Je, tunahitaji kufundisha shule za msingi na sekondari hizi Slave Trade na Colonialism?

Je, tunahitaji kufundisha shule za msingi na sekondari hizi Slave Trade na Colonialism?

Ivi nyinyi mnadhani utumwa ni wa mtu mweusi tu. Utumwa ulianza katika Roman and Byzantine Empires

Slavery Didn't Happen As You Were Taught In School « National Vanguard

Hivi ndio vitu vinavyo warejesha waafrika nyuma kila siku kulalamika backwardness yetu kwa kuiweka historia ya ukoloni na utumwa mbele.
Utumwa uliishaondoka katika East Africa tokea 1879 na kuanzia 1860 Afrika mashariki ilishikwa na Wazungu na walijenga nchi hizi pamoja na miundo mbinu ambayo mengine mpaka leo ipo lakini Waafrika tokea tupate uhuru tulishughulika zaidi vipi kuhodhi madaraka na kudumu madarakani hatukushughulika na kuweka bidii kujiendeleza na kufanya mazuri zaidi ya yale waliotuachia wakoloni.

Wao mbona wamekuwa kitu kimoja na hali wa waliokuwa wanaitwa Slavik (Slaves) wao ndio wanaongoza katika nyanja za uchumi na technologia historia yao kubwa waliyokuwa hawaisahau ni mauwaji ya kimbari yajulikanayo kama The Holocaust lakini husikii wakisomesha kwa nia ya kuwekeana chuki baina yao (Romans na Slaviks or Germans na Jews)

Hapa mnaposema hatusahau au tusisahau target ni moja tu Waarbu wala hatuwasemi wazungu kwa unyama wao na madhila yao dhidi ya mtu mweusi.

Tuwaone hawa wenzetu wanasemaje.

Should the history of slavery be a part of the curriculum of every student educated in public schools? - Quora
 
Anasema watoto wafundishwe kuhusu mashujaa wetu, hao mashujaa unawatoa wapi bila colonialism na slave trade?

Au akina Kova na Lizabon wawe ndo mashujaa?

Robot la Matope
Naongeza Ni kweli ili tuweze kuwa na mashujaa wetu na upeo mkubwa wa kifikra lazima kuwajua wale waliowafanya mababu zetu watumwa na pia wale waliotia mababu zetu katika ukoloni mkongwe ni kina nani bila kujali rangi zao dini zao n.k Tukishawafahamu kwa kupitia somo muhimu la historia kuanzia shule ya msingi mpaka elimu ya juu basi tutajua jinsi ya kujiepusha na utumwa-mamboleo na pia ukoloni-mamboleo.

Lakini tukiwaonea ''haya'' wale waliowatia ktk utumwa na ukoloni mkongwe mababu zetu basi na sisi au vizazi vijavyo watatumbukia ktk aina mpya ya utumwa-mamboleo na ukoloni-mamboleo.

Wenzetu huko Latin America, Ulaya, Mashariki ya Kati, Asia, Marekani ya Kaskazini, South Africa ukipita katika majumba yao lukuki ya Makumbusho ya Taifa, majukwaa ya sanaa za maonesho au ukiangalia vipindi vya TV, kusikiliza Radio , Magazeti na mitaala ya elimu zao historia ipo kila mahala kuanzia sanamu za mashujaa wao, tungo za mashairi, nyimbo, tamthilia, sanaa ya maigizo, dini zao 'tukufu', lugha zao za taifa, hadithi/tenzi za ''ushindi mkubwa dhini ya adui ktk vita'' zao mbalimbali na ''mahasimu'' wao pia. Tuzo e.g General Jan Christiaan Smuts has also been honoured with statues including one in Durban, Cape Town and in Westminster, London. - See more at: General Jan Christiaan Smuts | South African History Online + Jan Smuts airport The History of Johannesburg's airport

Ajabu sisi tunataka kufuta au kuficha madhila yaliyofanywa na ''mahasimu'' zetu maana hatuwezi kuwaita ''maadui'' kwa sasa lakini ni lazima kuwa macho na mbinu za ''mahasimu'' hao kutaka ''tusahau'' na kupelekea kutudumza kiakili kuwa huko nyuma hakuna mambo mabaya yalipata kufanywa na hivyo inabidi tuwe ''macho'' na hawa ''mahasimu'' ambao leo hii wamekuwa ''wajomba'' zetu wa ulaya, asia na mashariki ya kati.

Napoleon Bonaparte : la marseillaise
Napoleon Bonaparte (2002) la marseillaise with the french national anthem and greatest military general ever Napolean Bonaparte

Source: Turner2123
 
The Lion of Africa - Lieutenant General Paul von Lettow-Vorbeck I WHO DID WHAT IN WW1?
On the outbreak of war in 1914, Lettow-Vorbeck was the commander of a small force in German East Africa (Tanganyika, Burundi and Rwanda). He was determined to tie down as many Allied troops as he could in the region to prevent them from being deployed elsewhere. During a four-year guerrilla campaign he ran rings around his enemies. With an army that never numbered more than 14,000 men, comprising about 3,000 Germans and 11,000 askaris (African soldiers), he succeeded in occupying ten times that number of Allied troops.

