- Thread starter
- #41
Iq ndigo yupi? Mimi au wewe?Iq ndogo, hawezi kujibu maswali yenye akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iq ndigo yupi? Mimi au wewe?Iq ndogo, hawezi kujibu maswali yenye akili.
Nasemaje, muache kuilaumu serikali na wana ccm kwa kulindana wanachofanya ni ubinadamu. Sasa umamchukuliaje hatua na kumpeleka mahakamani mtu aliyefuja pesa ya serikali bilions kadhaa wakati alikusaidia katika safari yako ya kuwa kiongozo. Huo si ubinadamu au vipi?Lissu wa kumfanya mbowe kama baba yake mzazi ktk siasa kwa ubinadam aliomfanyia. Nyinyi kunguni mumeweka sana tamaa ya vyeo na kelele, ukiambiwa uandamane na LISSU utakimbilia mvunguni
Wapi lisu amemdhihaki au kumvunjia hekima mbowe..? Ila kobazi daaahSote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.
Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.
Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?
Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?
Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.
Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Vipi wale waliotoa damu ambayo mpk leo Lisu anaitumia mwilini mwake?Muezi 3 Nairobi inatosha lissu kumuheshimu mbowe ktk maisha yake
Nyie wakati Mbowe anamuuga hospital nyinyi huku jf mnamwita Lissu msaliti wa taifaUmeuliza maswali ya kijinga sana. Hebu rudia kuyasoma wewe mwenyewe kwanza,unaweza kujikata kichwa hicho.
Huoni?husikii?Wapi lisu amemdhihaki au kumvunjia hekima mbowe..? Ila kobazi daaah
Kasimamia nani?Vipi wale waliotoa damu ambayo mpk leo Lisu anaitumia mwilini mwake?
Kazi ambayo mlifanya nyie CCM makaburu weusi na baba yenu jiwe. R.I.PNyie wakati Mbowe anamuuga hospital nyinyi huku jf mnamwita Lissu msaliti wa taifa
Kobazi kwan mna akili. ? Kusema madhaifu yaliyomo ni kejeli au ni katika kutafuta namna ya kuleta chachu mpya na mwendelezo mpya. Lissu hanaga unafikiHuoni?husikii?
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.
Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.
Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?
Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?
Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.
Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Sasa unaumizwa na mbowwe kunangwa hadharani au yale mabilioni yenu mliompata mbowwe kuliwa bila malipo?Sio kwa LISSU, wapo wa kumpinga sio Lissu. Lissu alivyofanyiwa ubinaadam wa hali ya juu na mbowe sio wa kutoka na kumnanga hadharani
Isome ilete hapaKatiba yao inasemaje?
MadaktariKasimamia nani?
Kwani miezi 3 ya hospital Nairobi alikuwa mtumwa wake? Akimuosha mavi alikuwa mtumwa wake?Kwa hiyo Lissu awe mtumwa wa mbowe. Ngoja Lissu ashinde
Nimekulza wew unaeumizwa na kauli za lissuIsome ilete hapa
Una uhakika na ulichokiandika? Ulikuwepo nairobi?Kwani miezi 3 ya hospital Nairobi alikuwa mtumwa wake? Akimuosha mavi alikuwa mtumwa wake?
Kumbee? Ndio nyie humu jf mkiandika Lissu msaliti, leo mnajifanya mnamapenzi naeMadaktari
Naumizwa Lissu kwa mbowe, hayo wafanye wengine sio yeyeNimekulza wew unaeumizwa na kauli za lissu
Kwa hiyo mtu akikusaidia basi ndo akifanya upuuzi wewe unasema tu Yes. Lissu yuko sahihi. Mbowe aache drama. Chama si bedroom yakeKwani miezi 3 ya hospital Nairobi alikuwa mtumwa wake? Akimuosha mavi alikuwa mtumwa wake?