Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃😃😃😃 Vutuuuuuuuuuu. Nimecheka Sana. Longtime sijaskia hili nenoWewe mfuate Gwajima kule kwenye kanisa lake ukapate kuliwa vutu
sheria ipi?mkuu,unajua kwamba,sheria imekikwa sana katika uchguzi huu?au hujui?kama hujui basi pole sana
Unatakiwa kujua kusoma na kuandika tuu ndio sifa kuu.Sasa mtu hawezi hata kujaza fomu, ataweza kweli kutunga sheria? Hebu kuweni siliasi kidogo