In August 1914 Lettow-Vorbeck raided British positions around Mount Kilimanjaro and Lake Victoria in British East Africa (Kenya). In response, a British-Indian force under Major-General Arthur Aitken landed near the German East African port of Tanga on 3 November 1914. Aitken made no attempt at concealing his plans and Lettow-Vorbeck was given time to reinforce his defences. When they came under fire Aitken’s poorly trained Indians panicked and ran. Although they were outnumbered eight to one, the Germans counter-attacked. Aitken’s troops were driven back to their boats, where they re-embarked on 5 November. At the cost of 150 casualties Lettow-Vorbeck had inflicted 850 casualties and captured hundreds of rifles, machine guns, and 600,000 rounds of ammunition. These supplies helped equip his army for the next year.

Britain commanded the sea and was able to send reinforcements from South Africa. Lettow-Vorbeck, heavily outnumbered and with limited resources, switched to a guerrilla campaign, mounting raids on the railways and forts in Kenya and Northern Rhodesia (Zambia). The only heavy artillery he possessed were the guns of the scuttled service raider ‘Königsberg’ ; Battle of Rufiji Delta SMS Königsberg (1905) - Wikipedia, the free encyclopedia .


SMS Königsberg at Dar es Salaam

In March 1916, General Jan Smuts General Jan Christiaan Smuts | South African History Online assumed command of the Allied forces. He attacked from the north out of Kenya, while forces from the Belgian Congo advanced from the west. Another force advanced over Lake Nyasa (Lake Malawi) from the south-east. All failed to catch Lettow-Vorbeck and all suffered heavy casualties from tropical diseases. For every man the Allies lost in battle, a further 30 were lost through sickness. Lettow-Vorbeck’s askaris on the other hand, were more resistant to local diseases.

Although Lettow-Vorbeck always managed to disengage his forces before they were overwhelmed, by late 1916 he was confined to the southern part of German East Africa. At this time Smuts began to withdraw his South African, Rhodesian, and Indian troops and replace them with Africans, who were more resistant to the climate and local diseases.

In 1917 moves were again made against Lettow-Vorbeck from Kenya, Nyasaland and the Belgian Congo. His forces divided into three groups and two of them managed to escape the offensives but the third, of around 5,000 men, was forced to surrender.

In late 1917 he was promoted to general. As the British closed in, Lettow-Vorbeck crossed south into Portuguese Mozambique. He was still raiding in 1918 when he learned of the Armistice, reputedly from a British prisoner. On 25 November 1918, he surrendered his unbeaten force, now reduced to about 1,500 men, to the British in Northern Rhodesia. During the campaign the British (including African and Indian units) lost over 10,000 men. German losses were about 2,000. East Africans suffered far more. One estimate is that around 100,000 carriers and camp followers died on both sides.

On returning to Germany in 1919 Lettow-Vorbeck was given a hero’s reception, leading his remaining officers on a victory parade through Berlin. During the early chaotic years of the Weimar Republic he took part in the Freikorps’ suppression of the communists in Hamburg and supported the right-wing Kapp Putsch (1920), a decision that led to his dismissal from the Reichswehr. Although he later served as a Reichstag deputy for the German Nationalists (1928-30), Lettow-Vorbeck had little time for Hitler’s Nazis. He died in 1964 and was buried with full military honours at Pronstorf.

An inspirational leader, fluent in East African languages and respectful towards his men, Lettow-Vorbeck was able to maintain the loyalty of his askaris, many of whom he promoted to officer rank. Although his discipline was harsh, the desertion rates of Africans in his army were lower than in Allied units. Lettow-Vorbeck was the only German commander to invade British territory during the war and one writer has called his campaign ‘the greatest single guerrilla operation in history’. He was also chivalrous towards his enemies, forming firm post-war friendships with many, including Jan Smuts.
Paul von Lettow-Vorbeck | Enemy Commanders: Britain's Greatest Foes | Online Exhibitions | National Army Museum, London


Published on 26 Jan 2015
Paul von Lettow-Vorbeck, also known as the Lion of Africa, was commander of the German colonial troops in German East Africa (Tanganyika) during World War 1. His guerilla tactics used against several world powers of the time are considered to be one of the most successful military missions of the whole war. In Germany, he was celebrated as a hero until recently. But recent historical research show a picture much more controversial than the one of a glorious hero.



Source: The Great War
 
Kuna mtu alisema nitetee mada yangu! nimependa sana ile comment! sitetei mada , mada inasimama yenyewe! ukweli mchungu ni kuwa binadamu wamepishana katika uelewa, upeo wa kufikiri na kuona yaliyopita na yajayo na pia pia upeo wa kuona yaliyopita na kuweza kuyahusisha na yaliyopo na yajayo! ukweli mwingine mchungu kumeza ni kuwa binadamu wamepishana katika exposure! pia tatizo laweza kuwa lugha ya kuwasilisha kushindwa kueleweka kwa wengine! si kila mtu anaweza kuelewa unachosema sababu uelewa wetu katika kila jambo pia hutokana au huathiriwa na culture yetu na mazingira tuliyopo ( our traditions, education level, people around us, exposure , time and space ) wakati mwingine katika maisha huwa tunacomment mambo mbalimbali baada ya kusoma au kusikiliza comments za watu wengine! mfano mada yangu ina topics mbili , moja ni kuondolewa kwa colonialism na slave trade topics kwa elementary levels za education na kuwekwa kiswahili kama lugha ya kufundishia ila walio wengi wanaona mada moja tu kwa kuwa hawachukui muda kuwaza binafsi bali hutekwa na mawazo ya wengine! na hili ni tatizo pia kwa bara la afrika kupenda kuigiza mambo badala ya kubuni ya kwake! kujibu hoja baada ya kusoma comments za wengine kwa wasiojua hali hii hupunguza uwezo wa kufikiri binafsi! katika zama hizi kitu kimoja kimejidihirisha, kuwa wabongo tunapenda mno kucomments negatively! it means we are negatively oriented na labda kizazi kijacho kitakuwa positive! kupiga hatua si kitu rahisi, mojawapo ni kuachana na yale uliyoyazoea na kushika mapya na kuyajaribu! kuna watu wataelewa na wengine bahati mbaya hawataelewa!
Worth reading!
 
