Je, tunaweza kuishi kwa amani tukifatisha vitabu vyetu vya dini?

Je, tunaweza kuishi kwa amani tukifatisha vitabu vyetu vya dini?

Dah aisee! kweli wajinga ndo waliwao! yani hizo quotation za Quran umeweka nusunusu halafu kwenye hiyo Bible umeweka verse zaidi ya moja kwa ulichoki-quote.
Nimefanya hivo first kwasababu ya kufupisha thread isiwe ndefu sana, nimeenda directly to the point, au kuna verse yeyote imetafsiriwa vibaya as per you?
Content niliyoiweka ya qur'an ni kubwa kuliko ya bible, mbona hujazungumzia hilo?
There is a reason kwanini walio wengi wanaoslimu ni wazungu kwa kuwa ni watu wenye kutafuta ukweli kuliko sisi huku tuonataka kulielewa neno ya Mungu kwa kusimuliwa!
Describe hapo uliposema "Kutafuta ukweli"?
Alaf unaposema neno "kwa kusimuliwa" unazingua kwasababu wote sisi tunaoishi sasaiv duniani, wote tumesimuliwa hizi habari za dini, either ni mkristo au muislamu, lazima utakuwa umesimuliwa either kwa maneno ya kutamkwa au kwa kusoma vitabu vya simulizi(bible/Qur'aan), kwa sababu mm na wewe hatuwepo kipindi hicho(wote tumesimuliwa), alaf acheni kufanya wazungu ni watu weny akili sana kutuzidi, kufanikiwa kuzidi sisi haimaanishi wana akili kuzidi sisi, mafanikio yana kuwa impacted na vitu vingi mkuu.

Hivi ukifanikiwa kuwahadaa watu wakuona Uislamu ni mbaya kwa ujanja ujanja wako unakuwa umeitendea haki dini yako?
Ujanja ujanja upi?? Verse hizo nimezitunga mm? "Nimechukua maneno kweny kitabu chenu wenyew alaf nikawauliza maswali bila kejeli yeyote" hii ni sifa ya mtu anayetaka kuchafua uislamu?? Nimeweka kejeli yeyote?
 
Kwanza kabisa nianze kwa kukuelimisha kuwa katika uislamu hakuna mafundisho hayo ya kujilipua na kuua watu wasio na hatia! Quran 5:32

Kuna sababu za kisiasa na sababu za kijamii, there is a reason kwanini wanaenda kujiripua hapo wanapoenda! they have specific target na ukiangalia ni wale ambao wana uaidui nao wa kisiasa ama kiutawala. Na niweke wazi kabisa kuwa wanakosea kwa kuua watu wasio na hatia, Uislamu haufundishi hivo na bali unakemea vikali kuua nafsi isiyo na hatia (achilia mbali mtu, hata mnyama na miti kuikata bila sababu ya msingi ni dhambi!)
Ahsante sana kwa haya majibu, kuna siku nilikuwa nabishana na waislamu flani, nikawaambia hivi kwamba uislamu haukubaliani na haya mambo, niliongea kama ulivoongea wewe, cha kushangaza wakakataa, wakaanza kunisomea verse kutoka kweny qur'an kama verse nilizoandika huko juu, walivomaliza mm nikawauliza swali kama nililokuuliza wewe hapo juu, walibwabwaja tuu hawakunipa majibu ya msingi, hata wewe bado hujanipa majibu ya kueleweka.
 
Vyovyote mzee, bora niamini.

Sometimes ujuaji mwingi unaweza kukupoteza.
Kabisa mkuu, hatujui yatakayotukuta baada ya kifo....

Ila pia hatujui Mungu yupi ndo sahihi, wapo wengi... namaanisha dini ni nyingi yaani.

Mimi sipingi uwepo wa Mungu, ila naamini kama yupo basi hajihusishi na maisha yetu.
 
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."

Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."

Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."

Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."

Koran 8;12
"Terrorize and behead those who believe in scriptures other than the Koran."

Koran 8;60
"Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels."

Koran 8;65
"The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them."

Koran 9;5
"When opportunity arises kill the infidels wherever you find them."

Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."

Koran 9;123
"Make war on the infidels living in your neighborhood."

Koran 22;19
"Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods, boiling water, melt their skin and bellies."

Koran 47;4
"Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them."

Bible Matthew 5;43-45
“You have heard that it was said, Love your neighbor and hate your enemy. 44 But I tell you, love your enemies and pray for those who persecute you, 45 so that you may be children of your Father in heaven. For he causes his sun to rise on the evil and the good, and sends rain on the righteous and the unrighteous.

