi wao ni Wachaga,wahaya na wanyakyusa hawa watu wanaukabila sana ila mda wao ulishaisha wakubali tu kuwa nchi hii sasa ni ya watu wote!
Wanakali kejeli, eti washamba ila utakuja kushangaa huyo Cardless hana maisha yeyote ya maana!
 
Wasukuma wabaguzi sana, na bora tumewajua. Wachaga ndio kabila linabaguliwa sana bila sababu ya msingi. Wao ndio wanapaswa walalamike. Wasukuma tuliwaona jeuri yao maofisini na mitaani kipindi cha mwendazake.
 
Ulichoandika hujakifanyia uchunguzi. Mbowe amekwishatukanwa Sana kwa maumbile yake. Labda wewe ni member mgeni.
Lakini suala la mtu kutukana si kwa sababu yuko upande fulani.
Ni tabia ya mtu na kwa wengi hasa wa Ccm ni mkakati wa kumfanya mtu ajione dhalili na kushindwa kutekeleza majukumu yake.
Katika hii hii mitandao ya kijamii, vijana wa ccm wanatukana wapinzani kuliko unavyofikiria.Jaribu tu kufikiria, mtu akikuita NYUMBU unajisikiaje. Ni jambo baya sana mtu kufananishwa na mnyama, tena ni kiongozi wa taasisi kama chama cha siasa.
Viongozi wa serikali na ccm wanalindwa na sheria za Tanzania.
Lakini wapinzani hawalindwi na Sheria za Tanzania. Ndiyo maana matusi wanayopewa hayachukuliwi uzito badala yake huonekana wanastahili kutukanwa.
 
Nyie ni BANYAMULENGE.
 
1. Leonard Chamuliho Ujenzi
2. Dotto Biteko Madini
3. Medard Kaliman Nishati
4. Elias Kwandikwa Ulinzi
5. Mashimba Ndaki aamaifugo
6. Innocent Bashungwa Habari

Niendelee au umetosheka.
1 na 6 sio Wasukuma mkuu
 
Alaaniwe yule aliyeanzisha huo upuuzi na wapuuzi wenzie wenye kuundeleza huo upuuzi hawafai misikitini wala makanisani!
 
Aliyeanzisha Sukuma Gang ndo alianzisha ubaguzi na ukabila na ilitakiwa ulione hili mapema na ukemee huu leo unaouita ubaguzi.Nikushauri vile ukemee ubaguzi wa hili kundi linaloitwa Samia Gang na Chawa wa Mama. Tena huyu ana makundi mawili ya kibaguzi,kemea mapema huu ubaguzi,usisubiri aondoke madarakani ndo uje na Malala zako ndefu unazozisingizia ni kwa maslahi mapana ya taifa!
 
Alaaniwe yule aliyeanzisha huo upuuzi na wapuuzi wenzie wenye kuundeleza huo upuuzi hawafai misikitini wala makanisani!
Sukuma Gang aka BANYAMULENGE nyie ni laana mumelaaniwa duniani na mbinguni, kila DRC leo hakukaliki sababu yenu nyie sasa mlitaka na hapa mlete ushenzi wenu Mungu akaingilia Kati, rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana wapuuzi wakubwa nyie.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…