Nikiri kuwa sikukuelewa vizuri mwanzoni. Lakini hata sasa baada ya ufafanuzi wako

Sawa. Lakini nadhani hoja yangu bado ni "valid" hata baada ya ufafanuzi ulioutoa.

Nikukumbushe tu kuwa bado idadi kubwa ya wanafunzi hawaendi ngazi ya sekondari. Na hata wakifika huko wana uhuru wa kuchagua kama wasome historia au la (wake wa options za science hawatasoma). Na wanaobahatika kufika vyuo vikuu ni wachache zaidi na huko pia wana uhuru wa kuchagua kusoma historia au la. Kwa hivi utaona kuwa kwa hoja hii wanafunzi wengi bado watakosa kuzisoma hizi mada. Ngazi pekee ya elimu ambayo walau ina "guarantee" ya kusoma historia ni shule za msingi.

Pili, sijaelewa kabisa ni jinsi gani mada hizi zimekufanya wewe binafsi ujisikie mnyonge mbele ya watu weupe. Au kwa namna nyingine, ni kwa namna gani zinaendeleza unyonge? Labda tatizo ni namna ulivyofundishwa. Na kama ndiyo, basi suluhisho si kufuta mada bali ni kuboresha namna ya ufundishaji.

Naamini kuwa watu waliofundishwa vizuri mada hizi wanafaida zaidi kuliko wake ambao hawakufundishwa kabisa au waliofundishwa vibaya. Waliofundishwa vizuri watakuwa na hoja madhububuti za kupambana na dhana potofu za unyonge wa Mwafrika.

Hata hivyo nakusifu kwa kuleta mada moto kama hii. Nadhani mjadala wa kina unahitajika. Asante.

Nakumbuka mwaka wa kwanza kuna somo la Development studies (DS) ambayo ni kwa wote; kama vipi wanaweza tupia kwenye hii kozi; ...
 
Tatizo lipo hapa hapa tunajadili
Watu wengi waliochangia hakuna hata mmoja aliesema ndio lisomeshwe ili vijana wetu watambue ubaya wake wasije wakaingia majaribuni. Kauli zinazotoka hapa ni kuwa lisomeshwe ili watu wakumbuke uovu waone uchungu wa waliyapata mababu ambao hawapo tena wao na hao waliowafanyia maovu. Wanataka watu wasisahau as if wao walikuwapo pale, ila watu hawaangalii kuwa ni kama alivyosema Prof. Ibrahim ni kuwa everyone alishiriki hata hao mababu zetu walishiriki (as human supply chain) kukamata hata ndugu zao na kuwauza kwa walanguzi wa masoko ya utumwa.
Wanataka lisomeshwe ili hili suala ligande katika nyoyo zetu kujenga chuki isoisha kwa kutumia Hatusahau
Hata dini zote zinasema watu wasamehe waendele na maisha.
We should focus more on Development Studies than bitter history.
 
Kuna mtu alisema nitetee mada yangu! nimependa sana ile comment! sitetei mada , mada inasimama yenyewe! ukweli mchungu ni kuwa binadamu wamepishana katika uelewa, upeo wa kufikiri na kuona yaliyopita na yajayo na pia pia upeo wa kuona yaliyopita na kuweza kuyahusisha na yaliyopo na yajayo! ukweli mwingine mchungu kumeza ni kuwa binadamu wamepishana katika exposure! pia tatizo laweza kuwa lugha ya kuwasilisha kushindwa kueleweka kwa wengine! si kila mtu anaweza kuelewa unachosema sababu uelewa wetu katika kila jambo pia hutokana au huathiriwa na culture yetu na mazingira tuliyopo ( our traditions, education level, people around us, exposure , time and space ) wakati mwingine katika maisha huwa tunacomment mambo mbalimbali baada ya kusoma au kusikiliza comments za watu wengine! mfano mada yangu ina topics mbili , moja ni kuondolewa kwa colonialism na slave trade topics kwa elementary levels za education na kuwekwa kiswahili kama lugha ya kufundishia ila walio wengi wanaona mada moja tu kwa kuwa hawachukui muda kuwaza binafsi bali hutekwa na mawazo ya wengine! na hili ni tatizo pia kwa bara la afrika kupenda kuigiza mambo badala ya kubuni ya kwake! kujibu hoja baada ya kusoma comments za wengine kwa wasiojua hali hii hupunguza uwezo wa kufikiri binafsi! katika zama hizi kitu kimoja kimejidihirisha, kuwa wabongo tunapenda mno kucomments negatively! it means we are negatively oriented na labda kizazi kijacho kitakuwa positive! kupiga hatua si kitu rahisi, mojawapo ni kuachana na yale uliyoyazoea na kushika mapya na kuyajaribu! kuna watu wataelewa na wengine bahati mbaya hawataelewa!
Mtu akiwa na wazo tofauti na lako haimaanishi kuwa ana uwezo mdogo wa kuelewa au kufikiri... Kama unaona hueleweki na wengi basi unatakiwa kutoa elimu na kujibu hoja maana lengo la mjadala ni kujenga....

