Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Sep 11, 2020 #21 Yaani Tume yenyewe inateuliwa na Mwenyekiti wa CCM, halafu Tume hiyo hiyo itegemewe kutenda haki kwa vyama vingine!! Ndiyo maana Watanzania tutaidaia Katiba Mpya mwanzo mwisho ili tu kuondokana na hii Katiba ya Ccm ya mwaka 1977.
Yaani Tume yenyewe inateuliwa na Mwenyekiti wa CCM, halafu Tume hiyo hiyo itegemewe kutenda haki kwa vyama vingine!! Ndiyo maana Watanzania tutaidaia Katiba Mpya mwanzo mwisho ili tu kuondokana na hii Katiba ya Ccm ya mwaka 1977.
Chief Kabikula JF-Expert Member Joined Jan 1, 2019 Posts 7,567 Reaction score 9,037 Sep 11, 2020 #22 Tume inafanya kazi isiyowshusu ya kuteulia wananchi wagombea , maagizo kutoka juu yamewachanganya wamekuwa vichaa wavaa suti .Hati katiba ya nchi wanaikiuka openly.
Tume inafanya kazi isiyowshusu ya kuteulia wananchi wagombea , maagizo kutoka juu yamewachanganya wamekuwa vichaa wavaa suti .Hati katiba ya nchi wanaikiuka openly.
Chief Kabikula JF-Expert Member Joined Jan 1, 2019 Posts 7,567 Reaction score 9,037 Sep 11, 2020 #23 Tume inasumbuliwa sana na kuyumbishwa na maagizo kutoka kwa king of Bermuda triangle wa kihutu .
Tripo9 JF-Expert Member Joined Sep 9, 2009 Posts 4,357 Reaction score 3,550 Sep 12, 2020 #24 kwamwewe said: Wewe mfuate Gwajima kule kwenye kanisa lake ukapate kuliwa vutu Click to expand... ππππππ Vutuuuuuuuuuu. Nimecheka Sana. Longtime sijaskia hili neno
kwamwewe said: Wewe mfuate Gwajima kule kwenye kanisa lake ukapate kuliwa vutu Click to expand... ππππππ Vutuuuuuuuuuu. Nimecheka Sana. Longtime sijaskia hili neno
K kabombe JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 26,153 Reaction score 18,740 Sep 12, 2020 #25 andoza said: mkuu,unajua kwamba,sheria imekikwa sana katika uchguzi huu?au hujui?kama hujui basi pole sana Click to expand... sheria ipi?
andoza said: mkuu,unajua kwamba,sheria imekikwa sana katika uchguzi huu?au hujui?kama hujui basi pole sana Click to expand... sheria ipi?
sengobad JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 9,008 Reaction score 8,788 Sep 12, 2020 #26 Shambaboy jogoli said: Sasa mtu hawezi hata kujaza fomu, ataweza kweli kutunga sheria? Hebu kuweni siliasi kidogo Click to expand... Unatakiwa kujua kusoma na kuandika tuu ndio sifa kuu.
Shambaboy jogoli said: Sasa mtu hawezi hata kujaza fomu, ataweza kweli kutunga sheria? Hebu kuweni siliasi kidogo Click to expand... Unatakiwa kujua kusoma na kuandika tuu ndio sifa kuu.
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 10,856 Reaction score 14,607 Sep 12, 2020 #27 Hahaha siyo tume sema ccm!, CCM ikiacha dhuluma inafutika