Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Unataka kwa mfano raisi aanze kuteua watu kwa kulipa fadhila na siyo sifa?
Mfano amteue nesi mmoja kuwa waziri wa afya sababu alimuudumia vizuri mjukuu wake?
Ateue mmjomba wake aliye msaidia kumlipia ada katibu mkuu kiongozi au mkuuu wa majeshi wakati hawana sifa za nafasi hizo?
Mwenye akili naomba unijibu.
Kwa hivyo Mbowe kafanya kosa sana kumuonea Huruma Lissu kipindi kile angalimuacha tu aaangamie? Unaakili kweli?
 
Mtu 1 kati ya milioni 50 hawezi kuogopwa, hapa kinachozungumzwa ubinadam
Ubinadamu ni kumpa uongozi mtu mwenye uwezo na sifa sahihi ili akifikishe chama kwenye mafanikio ya juu (Ikulu).
Hapo huyo mtu atakuwa amemlipa fadhila Mbowe na wengine wengi waliomfikisha hapo baada ya kuwaletea huduma bora za kijamii ktk uongozi wake.
 
Kasimamia nani?

..Mbowe alimpigania Lissu aliposhambuliwa.

..Lissu alimpigania Mbowe alipokuwa na kesi ya ugaidi.

..Mbowe anampinga Lissu kwenye uchaguzi wa mwenyekiti.

..Lissu anampinga Mbowe kwenye uchaguzi wa mwenyekiti.

..wamepishana kimtizamo, hiyo ni kawaida ktk siasa.
 
..Mbowe alimpigania Lissu aliposhambuliwa.

..Lissu alimpigania Mbowe alipokuwa na kesi ya ugaidi.

..Mbowe anampinga Lissu kwenye uchaguzi wa mwenyekiti.

..Lissu anampinga Mbowe kwenye uchaguzi wa mwenyekiti.

..wamepishana kimtizamo, hiyo ni kawaida ktk siasa.
Wakati mbowe ana kesi , Lissu alikuwa ubelgji, weka picha moja lissu yupo mahakamani
 
Unataka kwa mfano raisi aanze kuteua watu kwa kulipa fadhila na siyo sifa?
Mfano amteue nesi mmoja kuwa waziri wa afya sababu alimuudumia vizuri mjukuu wake?
Ateue mmjomba wake aliye msaidia kumlipia ada katibu mkuu kiongozi au mkuuu wa majeshi wakati hawana sifa za nafasi hizo?
Mwenye akili naomba unijibu.
Haifanani kabisa. Lissu alitaka kuuliwa sio kupiga Sindano na kutoa panadol
 
Sio Lisu tu watu wengi wakishavuka kwenye matatizo hawana shukran.Tujifunze kuwa na shukran,hicho chama kabla ya huyo mzee Mbowe kilikwa maarufu!!?Uongozi ni mkakati,hakuna mpizani ambaye amewahi kuwanyima chama dume usingizi kama mzee Mbowe,mzee Makamba aliwahi kusema kabla ya kumtukana baba yako mshukuru kwa kukuzaa
 
Wakati mbowe ana kesi , Lissu alikuwa ubelgji, weka picha moja lissu yupo mahakamani

..Lissu aliongoza kampeni nje ya nchi iliyopelekea nchi wahisani kuweka shinikizo kesi dhidi ya Mbowe iondolewe.
 
..Lissu aliongoza kampeni nje ya nchi iliyopelekea nchi wahisani kuweka shinikizo kesi dhidi ya Mbowe iondolewe.
Hoja zinahitaji ushahidi usio na shaka, yofauti na ya hospital ya Nairobi
 
Back
Top Bottom