Kitendo cha watu kujibu hoja yako moja na sio zote mbili haimaanishi moja kwa moja kuwa hawana mawazo binafsi au wametekwa na mawazo ya wengine, la hasha!...mada zinazopendekeza Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia hadi elimu ya juu zipo nyingi (ingawa sio za moja kwa moja) ndio maana wadau wengi hawajikita huko....

Lakini pia, nafikiri mtu akiandika mawazo yanayokinzana na yako ni jambo zuri, ni fursa ya kuwa na mjadala wenye afya....Umedai kwamba kizazi hiki cha watanzania tunapenda kutoa mawazo kinzani na kwamba tunapinga kila jambo...ila nadhani tatizo linakuja pale mtu anapokosa uwezo wa kuvumilia na kujadili mawazo kinzani....
 
Mtu akiwa na wazo tofauti na lako haimaanishi kuwa ana uwezo mdogo wa kuelewa au kufikiri... Kama unaona hueleweki na wengi basi unatakiwa kutoa elimu na kujibu hoja maana lengo la mjadala ni kujenga....

Kitendo cha watu kujibu hoja yako moja na sio zote mbili haimaanishi moja kwa moja kuwa hawana mawazo binafsi au wametekwa na mawazo ya wengine, la hasha!...mada zinazopendekeza Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia hadi elimu ya juu zipo nyingi (ingawa sio za moja kwa moja) ndio maana wadau wengi hawajikita huko....

Lakini pia, nafikiri mtu akiandika mawazo yanayokinzana na yako ni jambo zuri, ni fursa ya kuwa na mjadala wenye afya....Umedai kwamba kizazi hiki cha watanzania tunapenda kutoa mawazo kinzani na kwamba tunapinga kila jambo...ila nadhani tatizo linakuja pale mtu anapokosa uwezo wa kuvumilia na kujadili mawazo kinzani....
Nakubaliana na mleta mada. Watanzania tuko too much indoctrinated na ideologies ziloharibu uwezo wetu wa kufikiri huria, tuko pale pale tu kasema yule mtu mmoja basi ndio huyo. Tunaendeshwa na emotions an under mind control. Miaka 54 tumeshindwa kuleta maendeleo ya kweli anagalau katika hii sector moja muhimu ya Elimu. So sishangai kuwa wewe Jack Daniel's unamwona mkorofi mleta mada sababu ya kutetea hoja yake. Ana haki ya kutetea hoja yake kama wewe unavyojipa haki ya kutetea agenda yako na ya wengine wanaotaka kukandamiza hata asitetee ili asizidi kushawishi watu wafaham hoja yake na kuikubali. Wengi tunaompinga tunampinga sababu tunataka ku kandamiza (suppress and quell) maoni yake. Why tunafanya hivyo sababu hatukubali another narrative tunataka ibaki vile vile tulivyo bashiriwa na kufunzwa miaka mingi ilopita.
 
Leo nimeamua kufunguka na ninaomba Mungu sana Mh Waziri wa elimu na taasisi ya ukuzaji mitaala Tanzania isome hii comment yangu thread yangu, ni hivi, mimi ni mwalimu ( nina diploma ya ualimu na nimefundisha somo la historia kwa shule kadhaa za sekondari O and A level kwa miaka kadhaa na nina BA ya Mlimani na Masters ya Social Welfare ya ulaya! na ninaishi ulaya miaka kadhaa now! iko hivi huku ulaya hawasomi kuhusu historia ya Afrika kwenye level za chini ni hadi ufike University ndo unaanza kusoma habari za Afrika! wanajua umuhimu wa historia zao na mila na tamaduni zao! watu wengi hawajui kwa undani kuhusu Afrika zaidi ya jina tu! kuna wazee wa kizungu ukiwaambia unatoka Tanzania wanakuuliza hiyo nchi iko wapi! ninapenda sana kuanzisha mjadala wa kufuta Topics mbili za somo la historia kwa shule za msingi na za sekondari!
Hapo kwenye:
NYEKUNDU: Kwa sababu hawataki kufundisha watoto wao uovu walioufanya katika bara hili kwa miongo mingi....
BLUU: Hata sisi watanzania tunajua umuhimu wa historia, mila na tamaduni zetu..ndio maana tunasoma ya kale, ya sasa na yajayo....
KIJANI: Unaweza kujua kwa undani kuhusu sehemu fulani ukiamua tu bila hata kusoma somo la historia shuleni.....
Ninapendekeza Topics za Slave Trade na Colonialism zifutwe kwenye mtaala wa shule za msingi na sekondari Tanzania. Hizi topics ni miongoni mwa topics zinazoendeleza unyonge wa Mwafrika na kufuta historia ya Afrika na kuondoa kujiamini kwa mwafrika, zinapoteza kabisa mila na desturi zetu!
Hizi topics zinamfanya mtoto mdogo washule ya msingi anaposoma , kukua akijua wazungu na waarabu ni bora kuliko waafrika na wana nguvu na weledi kuliko mwafrika na kumfanya mtoto angali mdogo kutamani kila kitu cha ulaya
Lengo ni wanafunzi waelewe walipotoka, walipo na wanapoelekea....katika mtaala wa somo la historia kuna kipindi( time frame) kwa mfano kuanzia mwaka 1900 hadi leo...inakuwa haina maana kuruka sehemu ya historia iliyobadilisha mfumo mzima wa maisha yetu na kuturudisha nyuma kwa sababu kuna kipindi katika historia kabla ya ukoloni ambapo waafrika na wazungu walikuwa sawa kimaendeleo....