Koran inasema ulimwengu wote umeumbwa na Allah, na binadamu wote, tunaoamini na tusioamini katika uislamu wote tumeumbwa na Allah, maana yake sisi sote ni watoto wa Allah muumba wetu, sasa kwann kwa hekima ya yeye aliye juu kwa kupitia mtume asingetafuta namna au njia nyingine nzuri ya amani ya kutuvuta/kutushawishi sisi tusioamini tuingie kweny uislamu ili tumrudie yeye muweza yote, kuliko kupandikiza chuki na hasira dhidi ya sisi tusioamini, hadi ikafika hatua ya kukataza urafiki kati ya wanaoamini na wasioamini?

Kwanini mwenye hekima yote aamuru mauaji dhidi yetu tusioamini? Ina maana kwa hekima zake sisi tusioamini hatuna haki ya kuishi?

Ina maana ushawishi wake haukuwa mkubwa sana hadi afikie maamuzi ya kufyeka wasiamini kweny uso wa dunia?

Nipo hapa kuelimishwa.
Hivi hata kwenye nchi za kiislamu umeona watu wanauana tu ovyo ovyo??


Achana na vita ambayo ni special issue.


Aya za Quran huwa hazitafsiriwi kijinga jinga


Ndio maana watu wanakaa na kusoma sheria za uislamu kama ambavyo unaona watu wanasoma degree, masters, PHD za sheria basi na uislamu upo hivyo hivyo


Mwizi kisheria ya kiislamu anakatwa mkono, je kila mwizi anakatwa mkono??? Kuna taratibu zake


Mzinifu anapigwa mawe au kuuliwa kuna taratibu zake sio kuchukua tu sheria mkononi.


By the way, Aya zote za Quran mnazitafsiri vibaya kuhusu wasio waislamu


Uislamu una sheria kali dhidi ya watu wanaoupiga vita uislamu, kama mtu sio muislamu halafu hana muda na kuzuia harakati za uislamu, uislamu hautaki kumdhuru

لَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُمْ مِنْ دِيَارِكُمْ أَنْ تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ
Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu.

Suratul mumtahina 60:9
 
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."

Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."

Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."

Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."

Koran 8;12
"Terrorize and behead those who believe in scriptures other than the Koran."

Koran 8;60
"Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels."

Koran 8;65
"The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them."

Koran 9;5
"When opportunity arises kill the infidels wherever you find them."

Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."

Koran 9;123
"Make war on the infidels living in your neighborhood."

Koran 22;19
"Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods, boiling water, melt their skin and bellies."

Koran 47;4
"Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them."

Bible Matthew 5;43-45
“You have heard that it was said, Love your neighbor and hate your enemy. 44 But I tell you, love your enemies and pray for those who persecute you, 45 so that you may be children of your Father in heaven. For he causes his sun to rise on the evil and the good, and sends rain on the righteous and the unrighteous.

Koran inasema ulimwengu wote umeumbwa na Allah, na binadamu wote, tunaoamini na tusioamini katika uislamu wote tumeumbwa na Allah, maana yake sisi sote ni watoto wa Allah muumba wetu, sasa kwann kwa hekima ya yeye aliye juu kwa kupitia mtume asingetafuta namna au njia nyingine nzuri ya amani ya kutuvuta/kutushawishi sisi tusioamini tuingie kweny uislamu ili tumrudie yeye muweza yote, kuliko kupandikiza chuki na hasira dhidi ya sisi tusioamini, hadi ikafika hatua ya kukataza urafiki kati ya wanaoamini na wasioamini?

Kwanini mwenye hekima yote aamuru mauaji dhidi yetu tusioamini? Ina maana kwa hekima zake sisi tusioamini hatuna haki ya kuishi?

Ina maana ushawishi wake haukuwa mkubwa sana hadi afikie maamuzi ya kufyeka wasiamini kweny uso wa dunia?

Nipo hapa kuelimishwa.
Huwezi ukachukua aya ujisomee mwenyewe halafu uelewe


Aya ongeza na hii halafu useme umeelewa nini


لَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُمْ مِنْ دِيَارِكُمْ أَنْ تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ
Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu.
 
Hivi hata kwenye nchi za kiislamu umeona watu wanauana tu ovyo ovyo??


Achana na vita ambayo ni special issue.


Aya za Quran huwa hazitafsiriwi kijinga jinga


Ndio maana watu wanakaa na kusoma sheria za uislamu kama ambavyo unaona watu wanasoma degree, masters, PHD za sheria basi na uislamu upo hivyo hivyo


Mwizi kisheria ya kiislamu anakatwa mkono, je kila mwizi anakatwa mkono??? Kuna taratibu zake


Mzinifu anapigwa mawe au kuuliwa kuna taratibu zake sio kuchukua tu sheria mkononi.


