Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Ni jambo jema.
Anaweza kuwa mzalendo huyu kijana!
Tukimpa nchi hawezi kutumia fedha za umma bila kibali cha Bunge.Hawezi kuipendelea Wilaya au Mkoa alikozaliwa.Lissu ni Mzalendo Number moja hakuwa mtu wa kuogopa hoja kama jamaa fulani akishindwa hoja anakimbilia risasi.