Ila kingine unachokiongelea hapa, ni athari unazodai wanapata wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa kusoma kuhusu utumwa na ukoloni. Ila kwa bahati mbaya haujaja na maelezo yenye mashiko.

Kwa mfano, sidhani kama hayo masomo yanamfanya mwanafunzi kumuona mzungu au muarabu kama ni bora bali anamuona kama mtu mbaya, alietesa watu, asiejali utu wa mtu weusi. Vitu kama hivyo havimfanyi mtoto kutamani kila kitu cha ulaya, kinachomfanya atamani kila kitu cha ulaya sio historia anayoisoma bali ni namna anavyowaona wazungu sasa hivi, namna anavyosimuliwa au anavyosikia kuwa kuna maisha mazuri ulaya, TV anazoangalia, simu n.k. Nina uhakika vitu anavyotamani huyo mtoto sio vya zamani bali ni vya sasa. Nadhani ukafanye utafiti kwanza kuhusu kinachowafanya hao wanafunzi unaowazungumzia kutamani kila kitu cha ulaya....
Hizi topics zinashusha thamani ya mwafrika na kumfanya kuabudu ulaya! ni topics zinazobeba sehemu kubwa ya somo la historia na kupoteza ufundishwaji wa historia yetu kama nchi na makabila yetu na mashujaa wetu na sayansi yetu na civilization ya yetu ya mwafrika!
Sidhani kama mtoto mdogo anaweza kuabudu ulaya kwakuwa waliweza kuwachukua mababu zetu na kuwafanya watumwa!. Historia yetu iliathiriwa na ukoloni, hao watu wanaitwa mashujaa kwa sababu ya ukoloni, walitufundisha namna tofauti ya kusali na kuabudu, namna ya kuelimishana, namna ya kupata matibabu n.k. Sasa hivi mila na desturi zetu zinazidi kupotea kwa sababu ya utandawazi na maendeleo. Leo hii wanataka tubadili namna tunavyooana, tena kwa lazima! hii ni kwa sababu wameshazoea kutulazimisha kufanya wanavyotaka wao......

Historia ni namna anavyoiandika mtu, jamii, nchi au dunia. Historia inaweza kuwa nzuri au mbaya, wala sio jambo la kuonea aibu. Historia haiwezi kufutika ila inaweza kuandikwa.

Sijui kama kweli!.. lakini naona kama hutaki watu wengi wasome kuhusu utumwa na ukoloni, ni kama vile unapendelea watu wachache ndio wasome kuhusu hiyo sehemu ya historia yetu....
Ukweli ni kuwa ulaya pia kuna shida nyingi na kuna wazungu wengi omba omba huku ulaya, na wanaomba kila mtu anaepita njia hata mwafrika!
Mantiki ya hii sentensi yako ni ipi?

Wakati umefika sasa tunahitaji kuwafundisha watoto wadogo mashuleni mila na desturi zetu na hayo ya slave trade na colonialism wakasome University wakiwa matured!
Ukitaka kufundisha mila na desturi bila kutaja ukoloni ni sawa na kusema tuwafundishe wanafunzi wa shule za msingi na sekondari historia yetu toka mwaka 1961( biashara ya utumwa ilikomeshwa mwaka 1873 na ukoloni ule uliisha mwaka 1961). Hapo ni sawa na kumchukulia mwanafunzi wa kidato cha sita anaesoma mchepuo wenye somo la historia kuwa na uwezo wa kufikiri sawa na wa mwanafunzi wa darasa la nne wa shule ya msingi!!!.....
i vizuri pia tukisoma kwa kiswahili kuanzia msingi hadi chuo ili tuelewe tunachokisoma! ni hayo tu! naomba kuwasilisha!
Au tunaweza kuwa na shule za sekondari na vyuo vinavyotumia kiswahili kufundishia na vile vinavyotumia kiingereza vikaendelea kufanya hivyo kwa maamuzi yao, ili wanafunzi wachague wapi wanapotaka kwenda. Kama ambavyo sasa hivi tuna shule za msingi zinazotumia Kiswahili na zingine zinatumia kiingereza kufundishia na wazazi wanaamua wenyewe wapi wapeleke watoto wao.....
 
Nakubaliana na mleta mada. Watanzania tuko too much indoctrinated na ideologies ziloharibu uwezo wetu wa kufikiri huria, tuko pale pale tu kasema yule mtu mmoja basi ndio huyo. Tunaendeshwa na emotions an under mind control. Miaka 54 tumeshindwa kuleta maendeleo ya kweli anagalau katika hii sector moja muhimu ya Elimu. So sishangai kuwa wewe Jack Daniel's unamwona mkorofi mleta mada sababu ya kutetea hoja yake. Ana haki ya kutetea hoja yake kama wewe unavyojipa haki ya kutetea agenda yako na ya wengine wanaotaka kukandamiza hata asitetee ili asizidi kushawishi watu wafaham hoja yake na kuikubali. Wengi tunaompinga tunampinga sababu tunataka ku kandamiza (suppress and quell) maoni yake. Why tunafanya hivyo sababu hatukubali another narrative tunataka ibaki vile vile tulivyo bashiriwa na kufunzwa miaka mingi ilopita.
Sio kweli kwamba nimemuona mleta mada kama mkorofi kwa kutetea hoja yake...mleta mada hajapendendezwa na idadi ya wachangiaji wengi waliotoa maoni tofauti na yeye, kitu kilichomfanya awashambulie wote wenye mawazo kinzani....pengine alitegemea wengi wangekubaliana na mawazo yake! ila hayo ni mambo ya kawaida.....

