Je, tunafahamu ''Pedophile'' ni nani na ana tabia zipi?

Je, tunafahamu ''Pedophile'' ni nani na ana tabia zipi?

Huu uzi naona kama vile umekaa kimtego, Ku-discourage wanaume tusitongoze mabinti wadogo waliokwisha vunja ungo, kwa kigezo kwamba bado ni watoto..huu uzi nahisi umeandikwa na mdada aliye na miaka 35+ anayeona kwenye soko la mapenzi hawezi kushindana na mabinti wenye miaka (15-22) waliokwisha vunja ungo

NB: Mimi si-support pedophilia
kwahiyo wasisome?
 
Katika karne hii suala la mapenzi na mahaba yamekuwa tafrani, wamama wanatamani watoto zao, ingawaje watoto pia hutamani wazazi wao bila aibu Wala hofu.
 
Back
Top Bottom