Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Uongozi hautaki mambo hayo ya kuoneana huruma sijui kulipana fadhila.
 
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.

Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.

Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?

Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?

Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.

Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Ww pamoja na wanaounga mkono huu upuuzi uliouandika wote nyie ni wapumbavu.
 
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.

Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.

Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?

Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?

Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.

Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?


Hivi mna akili kweli? Kwa hiyo maslahi ya chama yaachwa sababu mtu alibeba chupa ya damu?
 
Hivi mna akili kweli? Kwa hiyo maslahi ya chama yaachwa sababu mtu alibeba chupa ya damu?
Kwani chadema yupo Lissu tu? Hakuna mwengine anaweza kumuondoa Mbowe hapo? Wakati mbowe yupo nae Nairobi miezi 3 , maslahi ya chama alikuwa nayo lissu kitandani?
 
Uongozi hautaki mambo hayo ya kuoneana huruma sijui kulipana fadhila.
Kwa hivyo Mbowe kafanya kosa sana kumuonea Huruma Lissu kipindi kile angalimuacha tu aaangamie? Unaakili kweli?
 
Umeandika ujinga. Kwamba Mbowe ni Mungu hapo chadema mpk kumpinga kwake kuwe na style ya kipekee? Au kwa kuwa ni Mbowe basi asipingwe??

Rubbish!!
Mbowe sio Mungu, nasema wakumpinga sio Lissu. Hii ni sawa leo hii Lissu akamsifu Makonda kwamba ni mtu mwenye huruma kwa binaadam wakati kamtuhumu hadharani ktk shambulio lake
 
Wapambe mzee, wapambe..

Mrema na yeye alilishwa maneno na wapambe..

Sasa hivi TL ana back up ya Diaspora na wanaharakati uchwara kwa nchi..
Anaona kila kitu anaweza..

Watoto wanasoma marekani na ni raia wa marekani kwa ufadhili hakuna shida sana...

Tumpe muda... Miaka 10 ijayo tutakuwa tunazungumza mengine
Haangalii ubinaadam?
 
1734584128751.png
... ubinadamu ni baada ya MPAMBANO! 🤣
 
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.

Wengine akina Maryam Sarungi japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.

Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?

Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?

Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.

Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Kuomba kugombea uenyekiti ndiyo kukosa ubinadamu?
 
Back
Top Bottom