Labda wapo wanaopinga ili mradi kupinga, ila sio mimi, pia sio kwamba kila wazo tofauti ni baya. Mleta mada aliwasilisha mjadala, na katika mjadala huwa kuna wanaotetea na wanaopinga kila mtu na sababu zake.....

Ukileta mada kama hiyo unatakiwa uitetee ili watu wengi wakishasoma wanasema 'kweli, hii kitu inatakiwa kukwekwa sawa'..
 
Somo lifundishwe tuu ili watu waelewe na wajue tulipotoka na wazungu pamoja na ndugu zetu waarabu na wahindi...

Marcus Garvey mmoja wapigania Uhuru ma mtu mweusi alishawahisema...

" people who do not know their historical background, they are the same with a tree without roots".
 
Hapo kwenye:
NYEKUNDU: Kwa sababu hawataki kufundisha watoto wao uovu walioufanya katika bara hili kwa miongo mingi....
BLUU: Hata sisi watanzania tunajua umuhimu wa historia, mila na tamaduni zetu..ndio maana tunasoma ya kale, ya sasa na yajayo....
KIJANI: Unaweza kujua kwa undani kuhusu sehemu fulani ukiamua tu bila hata kusoma somo la historia shuleni.....

Lengo ni wanafunzi waelewe walipotoka, walipo na wanapoelekea....katika mtaala wa somo la historia kuna kipindi( time frame) kwa mfano kuanzia mwaka 1900 hadi leo...inakuwa haina maana kuruka sehemu ya historia iliyobadilisha mfumo mzima wa maisha yetu na kuturudisha nyuma kwa sababu kuna kipindi katika historia kabla ya ukoloni ambapo waafrika na wazungu walikuwa sawa kimaendeleo....

Ila kingine unachokiongelea hapa, ni athari unazodai wanapata wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa kusoma kuhusu utumwa na ukoloni. Ila kwa bahati mbaya haujaja na maelezo yenye mashiko.

Kwa mfano, sidhani kama hayo masomo yanamfanya mwanafunzi kumuona mzungu au muarabu kama ni bora bali anamuona kama mtu mbaya, alietesa watu, asiejali utu wa mtu weusi. Vitu kama hivyo havimfanyi mtoto kutamani kila kitu cha ulaya, kinachomfanya atamani kila kitu cha ulaya sio historia anayoisoma bali ni namna anavyowaona wazungu sasa hivi, namna anavyosimuliwa au anavyosikia kuwa kuna maisha mazuri ulaya, TV anazoangalia, simu n.k. Nina uhakika vitu anavyotamani huyo mtoto sio vya zamani bali ni vya sasa. Nadhani ukafanye utafiti kwanza kuhusu kinachowafanya hao wanafunzi unaowazungumzia kutamani kila kitu cha ulaya....

Sidhani kama mtoto mdogo anaweza kuabudu ulaya kwakuwa waliweza kuwachukua mababu zetu na kuwafanya watumwa!. Historia yetu iliathiriwa na ukoloni, hao watu wanaitwa mashujaa kwa sababu ya ukoloni, walitufundisha namna tofauti ya kusali na kuabudu, namna ya kuelimishana, namna ya kupata matibabu n.k. Sasa hivi mila na desturi zetu zinazidi kupotea kwa sababu ya utandawazi na maendeleo. Leo hii wanataka tubadili namna tunavyooana, tena kwa lazima! hii ni kwa sababu wameshazoea kutulazimisha kufanya wanavyotaka wao......

Historia ni namna anavyoiandika mtu, jamii, nchi au dunia. Historia inaweza kuwa nzuri au mbaya, wala sio jambo la kuonea aibu. Historia haiwezi kufutika ila inaweza kuandikwa.

Sijui kama kweli!.. lakini naona kama hutaki watu wengi wasome kuhusu utumwa na ukoloni, ni kama vile unapendelea watu wachache ndio wasome kuhusu hiyo sehemu ya historia yetu....

Mantiki ya hii sentensi yako ni ipi?


Ukitaka kufundisha mila na desturi bila kutaja ukoloni ni sawa na kusema tuwafundishe wanafunzi wa shule za msingi na sekondari historia yetu toka mwaka 1961( biashara ya utumwa ilikomeshwa mwaka 1873 na ukoloni ule uliisha mwaka 1961). Hapo ni sawa na kumchukulia mwanafunzi wa kidato cha sita anaesoma mchepuo wenye somo la historia kuwa na uwezo wa kufikiri sawa na wa mwanafunzi wa darasa la nne wa shule ya msingi!!!.....

Au tunaweza kuwa na shule za sekondari na vyuo vinavyotumia kiswahili kufundishia na vile vinavyotumia kiingereza vikaendelea kufanya hivyo kwa maamuzi yao, ili wanafunzi wachague wapi wanapotaka kwenda. Kama ambavyo sasa hivi tuna shule za msingi zinazotumia Kiswahili na zingine zinatumia kiingereza kufundishia na wazazi wanaamua wenyewe wapi wapeleke watoto wao.....

