Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #141
Ni Yeye16 February 2022
Brussels, Belgium
LIVE : TUNDU LISSU MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA ANA 'SHARE' NASI NINI WALIZUNGUMZA NA MH. RAIS SAMIA HASSAN KWA MUDA WA SAA MOJA MJINI BRUSSELS
Source : Nadj Media Centre
Wale chawa chonganishi wanawakati mgumu sana!Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Ni Yeye
Hata wasiporudi mi naona sawa tu. Ni hiyari yao kutokana na mipango yao.sio ajabu wakuu,kila raia watanzania ni haki yake kikatiba kuomba au kutakwa kukutana na rais.lkn mm najiuliza kwa nn akina lisu,lema hawataki kurudi nyumbani!!?, shida Nini!!? Wanamuogopa hangaya au !!?
Ila ana shida na Mbowe?Hakuna shida mbona walikutana alipokuwa mgonjwa lissu, mama hana shida nae
Huwezi kumfunga Mwenyekiti wangu ukasema huna ugomvi na Mimi mind!Mama Hana ugomvi na mtu Wala
Ni haki yake kukutana nae kabisa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa Hali imetulia? Mbonà fukuto kubwa liko underwayHaogopi maswali yoyote bali ni tabia ya huruma tu ya Samia (wazanzibari) kutopenda dhulma na mikiki mikiki isiyo na sababu. Kilichotokea kwa Mbowe ni "bad timing" ya Mbowe tu vinginevyo mama asingekubali kuwekwa ndani.
Lakini hakuwa na namna nyingine. Mtu mpya kwenye kiti huku kuna majanga lukuki ya kushughulikia then mtu mwingine anakuja na manmade janga la kuanzisha maandamano. Rais yeyote yule angefanya vile ili kutuliza hali.
Bad timing.
Kwa aina ya 'Boss' wake alivyokuwa,sishangai Samia kutoa kauli kama ile...Kweli.
..Kauli ile ya Samia ilikuwa sio ya kibinadamu kabisa.
..Na aliitoa bila Lissu kuwa amemzungumzia Samia kwa namna yoyote ile.
“O Judgment ! Thou art fled to brutish beasts, and men have lost their reason !”. ― William ShakespeareMH Rais Samia hawezi kukutana na wasaliti wa taifa
USSR
Haswa! Angekuwa ameandika yeye humu pangejaa quotation za thread zake mpaka za 2010. Mtu mnafiki utamjua tu.Roho inakuuma hapo ulipo.
Mkuu Heshima kwako....Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Wee Popomalism Upo?MH Rais Samia hawezi kukutana na wasaliti wa taifa
USSR
[emoji38][emoji38][emoji38]Wee Popomalism Upo?
Imekuaje akaweza kukutana na msaliti tenaMH Rais Samia hawezi kukutana na wasaliti wa taifa
USSR
Je wewe ni yule tuliambiwa ni nabii!!!😂Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Hawezi ataona aibu