Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.

Wengine akina Maryam Sarungi japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.

Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?

Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?

Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.

Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    31.4 KB · Views: 4
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    26.4 KB · Views: 3
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    40 KB · Views: 3
Wapambe mzee, wapambe..

Mrema na yeye alilishwa maneno na wapambe..

Sasa hivi TL ana back up ya Diaspora na wanaharakati uchwara kwa nchi..
Anaona kila kitu anaweza..

Watoto wanasoma marekani na ni raia wa marekani kwa ufadhili hakuna shida sana...

Tumpe muda... Miaka 10 ijayo tutakuwa tunazungumza mengine
 
Anachokosea Lisu ni kupiga madongo hadharani nje, Mambo ya chama kuyaleta nje na kumshambulia mwenyekiti wake hadharani.hio kiuongozi haifai

Kwingine yupo sahihi,Agombee
Halafu mwenyekiti wenyewe sio tu mwenyekiti ndie 99% LISSU alipopata maafa ndie aliekuwa anamnawisha mavi na kumuosha. Unataka ufanyiwe nini tena?
 
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.
Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.
Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?

Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?
Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo ktk katiba ya chama na mbowe ni wajibu wake kufata katiba
Bro. Malaria 2, kutenda wema kama huo kumbe malipo yake ni kuwa life chairman wa CDM au mpaka hapo mtenda wema atakapoamua yeye mwenyewe kung’atuka?🤔
 
Anachokosea Lisu ni kupiga madongo hadharani nje, Mambo ya ndani ya chama kuyaleta nje na kumshambulia mwenyekiti wake hadharani.hio kiuongozi haifai
Haaminiki!..

Kwingine yupo sahihi,Agombee
Lissu huenda akakitapannya chama katika Lipumba alivyopasua pasua CUF.
 
Bro. Malaria 2, kutenda wema kama huo kumbe malipo yake ni kuwa life chairman wa CDM au mpaka hapo mtenda wema atakapoamua yeye mwenyewe kung’atuka?🤔
Kama wewe LISSU aliefanyiwa na Mbowe wakati duniani hayupo akhera hayupo unaweza kufanya anayofanya?
 
Back
Top Bottom