Je, tunahitaji kufundisha shule za msingi na sekondari hizi Slave Trade na Colonialism?

Je, tunahitaji kufundisha shule za msingi na sekondari hizi Slave Trade na Colonialism?

Zibadilishwe jinsi zinavyofundishwa sio kufutwa. Ufundishaje wake hauonyeshi jinsi mambo yalivyotokea na tunasoma kukariri sio kujifunza
 
muda flani niliwaza pia kuwa ufisadi na wizi wa mali ya umma ni matokeo yale yale ya kutukuza uzungu! watumishi wengi huiba mali ya umma ili kuweza kuishi maisha kama ya wazungu! nyumba iwe na fenicha za ulaya na magari kibao mengine hayatumiki! mshahara ni mdogo hautoshi kuishi kizungu ufisadi ndo solution! ukiwaza sana utagundua wapi tumetoa izo hisia ni shuleni baada ya kujifunza kila kitu ca mzungu ni bora!

Kuna maono mengine kuhusu sababu ya Waafrika kufilisi mali za umma, tumsikilize mwanazuoni maarufu kuhusu uafrika Prof. Ali Mazrui

Prof Ali Mazrui: African Attitude vs Govt property

Source: Hussein Omar
 
Mletamada nakubaliana na wewe 100%. Kutokana na hizo athari tulizopata ndio utaona negative comments nyingi humu. Wazo lako zuri sana. Tutaendelea kuwa watumwa na vizazi vyetu bila kutumwa na mkoloni hadi tutakapojitambua. Tuna safari ndefu.
 
Wewe mkund*u kabisa...MTU unapaswa kujijua tangu mwanzoni..ukubwani ni fainali uzeeni...it looks like ulaya pamekugonga manyorrr zako
 
mkuu umefikiria kuhusu vilaza ambao hatuwezi fika elimu juu na tunahitajika kuijua historia yetu?
 
muda flani niliwaza pia kuwa ufisadi na wizi wa mali ya umma ni matokeo yale yale ya kutukuza uzungu! watumishi wengi huiba mali ya umma ili kuweza kuishi maisha kama ya wazungu! nyumba iwe na fenicha za ulaya na magari kibao mengine hayatumiki! mshahara ni mdogo hautoshi kuishi kizungu ufisadi ndo solution! ukiwaza sana utagundua wapi tumetoa izo hisia ni shuleni baada ya kujifunza kila kitu ca mzungu ni bora!

Wazungu waoishi mfano ulaya ya Kaskazini katika flats na kuendesha magari madogo ya ''kike'' wakija Afrika wanashangaa ''wakubwa'' wanaishi katika majumba makubwa yenye vyumba vingi huku wakubwa hao wa Afrika wakiendesha magari ya 4 x 4 yenye kula dizeli/petrol kibao.

Nafikiri hili suala la kufilisi mali za umma si makosa ya wale waliotuweka utumwani wala katika ukoloni mkongwe. Maana hata Singapore, Korea, China n.k zilitawaliwa wakoloni kwa wakati Fulani kwa miaka inayolinga na tuseme Tanganyika miaka ya ukoloni mkongwe ni miaka 1860-1961 wastani wa miaka 100.

Swali kuu ni nini kimetudumaza? Ni kukosa kujitambua wapi tumetoka (Unyonge wa utumwa/ukoloni), wapi tulipo (Uhuru wa bendera) na wapi tunataka kwenda ambapo kuna mapambano ya kifikra kutambua ukoloni mamboleo kiuchumi na ukoloni-wa-kudumaza a.k.a soft-power kama kitamaduni (TV, dini, Miziki ya Magharibi/Mashariki) na elimu itakayozaa matunda ya mabadiliko yetu kiuchumi n.k

Tukitambua yote hayo katika paragraph hizo juu basi tutaweza kwenda mbele kifua mbele duniani kote bila kuona ''unyonge'' wala ''haya'' na hivyo kwenda mbele kimaendeleo katika maeneo ya kijamii, kitamaduni na kiuchumi bila kusahau historia.
 
Huko ulaya unafanya nini kama hauabudu ulaya?
Kwa mtazamo wangu historia ya afrika haikamiliki bila kutaja hizo topics. Hata neno africa limetoka kwao.
Wazungu hawaipi kipaumbele historia ya afrika sababu hatukuvamia nchi zao, hatukuwaathiri kwa lolote.
Tumewaathiri kwa kuwapa utajiri wa bure na hawawezi kulitangaza hili
 
Wewe mkund*u kabisa...MTU unapaswa kujijua tangu mwanzoni..ukubwani ni fainali uzeeni...it looks like ulaya pamekugonga manyorrr zako
Bandidumzungu, hoja yako ni nzuri lakini maneno uliyotuma duu yanaleta ukakasi. Naamini ungeweza kutumia maneno ya staha na bado hoja yako ingekuwa na nguvu. Tuvumiliane mkuu!
 
