Ni jambo jema.
Anaweza kuwa mzalendo huyu kijana!
Aliwahi kumpa dada yake ubunge.Tukimpa nchi hawezi kutumia fedha za umma bila kibali cha Bunge.Hawezi kuipendelea Wilaya au Mkoa alikozaliwa.Lissu ni Mzalendo Number moja hakuwa mtu wa kuogopa hoja kama jamaa fulani akishindwa hoja anakimbilia risasi.
Lissu huyo na juzi UN kapata maumivu makaliBado unaongelea maiti ya yule mbwa? Give us a break buddy!
Na bado mpaka kinyesi cha hiyo Maiti utakiabudu.TL mwache aendelee kupambana na maiti, na bado maiti inamshinda kila siku
Bado unaongelea maiti ya yule mbwa? Give us a break buddy!
Hivyo vyote hati miliki ni ya kwake au ni mali ya ummaInabidi tubadili maana ya uzalendo.Mzalendo number alionyesha uzalendo kwa kufanya yafuatayo.
Kujenga/kupeleka miradi Wilaya aliyozaliwa kwa kutumia kodi za wananchi (fedha za umma)
1. Chato International Airport
2. Jengo la kisasa CRDB
3. Zimamoto
4. Bohari ya mada ya kanda
5. Hospital ya rufaa
6. VETA kanda
7. Jengo la Mahakama
8. Hotel 5 star TANAPA
9. Hifadhi ya Chato
10. Jengo TAKUKURU
11. ..........
Huo ndio uzalendo wa mujibu wa tafsiri mpya ya Kiswahili.
Hivyo vyote hati miliki ni ya kwake au ni mali ya umma
Kumbuka hiyo maiti ilitaka imuue Lissu,ikashindwa.TL mwache aendelee kupambana na maiti, na bado maiti inamshinda kila siku
Hahahahahaha.......bwashe wewe ni mzandiki wa mitandaoni! Mama SSH amechukizwa sana uzandiki huu wa mitandaoni.Ni jambo jema.
Anaweza kuwa mzalendo huyu kijana!
Ningeshangaa, wewe Muuza ngada amseme vizuri aliyeziba ujinga wako??Bado unaongelea maiti ya yule mbwa? Give us a break buddy!
Nadhani alipitia.
Mtu ambae sina hakika kama alipitia ni Mbowe.
Huyu alikula pesa zetu za kodi bure tu, hakuna cha uzalendo wowote, lisaliti likubwa. Ukijumuisha na kichaa juu ndo basi kabisa, kodi zetu zilipotea bure. Ona sasa 'anatumiwa' tu na mabeberu tu.Ni jambo jema.
Anaweza kuwa mzalendo huyu kijana!
Najaribu tu kupitia sifa za uzalendo wa wanasiasa mbalimbali kwa nchi yetu.
Mh Tundu Lissu amewahi kutumikia Jeshi la Kujenga Taifa kwa mujibu wa Sheria au kwa kujitolea?
Nia ni njema kabisa.
Ramadhan Kareem!
Ahsante bwashee!
Tundu Lissu mwache aendelee kupambana na maiti, na bado maiti inamshinda kila siku.