Nenda kaburini kwake kafagie, Sukuma gang bwana mlikuwa mnamuona huyo mrundi kama mungu mtu!.
Halafu unakuta mtu kama wewe kitumbo mbele mbele kwenye vita ya Russia na Ukraine bila kujuwa athari zake kwa uchumi wa dunia.
Mbaya zaidi unakuta nawewe ni msomi ambaye hata kuchanganua mambo umeshindwa! Haya tuambie Kenya na nchi zingine wakaombe msamaha wapi?