The Africans: The Rural Decay, Plans Gone Wrong, ''Big Brother Watching You And You Watching the Big Brother thing'' And ''other Plans Gone Wrong In Africa'' by Prof. Ali Mazrui


Source: Afrikanliberation
 
Commodities with Human Face ,Are Africans for Export as Commodity? Africans attitudes vs Govt Property By Prof Ali Mazrui

Source: Africaliberation
 
''Export crops in the midst of local starvation; domestic famine" and "the demon of decay alongside the devil of dependency" and ''a Crisis of Confidence'' Prof. Ali Mazrui

Source: Afrikanliberation
 
The Africans and lack of ''Long term planning'' by Prof. Ali Mazrui

Source: Afrikanliberation
 
Africans: History, Geography, Languages and the triple heritage influence by Prof. Ali Mazrui

Source: Tiffany Nicely
 
Ali Mazrui Tools of Exploitation in Africa



Source: Tiffany Nicely
 
Black Iraqis claim discrimination - 11 Jan 10
Black Iraqis in the southern province of Basra are complaining of discrimination, saying they are not fairly represented in the state.

African Iraqis have lived in the country for centuries and now number more than one million.

Many of them are descendants of African slaves brought to Iraq. Many Iraqis still refer to them by their ancestral name, abeed - meaning slaves.



Source: Aljazeera
Black Iraqis make Obama a model
 
Sasa wewe Marry; Universities watu wana specialize unless uniambie zisomwe na wanaochukua BA's an the like. Sioni umuhimu wa mtu anayesomea Engineering, IT, Electronics, Medical and Natural Sciences, and the like eti asome habari za Tip Tipu. Huo ni zaidi ya mzaha unatuletea hapa. By the way zitakuwa Core au Elective?
Development Studies inawezekana lakini Historia haiwezekani?
 
Kwa ujumla mfumo wa elimu nchini hauleti athari kiasi ambacho tungetaraji kuwa chachu katika maendeleo yetu kutoka mtu mmoja mmoja hadi taifa. Mabadiliko ya ufundishaji kwenda mtindo shirikishi kati ya mwalimu na wanafunzi bado haujafanikiwa kwa kiasi kikubwa. Kuna haja Prof. Ndalichako afanye mapinduzi katika mfumo mzima wa elimu ili ile asilimia 80+ ya wasomi wasiokidhi viwango vya ubora wa kimataifa katika soko la ajira ipungue.
 

‘My life is One Long Debate’:



The inscription of Islamic and Western cultures was also accompanied by epistemicides, that


is, attempts to eradicate indigenous histories, cultures, religions, and traditions. Generally

speaking, the spread of Islam and Christianity was underpinned by violent Jihads and

Crusades. Christian missionaries often worked closely with colonialists in their project of


‘pacification of barbarous tribes.’ We can, therefore, speak of colonially ‘imposed heritages’

with reference to Islamic and Western civilization. African culture pre-dated Islamic and

Western cultures. At the centre of heritage is identity and roots of a people.

Source:
University of The Free State
http://apps.ufs.ac.za/media/dl/userfiles/documents/News/2014/2014_10/Ali A Mazrui_memorial lecture.pdf
 
Nilichosema si kufuta izo topics bali ni kuziondoa kwa watoto wetu huko msingi na sekondari wasipoteze kujiamini na tuzisome tukiwa wakubwa chuoni, matured! mimi ni muathirika wa hizo topics ndo maana nilipigana kufika ulaya! na sasa napigana kurudi nyumbani baada ya kuionja ulaya tunayoipigania kufika! naamini one day hizi topics zitafutwa na tutapata pure African scholars si kama sisi tulioumizwa na kutukuza uzungu!
Mkuu samahani kwa haya but ndo

ukweli wenyewe.

Wewe kilichokuua hukijui maana

umekufa kabla ya kufariki.

Tatizo lako sio slave trade wala

colonialism but ni hiyo diploma

ya education.

Kama kuna mtu ashalifanyia

uchunguzi jambo hili nadhani

ataweka more evidence.

Walimu wanaosoma TTC (TEACHERS TRAINING CENTER) wanauawa (kifikra) na kuwafanya waishi wakiwa wamekufa. They have been trained instead of being educated.
They don't trust themselves na wanadhani kila mtu ni kama walimu wao wa CHUO.
Walimu hawa ni waoga sijawahi kuona.
Sasa mkuu nakuomba, uiombe serikali ifute utaratibu wa kutrain walimu, wawe educated not trained.
Samahani kwa niliyemkwazwa


Robot la Matope
 
Naona wengi hamjamuelewa dada yetu. Hamaanishi zisifutwe kabisa, anachosema zifundishwe wakati vijana wako well matured. Na hapa ni ktk higher learning institutions.
Anasema watoto wafundishwe kuhusu mashujaa wetu, hao mashujaa unawatoa wapi bila colonialism na slave trade?

Au akina Kova na Lizabon wawe ndo mashujaa?
 
Back
Top Bottom