By the way, Aya zote za Quran mnazitafsiri vibaya kuhusu wasio waislamu


Uislamu una sheria kali dhidi ya watu wanaoupiga vita uislamu, kama mtu sio muislamu halafu hana muda na kuzuia harakati za uislamu, uislamu hautaki kumdhuru

لَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُمْ مِنْ دِيَارِكُمْ أَنْ تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ
Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu.

Suratul mumtahina 60:9
Umenena vyema.

Sasa jibu swali.
 
Huwezi ukachukua aya ujisomee mwenyewe halafu uelewe


Aya ongeza na hii halafu useme umeelewa nini


لَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُمْ مِنْ دِيَارِكُمْ أَنْ تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ
Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu.
Mbona umerudia verse hiohio?
 
Kwanza kabisa nianze kwa kukuelimisha kuwa katika uislamu hakuna mafundisho hayo ya kujilipua na kuua watu wasio na hatia! Quran 5:32
Allah yupo wazi ila kwasababu mnabanwa ndio hamuwezi kutenda kama Allah anavyotaka

Koran 47;4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu
9;5.
Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni.
 
Huwezi ukachukua aya ujisomee mwenyewe halafu uelewe
Muhammad kasema hivi kuelezea Koran

Aya: - "Nyinyi (Waislam wa kweli) ndio watu bora kabisa waliowahi kati ya wanadamu." inamaanisha, watu bora zaidi kwa watu, kwani unawaleta na minyororo kwenye shingo zao wale wasio amini hadi wataukubali Uislamu.
Vol. 6, Book 60, Hadith 80

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying: Msiwasalimie wayahudi na wakristo kabla hawajawasalimia nyie waislamu na muislamu anapo kutana na mkristo au myahudi barabarani amlazimishe mkristo au myahudi apite sehemu nyembemba au amdumbukize mtaroni. Sahih Muslim 2167

Embu jaribu kumpinga
 
"Muislamu ndugu yake Muislamu"
Kwann Allah akubali muhammad aseme hivi, haoni kwamba anatengeneza gap/barrier between waislamu na sisi tusioamini?
Kwann akubali hii dhana iwepo? Kwa kusema hivo haoni kwamba anazidi kuweka uadui kati ya waislamu na sisi tusioamini?
Ukisoma Koran utakuta neno sisi au nasi limetumika Sana , sisi ni group of demons, na Wana surah nzima inaitwa surah ya majini kwenye Koran

Na yanajitapa yamempa Muhammad Koran Mungu akiwa shahidi wao
 
"Muislamu ndugu yake Muislamu"
Kwann Allah akubali muhammad aseme hivi, haoni kwamba anatengeneza gap/barrier between waislamu na sisi tusioamini?
Kwann akubali hii dhana iwepo? Kwa kusema hivo haoni kwamba anazidi kuweka uadui kati ya waislamu na sisi tusioamini?
Koran
[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

(AL - JINN - 12)
Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.
 
Dini la mashetani inawateka misukule na wapumbavu, ikumbukwe waislamu ni wapumbavu sana

Screenshot_20231124-113248_Quora.jpg


isitoshe yenyewe kwa yenyewe yanapigana vita mashia yanachoma moto misikiti ya mashuni na hali kadhalika. Quran inasema ukitaka kumjua shetani mwangalie mtu mweusi na mamisukule ya kiafrika inajipendekeza kwa waarabu ili hali waarabu wanawaona waafrika hao kama mavi.

Screenshot_20231112-211715_Chrome.jpg

Screenshot_20231123-091228_Quora.jpg

Screenshot_20231112-081743_Quora.jpg

stupid religion
Screenshot_20231112-080822_Quora.jpg
 
AaaMaainahitajika hekima ya kiroho kumuamini MUNGU ,,,ukitumia logical za duniani utasema hamna MUNGU
cha muhimu ni kuzidi kumuombea jamaa apate hekima
Kwa maana kwamba asiemwamini hajatumia Hekima ya Kiroho??Dhibitisha hili!!
 
Imani ndio inaweza kuthibitisha na kwa bahati mbaya IMANI haionekani.
Kwa nini ni bahati mbaya Imani haionekani wakati inahitajika katika uthibitisho??kuna chochote kweli hapo??Na wewe ulionaje ya kuwa Imani haionekani tena Kwa bahati mbaya??
 
Kwa nini ni bahati mbaya Imani haionekani wakati inahitajika katika uthibitisho??kuna chochote kweli hapo??Na wewe ulionaje ya kuwa Imani haionekani tena Kwa bahati mbaya??
unajua maana ya imani chief?
 
Back
Top Bottom