Mkuu,
Umeelezea vizuri sana umuhimu wa kuijua historia kama ilivyo iwe mbaya au nzuri.

Na hakuna mataifa makubwa yanapuuzia somo la historia kuanzia vitabu vya kindergarten mpaka elimu ya juu. Maana wanajua historia huwa ina hulka ya kujirudia na wale wanoipuuza historia hukumbana na madhara ya kuishia kuwa ''koloni'', ''watumwa wa fikra'', ''watwana'' n.k

Mfano historia ya kuanzia 1900 sema vita kuu ya pili Mjerumani alipuuza kuitazama historia kwa makini na alitumia mbinu na mkakati uleule wa Napolean Bonaparte kuivamia Russia miaka ya 1941 -1945 na Mjerumani akashindwa kwa sababu zile zile zilizosababisha Jemedari Mahiri wa nchi ya Ufaransa Napolean Bonaparte kushindwa vita vyake na Russia miaka 200 iliyopita yaani mwaka 1812. Napoleon’s Disastrous Invasion of Russia, 200 Years Ago - History in the Headlines

Hivyo hivyo ukiwa Uturuki utasikia simulizi za ushindi wa Turks Ottomans maeneo mbalimbali huku watu wa Mashariki ya Kati wakisimulia ukatili wa kutisha wa Waturuki dhini yao yaani watu wa Mashariki ya Kati. Mfano mtoto mtundu hutishwa na wazazi wake kuwa tutakupeleka kwa ''Waturuki''.

Na simulizi hizi zipo katika sebule za nyumba za watu, vijiwe vya kahawa, shule za msingi n.k kuonesha jinsi wenzetu walivyo na tahadhari dhini ya ''mahasimu'' wao na umuhimu wa kujua historia walipotoka na wanapokwenda.

Nitatumia ule usemi wa Mbunge Machachari wa CCM, Livingstone Lusinde kuwa ''tusiwe kama watoto wachanga ambao wakati tukiwa ndani ya matumbo ya mama zetu (mimba) tunadhani dunia yetu ni ile mimba tu ambayo ni salama bali ukweli ni kuwa tukizaliwa kuna dunia pana zaidi yenye changamoto nyingi na hatari''.

Hivyo kujidanganya kwa kuona haya, kuona aibu kuchukua hatua ya kuelezea, kusimulia, kusoma historia itakuwa ndiyo salama yetu ni kujitumbukiza katika mdomo wa ''mamba'' wa dunia ya ukoloni mamboleo, utumwa-mambo-leo na utwana.

Tungo inayozungumzia ukoloni mkongwe kupitia vita :Kitabu cha: War and Peace :

Considered by many critics to be the greatest novel ever created, War and Peace was written and published before Anna Karenina, from 1865 to 1869 (when Tolstoy was in his late 30s),

1. It’s a mirror of our time.
At its core War and Peace is a book about people trying to find their footing in a world being turned upside down by war, social and political change, and spiritual confusion. The existential angst of Tolstoy and his characters is entirely familiar to those of us living at the beginning of the twenty-first century, and his novel has important things to say to us in this moment. Over and over again the book shows how moments of crisis can either shut us down or open us up, helping us to tap into our deepest reservoirs of strength and creativity. The Ideal Guide to War And Peace | Andrew D Kaufman.
 
naomba niununue mjadala kwa hiyo watoto wakienda kule kaole au kilwa watasema yale ni magofu ya babu zao
 
German East Africa - World War 1 Colonial Warfare I THE GREAT WAR Special

Published on 14 Mar 2016
The military campaign in German East Africa during World War 1 went on longer than the whole war and thanks to Paul von Lettow-Vorbeck and his guerilla warfare is now infamous among the theatres of the great war. But what was the history behind German East Africa and was it really a gentleman's war and what role did the Askari play in it?



Source: The Great War
 
Sorry utanisamehe kwa kutomalizia post yako kusoma had mwisho...
Lakini nimegundua kitu..
Hujui na Kama unajua lipo unalotaka kulifunika !! Wewe huna tofauti na dini flan hiv ukiwambia Waarabu walitutawala na kutufanya watumwa wana deny history!! Coz wamekua brainwashed ...au umewaamini wazungu hadi kufikia hutaki kujua walichotufanyia au hutaki kusikia and you are living abroad !! Yeah sure washakutenda kwenye hyo brain yako
1.How can you live without knowing your enemies while they exist in real sense??

2.Unatakaje kujua unakoenda wakati hujui ulikotoka

3.Mi nafikir ni nzuri kwetu hizi mambo the thing is ' hatuna mikakati ya kuchange history ,tunajifunza tu Kama hadithi laiti kweli tungekua tunaitumia ipasavyo tungekua Kama China au Korea,labda tungekua Kama America BT tumekosa vision na mission we just focus on negativity and inferiority

4. Kwa anaejua history vizur can't take Arabs and White as friends or someone to trust!! But we do trust them most while they are our enemies since then!! And these are only happen in African continent!!
WAKATI WATANZANIA WASIOPENDA KUFANYA UCHUNGUZI YA KINIFU NA KWA SABABU WANAKATAA UKWELI MCHUNGU KUWA MENGI WALIYOSOMESHWA SHULENI ILIKUWA NINMFANO WA BOLSHEVIK PROPAGANDA ZA KISOVIETI ENZI ZA SIASA ZA UJAMAA, NA WAKIZIDI CHUKI DHIDI YA WAARABU NA WAHINDI TUMSIKILIZE MHESHIMIWA UHURU KENYATA AKIMKARIBISHA WAZIRI MKUU WA INDIA:
____________

