Uchaguzi 2020 Je, Tundu Lissu anaendelea na kampeni?

Tatizo hamtaki kukubali Tundu Lissu ana IQ kubwa sana kuliko nyinyi. Hivyo mnapo panga figusu zenu za kizamani za kutaka tu kumkomoa, mnatakiwa pia mjipange kisheria na mumtangulie mbele zaidi! Jambo ambalo hamliwezi...
Kisheria ki vipi tena my dear. Mwanasheria mkongwe ndiye wa kwanza kuvunja sheria. Labda kama hakimu awe ame logwa
 
Kuna jambo kubwa linapangwa sirini dhidi ya wapinzani wenye nguvu hasa Tundu A. Lissu...
ccm, tanpol, tume, tiss, serikali, wakurugenzi, msajili wa vyama kwa uchache wanahusika kwenye usiri huo
Unacho sema wewe ni "Conspiracy thoery". Jaribu ku changanua kwa uhalisia wa sasa hivi
 
Tatizo hamtaki kukubali Tundu Lissu ana IQ kubwa sana kuliko nyinyi. Hivyo mnapo panga figusu zenu za kizamani za kutaka tu kumkomoa, mnatakiwa pia mjipange kisheria na mumtangulie mbele zaidi! Jambo ambalo hamliwezi...

IQ ya kuita watu MAJINGA? WTF
 
Hali ya kifedha si shwari Chadema

CHADEMA wameishiwa hela wamtaka mgombea wao wa uraisi Lisu awe anapanda mabasi ya abiria kama mwendo kasi,daladala na mabasi ya mikoani akienda kampeni sababu chama hakina pesa za kutosha kujaza mafuta kwenye magari ya misafara yake
 
Tukuulize na wewe, unaamini kabisa kuwa CCM wataiba kura
Ninge waona wana CHADEma watu wa maana sana kama wange funga safari kwenda tume ya uchaguzi kufanya uchunguzi wa kina na kwa ustaarabu ili kuthathmini jinsi gani tume wame jiandaa kwa ajili ya uchaguzi...
 
Paukwa.....pakawa
 
Kutembea kwote huku mbona hatuja kuona vipindi ambavyo sio vya uchaguzi?. Siku zote kuna wageni nuksi na wageni wenye baraka
Ni kipindi cha uchaguzi kamera zote ziko nae...lazima uone..

Kipindi sio cha uchaguzi kamera zipo chache ndio maana akienda sokoni huoni sana..

Mbona sio rocket science?

Mmebana kila TV na radio,guess what "internet" is out here killing all of you..

Lissu is dominating "internet" numbers ahead of Mawe mara kadhaa...na guess what,ni zaidi ya watu milioni 35 wapo online....wote ni wapiga kura...

Mawe is in deep shit aisee
 
Trust me, When a popular government official shows up in certain settings for whatsoever reasons, it definitely shows up on the front page of every major tabloid
 
Nilikuwa nakuona una akili kumbe kilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…