Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

Nashindwa kuelewa kuasaidiwa lissu baada ya kupata majanga kuna husiana vipi na kugimbea nafasi ya uenyekiti

Unataka kutuambia mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa maisha?

Au

Awepo mgombea mwengine lkn asiwe lissu?
Mbowe hastahili, lkn Lissu yaliomkuta na mbowe jitihada alizochokuwa wakati wewe humu unamwita Lisu msaliti
 
Ingalikuwa hivyo hata mawaziri wangalimpinga Rais hadharani, katiba inaruhusu pia
nadhani hapa aidha umepotoka au unachanganya mambo tofauti sababu:

1. kugombea nafasi yeyote chadema si ukosefu wa ubinadamu.

2. kutofautiana fikra si ukosefu wa ubinadamu.

3. tal nyakati zote amejipambanua kuwa mpinga rushwa na msema kweli na hili si ukosefu wa ubinadamu.

4. kama tal kuna sehemu alikosea alipaswa awajibishwe kupitia mamlaka kamili chamani ila haya mnapoyaleta wakati huu alipotangaza nia, alipochukua na kurejesha fomu ndiyo mnamuona hana ubinadamu hamuwezi eleweka asilani abadani.
 
nadhani hapa aidha umepotoka au unachanganya mambo tofauti sababu:

1. kugombea nafasi yeyote chadema si ukosefu wa ubinadamu.

2. kutofautiana fikra si ukosefu wa ubinadamu.

3. tal nyakati zote amejipambanua kuwa mpinga rushwa na msema kweli na hili si ukosefu wa ubinadamu.

4. kama tal kuna sehemu alikosea alipaswa awajibishwe kupitia mamlaka kamili chamani ila haya mnapoyaleta wakati huu alipotangaza nia, alipochukua na kurejesha fomu ndiyo mnamuona hana ubinadamu hamuwezi eleweka asilani abadani.
Mithali 17:17

"Rafiki hupenda nyakati zote, na ndugu huzaliwa kwa siku ya taabu."
Hii inaonyesha kuwa mtu anayekusaidia katika shida ni wa thamani, na ni muhimu kumheshimu.

SIO HAWA WANAFIKI WAKATI UPO NAIROBI WAO WANAKWITA MSALITI LEO WANAJIFANYA RAFIKI
 
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.

Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.

Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?

Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?

Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.

Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Kwa hiyo Tundu Lissu asigombee kwa sababu aliuguzwa na MBOWE?
 
Mithali 17:17

"Rafiki hupenda nyakati zote, na ndugu huzaliwa kwa siku ya taabu."
Hii inaonyesha kuwa mtu anayekusaidia katika shida ni wa thamani, na ni muhimu kumheshimu.

SIO HAWA WANAFIKI WAKATI UPO NAIROBI WAO WANAKWITA MSALITI LEO WANAJIFANYA RAFIKI
itoshe kusema nakubaliana kutokubaliana nawe kimtazamo na kifikra.
 
Back
Top Bottom