REMARKS BY HIS EXCELLENCY HON. UHURU KENYATTA, C.G.H., PRESIDENT AND COMMANDER IN CHIEF OF THE DEFENCE FORCES OF THE REPUBLIC OF KENYA DURING STATE LUNCHEON - VISIT BY H.E. MR. NARENDRA MODI, PRIME MINISTER OF THE REPUBLIC OF INDIA AT STATE HOUSE, NAIROBI

DATE:11TH JULY, 2016

Your Excellency, the Right Honorable Narendra Modi, Prime Minister of India,

Distinguished Guests,

Ladies and Gentlemen,

First, let me welcome, warmly welcome, Prime Minister Modi and our distinguished guests from India. We are truly honoured to be hosting you, and we hope that in spite of the cool July weather, you will enjoy the warm hospitality of Kenyans.

Excellency,

This visit is extremely significant for our country because our connection to the people of India is historic. A casual observation of our society betrays that our cultures have been in contact for a very long time.

The Indian influence in Kenya is implicit in our food: in chappattis and samosas, mahamri and chai; pilau and bhajjia.

It is evident in our fashion as more African women embrace Indian clothing and beauty practices, it is evident in the Swahili music of our coastal regions and it is part of what makes many Indians feel at home when they are in Kenya and vice versa, where our people experience some of the same things they would at home: open-air markets, rickshaws, exquisite crafts and, in general, the robust dynamism of an aspirational society.

Excellency,

The reality is that our people and our cultures were interacting centuries before our States even existed. If you’ll indulge me, I will reflect, briefly on that contact.

While we could well begin much earlier, allow me to start in 1896. That was the year when about 32,000 Indians came to Kenya to build the Kenya-Uganda Railway. They took on jobs as skilled labourers, artisans, bricklayers, carpenters, plumbers, tailors, motor mechanics and electrical fitters.

They came in search of work, opportunity and food for their families, and they worked under very difficult, very hostile conditions. Many fell sick. Many were injured. Many died. But in enduring the hardship and harrows of their work, they also left a lasting legacy: not just a railway that has survived to-date, but a powerful national motto, inscribed on our coat of arms, that is a tribute to the power of their collective resilience: Harambee - derived from their work chant Hare Hare Ambeh.

And then, when the Railway was finished in 1902, about 7,000 of those workers stayed behind to build a future in East Africa. Many of them set up small shops or dukas along the railway line and became dukawallas. While working hard to eke out a living, these individuals passed on an inspiring dogma of discipline and diligence which still defines the Indian-Kenyan community even today.

But it’s also important to remember that the Indian-Kenyans who made this country their home did not just work to build themselves and their families. They also sought, more broadly, to serve this country and support their African peers. Indeed, they were central to liberation efforts and many, many of them made great sacrifices to see this country set free.

Makhan Singh, for instance, was the first person to call for an end to British Rule. He fought tooth and nail for equal pay among black, European and Indian workers, and he spent years in prison for his dissent.

G.L. Vidyarthi, founded a newspaper—the Colonial Times—and used it as a tool to challenge the colonialists cruel treatment of Kenyans who had featured on the Front Lines of a war, which they knew little of but which purported to serve humanity. He spoke truth to power and the British tried and detained him for sedition.

Pio Gama Pinto, chose to shun the comfort of silent commerce to speak out against the injustice of imperialism and oppression. He was jailed for 5 years.

Lawyers like Diwan Chaman Lall, A.R Kapila, Fitz D’Souza and Jaswant Singh represented my Father and the rest of the Kapenguria six when they were imprisoned in the 1950s.

Indeed, Kenya’s freedom fighters received support from thousands of miles away, from the very highest levels of society in India.

Prime Minister Jawaharlal Nehru—your Prime Minister of India—lent incredible support to African Nationalists, and encouraged the Indian community in Kenya to do the same. He understood the shared nature of the struggle we were engaged in and for him, India’s freedom would only be secured and strengthened by the freedom of African countries.









Excellency,

I could go on and on. But the point is this: ultimately, this country was forged not just through the blood and sweat and tears of Kenyan and African freedom fighters, but on the sacrifices of many, many Kenyan-Indian freedom fighters too. That makes our relationship to your country especially unique and especially meaningful. That is why, no matter what trials we have encountered over time, our bond still endures to-date.

With your visit, we have an opportunity to anchor our relationship in deeper waters and strengthen the connection between our people by expanding our cooperation in trade and tourism, education and energy, sports and culture, ICT, defense and health. Knowing that we are countries of like mind and peoples of similar ambition, I am confident that our exchanges, Excellency, will be prove fruitful and will secure favourable outcomes for both our people.





With those remarks, I invite everybody to be upstanding. I propose a toast:

To the good health of His Excellency Prime Minister Narendra Modi

To the deep and abiding friendship between the people of our two countries

And to a future of shared prosperity and great partnership.



Thank you.
 
Sunbust Band : enzi za utumwani



Tanzania, 1973, afro rock/soul
Sunbust ( also released some singles as Sunburst ) were one of the very few afro-rock 70's bands (in fact they are the only one I know so far) at Tanzania
Source: Alksi09
 
Back
Top Bottom