DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 372
- 310
- Thread starter
- #21
Kisheria ki vipi tena my dear. Mwanasheria mkongwe ndiye wa kwanza kuvunja sheria. Labda kama hakimu awe ame logwaTatizo hamtaki kukubali Tundu Lissu ana IQ kubwa sana kuliko nyinyi. Hivyo mnapo panga figusu zenu za kizamani za kutaka tu kumkomoa, mnatakiwa pia mjipange kisheria na mumtangulie mbele zaidi! Jambo ambalo hamliwezi...