Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo wasisome?Huu uzi naona kama vile umekaa kimtego, Ku-discourage wanaume tusitongoze mabinti wadogo waliokwisha vunja ungo, kwa kigezo kwamba bado ni watoto..huu uzi nahisi umeandikwa na mdada aliye na miaka 35+ anayeona kwenye soko la mapenzi hawezi kushindana na mabinti wenye miaka (15-22) waliokwisha vunja ungo
NB: Mimi si-support pedophilia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahNa yule anayevutiwa na wazee anaitwa pedo....nini?[emoji846]
Wapo kila sehemu, tena ndo wamezidi hasaa.Haya mambo ni tata sana. Halafu pia wamo humu. Maana huku jf hakuna malaika.